Pitia hapa huenda utanikumbuka

Hahahahah siri ya pesa anaijua mwenye nayo , km unabishi mbona wewe na hata huyo tajiri mnahangaika kuwapeleka watoto wenu elimu za juu , do you know who owns the world money?? Kuna mambo wanafanya wasio na elimu ambayo educated can't do
 
utupe mrejesho
 
Kila la heri mkuu, mi hayo nilishayafanya miaka 4 iliyopita, ukifanikiwa utajilaumu siku zote kwanini ulipoteza muda wako, mi inafika time huwa nalaumu kwanini nilisoma miaka mingi sana.
 
Hii ni kweli wasomi wengi wakitaka kuanzisha biashara huwaza kwanza hasara na baadae faida kubwa kwa muda mfupi. Na wengi sana wanakosa kitu uthubuti kwa kuhofia hasara. Mchana mwema wajasilia mali
 
Asante mwaka huu nitapiga hatua kwa lazima kwakua nina imani na nimepanga hivyo na Mungu yupo upande wangu. Kitu ambacho hutuangusha wasomi wengi ni kutaka kujifunza kuogelea Darasani. "Njia sahihi ya kujifunza kuogelea ni kuingoi kwenye maji kwanza" Na njia nzuri ya kutoka kimaisha ni kufanya Biashara either kulima au kufanya biashara yoyote ile.
 
Utakuta msomi anajivuna kumiliki kitabu cha :-
HOW TO BE REACH MAN
HOW TO GET MONEY EASY
HOW TO BE SUCCESFULL
HOW TO ESCAPE POVERTY
Na majitabu mengine kibao....!!!!! Wakati ki uchumi anamiliki house girl tu nyumbani alikopanga.
[emoji16][emoji16][emoji16] mbavu zangu
 
Utakuta msomi anajivuna kumiliki kitabu cha :-
HOW TO BE REACH MAN
HOW TO GET MONEY EASY
HOW TO BE SUCCESFULL
HOW TO ESCAPE POVERTY
Na majitabu mengine kibao....!!!!! Wakati ki uchumi anamiliki house girl tu nyumbani alikopanga.
Hahahaha mkuu umeua.

Umesema ukweli kabisa
 
machache ya kweli; kuna tofauti ya utajiri na mafanikio. Wasomi wamefanikiwa japo si matajiri lakini pia wengine wao hupata utajiri. Huwezi linganisha msomi na asiyesoma kwa mafaniko hasa ukijua maana ya shule. Unajua mwenye cheti ni msomi? Lakini eaomi wanatofautiana kuna wale wa diploma, bachelor, masters na PhD lskini wote wasomi hao
 
Piga ua garagaza swala zima huku duniani ni PESA tantalila za kusoma ni kupoteza muda,ingewezekana mtu anaejiongeza kichwani ni bola akaishia kidato cha sita au cha nne then akaja mtaa kwa mtaa kusaka pesa,ndivyo navyowajenga hata watoto wangu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…