Pitia hapa mdau uchague umpendae

Tunakulagaaaaa tuuuuuu
###just for fun####
 
Huwezi amini mm mchagga herufi yangu hapo C japo naelekea kwenye D na napenda no.1

Huwezi amini mimi ni 1 naelekea kwenye 0, na napenda C na D. I was just clowning bana. My bad if it came out wrong. Meant no offense.

Anyway, kuhusu hizo curves nitaamini vipi unasema ukweli?
 
Mimi ni NAMBA 5 kati ya hao pia namkubali D anachura hafifu
 
Duhh!!..kweli we ni noma...D unadiriki kusema ni chura hafifu?....Huyo chura makini kwako ndo yupi eti?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…