Piteni hapa jamani mtoe neno

Piteni hapa jamani mtoe neno

Kila mtu ana matamanio yake juu ya mwili wa mwanamke...ila je msisitizo unao hapo nyuma??jiamni
 
Kwenye kuku si kila mtu anapenda mnofu wa paja, wengine walevi wa vipapatio. Utapata anayependa dizaini yako.
 
Cha muhimu ni kukitunza hicho kilicho kati kati ya miguu hapo.
 
vipi kuhusu mazoezi?

mkuu haiwezekani tena mazoezi yanakomaza. My dia jikubali la muhimu jua kuvaa punguza kuvaa nguo fupi vaa suru na magauni wala hutojiona tofauti. Nina imani kuna ulichopewa ambacho wengine hatuna. Mfano mm sio bonge ila usafiri nimepewa na unajua wanaume wanavyopenda wanene so najikubali nilivo. La muhim hapa jua kupangilia nguo zinazoendana na umbo lako.
 
Miguu yako anataka kuifanyia nini? Ungeniambia kakuacha kwa sababu huko juu umepigwa pasi ningeelewa.anyway tafuta mwanaume mwingine.
 
[QUOTE=lancanshire;13299 Ungeniambia kakuacha kwa sababu huko juu umepigwa pasi ningekuelewa


kwann ME waliopigwa pas hawaachiki iweje iwe kwa mwanamke
 
Pole Mummy .. Dear I do Treadmill for 1 hour at least 4 - 5 days per week.( sijui schedule yako . ) ..May be you should try dear , inaweza kukufaa. Weka incline kwa treadmill up to 15 . .. And then anzia kutembea kwa speed 2.5 ukiweza increase speed or stay the same speed.. Just kukutahadharisha mwanzoni itakuwa painful kidogo ila usiache keep going mwishowe utazoea tuu... Sasa sijajua kama itakufaa or not . Binafsi inanifaa .. I hope nimekusaidia . Kingine usifanye because of someone else do it because unapenda kufanya exercise.. Have confidence and Trust yourself . Pia believe that you are wonderful and fearful made by God. You are beautiful dear , don't let anyone aku discourage . You are who you are because God made you the way you are thats way nothing else will change it including men and whatever God made is always beautiful with perfect plans of his own for His Glory . .. Thanks..
 
mbona izo stand zipo standard kabisa au jamaa analake jambo.Mi ukimuona mamsapu wangu wa zamani miss chagga au masai dada au hata mie mwenyewepia ailkuwepo mwingine shansarie sijui wapi siku izi mbona ww utajiona una matende?

Embu mueleze aisee miguu chupa ya bia kabisa
 
Msubiri atakayekupenda kwa jinsi ulivyo...labda uniambie unamtaka huyo huyo aliyekuacha.....
 
Back
Top Bottom