Pitia hapa kujipanua kimataifa

Pitia hapa kujipanua kimataifa

Daktari kama ni msaada uweke wazi tuu hapa ili wengi wajifunze si lazima mjifungie PM huko itasaidia kuwapa mwanga wengi zaidi Mkuu..
 
huko PM mkilizwa mkalilie huko hukp PM maana hamkawii kuanzisja thread za malalamiko
 
Kwanza polen na majukumu, pia mungu ashukuriwe katika kutupatia uhai wa kila siku,

Naanza na kuwapa ushauri wa kupanua biashara yako kimataifa,

1. Sister schools,
Wale wenye shule ambazo zinataka shule rafiki , ninafanya kazi hiyo na uwezo nilionao ni kuzipata shule kutokea maeneo haya
A. United Arab Emirates
B. Singapore
C. China
D. Canada
E. USA
F. Sweden
G. Denmark
H. Na maeneo mengine ya ulaya

2. MTU wa kuungana naye kibiashara,

Mfano wa kuimport au Ku export,
Mwenye fursa na anatafta wawekezaji. Na mwenye kitu chochote kinachohitaji uwekezaji toka nje,


3. Connection za safari za kutembea nje
A. Connection pa kufikia na family itakayokupokea,
B. Shule au Chuo kitakachokupokea kama waenda kufanya utafiti,
C. VISA hapa access ya Dubai, Denmark, Luxembourg, Estonia, abu Dhabi. Omani

Bei za VISA ni ndogo sana
Dubai DOLLA 250, BILA DEPOSIT
LONDON EURO 60 na deposits juu,
USA hatuna access ya visa uko.

4. kanisa linalohitaji ushirikiano na makanisa ya kimataifa, usisite kuni PM

5. Wanaotafta marafiki au kuunganishwa na marafiki, ( pen pals ) kimataifa pia huduma hiyo IPO,
PANUA FIKRA TEMBEA DUNIANI


PM( private message)
Wewe rweyendera kabila gani ? Sio karagwe .
 
Kwanza polen na majukumu, pia mungu ashukuriwe katika kutupatia uhai wa kila siku,

Naanza na kuwapa ushauri wa kupanua biashara yako kimataifa,

1. Sister schools,
Wale wenye shule ambazo zinataka shule rafiki , ninafanya kazi hiyo na uwezo nilionao ni kuzipata shule kutokea maeneo haya
A. United Arab Emirates
B. Singapore
C. China
D. Canada
E. USA
F. Sweden
G. Denmark
H. Na maeneo mengine ya ulaya

2. MTU wa kuungana naye kibiashara,

Mfano wa kuimport au Ku export,
Mwenye fursa na anatafta wawekezaji. Na mwenye kitu chochote kinachohitaji uwekezaji toka nje,


3. Connection za safari za kutembea nje
A. Connection pa kufikia na family itakayokupokea,
B. Shule au Chuo kitakachokupokea kama waenda kufanya utafiti,
C. VISA hapa access ya Dubai, Denmark, Luxembourg, Estonia, abu Dhabi. Omani

Bei za VISA ni ndogo sana
Dubai DOLLA 250, BILA DEPOSIT
LONDON EURO 60 na deposits juu,
USA hatuna access ya visa uko.

4. kanisa linalohitaji ushirikiano na makanisa ya kimataifa, usisite kuni PM

5. Wanaotafta marafiki au kuunganishwa na marafiki, ( pen pals ) kimataifa pia huduma hiyo IPO,
PANUA FIKRA TEMBEA DUNIANI


PM( private message)
Habari mkuu , nikua nahitaji pen pals please utaratibu ni upi..asante
 
Kwanza polen na majukumu, pia mungu ashukuriwe katika kutupatia uhai wa kila siku,

Naanza na kuwapa ushauri wa kupanua biashara yako kimataifa,

1. Sister schools,
Wale wenye shule ambazo zinataka shule rafiki , ninafanya kazi hiyo na uwezo nilionao ni kuzipata shule kutokea maeneo haya
A. United Arab Emirates
B. Singapore
C. China
D. Canada
E. USA
F. Sweden
G. Denmark
H. Na maeneo mengine ya ulaya

2. MTU wa kuungana naye kibiashara,

Mfano wa kuimport au Ku export,
Mwenye fursa na anatafta wawekezaji. Na mwenye kitu chochote kinachohitaji uwekezaji toka nje,


3. Connection za safari za kutembea nje
A. Connection pa kufikia na family itakayokupokea,
B. Shule au Chuo kitakachokupokea kama waenda kufanya utafiti,
C. VISA hapa access ya Dubai, Denmark, Luxembourg, Estonia, abu Dhabi. Omani

Bei za VISA ni ndogo sana
Dubai DOLLA 250, BILA DEPOSIT
LONDON EURO 60 na deposits juu,
USA hatuna access ya visa uko.

4. kanisa linalohitaji ushirikiano na makanisa ya kimataifa, usisite kuni PM

5. Wanaotafta marafiki au kuunganishwa na marafiki, ( pen pals ) kimataifa pia huduma hiyo IPO,
PANUA FIKRA TEMBEA DUNIANI


PM( private message)[nipe mawasiliano yako basi/QUOTE]
 
Dr mpigaji huyu awe wazi kwa nini akimbilie PM kuweni makini na tapeli huyu
 
Nimependa tuwasiliane kwa namba yangu hii 0758508648 nataka kusepa bongo sina rafiki uko niendako
 
Back
Top Bottom