Pitia hapa huenda utanikumbuka

Ni kweli wasomi wengi sio matajiri ila mfumo wa elimu yetu nao unachangia asilimia kubwa ya mitaala ya kibongo inakuandaa kuja kuajiriwa na sio kijiajiri.
Mfumo wetu unatoa elimu ...
Mtaani kinachohitajika ni maarifa ... sio elimu.
 
Ni kweli wasomi wengi sio matajiri ila mfumo wa elimu yetu nao unachangia asilimia kubwa ya mitaala ya kibongo inakuandaa kuja kuajiriwa na sio kijiajiri.

Tatizo siyo bongo,dunia nzima wanaokariri badala ya kufikiri wenyewe huwa kama maelezo ya mtoa mada.
 
Ni kweli wasomi wengi sio matajiri ila mfumo wa elimu yetu nao unachangia asilimia kubwa ya mitaala ya kibongo inakuandaa kuja kuajiriwa na sio kijiajiri.
SI MFUMO WA ELIMU TU! NA WAO HAWAJIONGEZI MKUU
 

Nimekuelewa.
 

Hasa Tanzania hakuna wasomi wote ni wakremishaji bora maisha yaende
 
Nimekuelewa sana
Tusiogope kukosea & ni vizuri kukosea kwa sababu utakachojifunza kwenye hilo kosa ndicho kitakacho kupigisha hatua zingine mbele, na tusiwe waoga wa kuthubutu kufanya mambo ambayo tunahisi yataleta alama chanya kwenye maisha yetu
 
Umeongea point kubwa saba mkuu
 
Si wanasemaga ukitaka kumficha kitu mbongo weka kwenye maandishi
Ni jambo linalosikitisha sana. Imagine analalamikia page mbili kuwa ni ndefu. Je, huyo ataweza kujisomea mwenyewe kitabu kidogo cha 200pp? Je, huyo anaweza kujinunulia kitabu ajisomee? Je, huyo ataweza kununua magazeti yenye makala ndefu? No wonder reasoning ya wasomi walio wengi hapa Bongo iko chini!!! Very sad kwa wasomi wa jinsi hii
 
Hoja yako nini sasa? Kwani unatafsiri gani kuhusu MAFANIKIO?

Nijuavyo ni kwamba maisha yanakuwa na maana pale unaporimiza malengo yako uliyojiwekea na hayo ndio mafanikio yenyewe, pesa inaweza kuwa ni sehemu ya mafanikio na sio mafanikio yenyewe wala haimaanishi kwamba wenye pesa ndio wenye furaha na amani. Jitambue.
 
Kweli mkuu kusoma kunahitaji kipaji. Mi mwenyewe nilikuwa sipendi kusoma vitabu. Ila kama muujiza hivi nilivyoanza kusoma Rich Dad Poor Dad, nikakiprint kabisa nikawa nakisoma kwenye basi. Nikakimaliza na nikadownload vingine vya Kiyosaki kama 7 nikavisoma. Kiukweli it was my turning point. Nilipenda kusoma vitabu tangia hapo.
 
Asante na hongera sana kwa kuchukua hatua. Wavuvi wa kusoma vitabu wako wengi. Binafsi kusoma vitabu ni utamaduni nilioujenga nikiwa na miaka 15, katika umri huo ndipo niliponunua gazeti langu kwa hela yangu niliyotafuta mwenyewe. Nafurahia kusoma, imagine mtu anacomplain 2pp kuwa ni ndefu. Mwaka huu nimepanga nisome walau vitabu 12 kila mwezi kitabu 1.
 
Kujisomea kwetu tukuambatanishe na malengo tunayotaka kuyafikia. Tusome kupata maarifa na mbinu za kuyafikia malengo yetu. Mambo ya copy na paste yametugharimu sana. Mwaka huu tufanye mambo mapya yenye manufaa kwa familia, Jamii na taifa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…