Piteni hapa jamani mtoe neno

Piteni hapa jamani mtoe neno

iyo ndo miguu yako? au umesimamia mikono eeh? afu pia naona una ngozi kavu sana kama sio kukomaa kupitiliza. zingatia maelezo ya theboss apo juu.
 
Last edited by a moderator:
mbona izo stand zipo standard kabisa au jamaa analake jambo.Mi ukimuona mamsapu wangu wa zamani miss chagga au masai dada au hata mie mwenyewepia ailkuwepo mwingine shansarie sijui wapi siku izi mbona ww utajiona una matende?
 
naombeni mniambie nifanye mazoezi gani miguu yangu inenepe?? nimeachwa kisa cna mguu

pole sana yaani kwa miguu hakuna namna maana hata mchina hawezi yaani vingine vyoteee aliweza ila miguu haiwezekani kama angekuwa anaweza wema sepetu angeweka ya mchina.
 
Pole sana dada...kiukweli mwanamke ukiwa na miguu mibaya unatisha sana
 
iyo ndo miguu yako? au umesimamia mikono eeh? afu pia naona una ngozi kavu sana kama sio kukomaa kupitiliza. zingatia maelezo ya theboss apo juu.

ni miguu jmn mi nimeumbwa hivi nashindwa kujibadili sasa swala la ngozi kavu kweli ninangozi kavu
 
Last edited by a moderator:
pole sana yaani kwa miguu hakuna namna maana hata mchina hawezi yaani vingine vyoteee aliweza ila miguu haiwezekani kama angekuwa anaweza wema sepetu angeweka ya mchina.
vipi kuhusu mazoezi?
 
Mbona una mguu mzuri sana jamani wengine kama tunatembelea mikono
 
Weka picha ya miguu ya jamaa aliyekuacha ili nione kama miguu yake yeye ni mizuri.
 
naombeni mniambie nifanye mazoezi gani miguu yangu inenepe?? nimeachwa kisa cna mguu


Mungu aliyekuumba ivo atakupa mke/Mme atakayependa hiyo miguu yako.

Jikubali kwan ww ni zaid ya miguu anza kusoma vtabu vya kujtambua na kujua ww ni wathamani machoni pa Mungu na si miguu,miguu ni device tu kukuwezesha kutembe,kuruka, kukimbia nk mshukuru Mungu walau ww unayo miguu,wakumbuke wasio kuwa na miguu upate sababu ya kumsifu Muumba wako.
 
mbona izo stand zipo standard kabisa au jamaa analake jambo.Mi ukimuona mamsapu wangu wa zamani miss chagga au masai dada au hata mie mwenyewepia ailkuwepo mwingine shansarie sijui wapi siku izi mbona ww utajiona una matende?
miss chagga mbona kanona vizuri tu
 
Last edited by a moderator:
Huyo mtu mshamba ana lake jambo.
Mwambie apite hivi.
Hajajitambua bora akatafute mjinga mwenzie
 
Back
Top Bottom