stabilityman
JF-Expert Member
- Jul 9, 2024
- 259
- 483
Kabla ya huajajenga nyumba yenye paa la kujificha ( hidden roof) soma ushauri huu👇
👉Hiddenroof ni nyumba ambazo zilikuwepo toka miaka ya nyuma hivi karibuni Zimekuja kwa Kasi.
Na zimeacha kilio kwa watu wengi, hii ni kutokana na kulalamikiwa kwenye changamoto ya kuvuja.
👉 Nyumba hizi zinapendwa kwa kasi kutokana na kupunguza gharama ya bati na mbao wakati wa Kupaua, lakini tuna kukumbusha kama unajenga hizi nyumba Kwa lengo la kupunguza gharama ya mbao na bati wakati wa Kupaua .
Basi ujue gharama unayoipunguza lazima uwekeze katika kuzuia maji yasivuje kwa kuzingatia vitu hivi 👇 kwa uchache
1) kabla ya kujenga contemporary house hakikisha, unapata fundi ambaye anauzoefu mkubwa na uzoefu wa kujenga aina hizi za nyumba.
2) Nyumba hizi zinahitajika zipande juu ili kusaidia paa Litakalowekwa liwe na mwinuko/ slope ya kutosha ambayo itasaidia maji yashuke kwenye bati bila shida yeyote.
3) Gata ya zege ya contemporary house inatakiwa iwepana, slope kali kuelekea kwenye matoleo ya maji ili
kutoruhusu maji kwa muda mrefu kwenye gata pia iwe treated na chemical ambazo zinazoweza , kuzuia maji kupita kwenye zege.
4) Maungio ya bati na ukuta yanatakiwa , yathibitiwe kwa kuwekewa cover ya bati au material ya waterproof kuzuia maji kupenya kwenye maungio ya bati na ukuta.
👉Watu upendelea kufata kwenye ubora nyumba yako ni nyumba yenye hadhi tafathali ipe thamani zaidi.
👉Lengo letu kubwa zaidi ni kubadilisha muonekano wa nyumba yako. Unanyumba yako tukabizi tukufanyie ujenzifinishing tupigie leo tukuhudumie leo Kama unahitaji kujenga nyumba ya kisasa tutafute Tukujengee kuanzia chini mpaka tunakukabidhi nyumba ikiwa imekamilika
Kwanza tunakupa raman na makadilio yake utaijenga kwa sh ngapi na kuijenga kisasa kwa uaminifu 0743257669 Ingia Whatsapp kupitia Whatsapp yangu hii hapa niulize James piga 0615813053 ofisi yetu ipo banana ukonga.
👉Hiddenroof ni nyumba ambazo zilikuwepo toka miaka ya nyuma hivi karibuni Zimekuja kwa Kasi.
Na zimeacha kilio kwa watu wengi, hii ni kutokana na kulalamikiwa kwenye changamoto ya kuvuja.
👉 Nyumba hizi zinapendwa kwa kasi kutokana na kupunguza gharama ya bati na mbao wakati wa Kupaua, lakini tuna kukumbusha kama unajenga hizi nyumba Kwa lengo la kupunguza gharama ya mbao na bati wakati wa Kupaua .
Basi ujue gharama unayoipunguza lazima uwekeze katika kuzuia maji yasivuje kwa kuzingatia vitu hivi 👇 kwa uchache
1) kabla ya kujenga contemporary house hakikisha, unapata fundi ambaye anauzoefu mkubwa na uzoefu wa kujenga aina hizi za nyumba.
2) Nyumba hizi zinahitajika zipande juu ili kusaidia paa Litakalowekwa liwe na mwinuko/ slope ya kutosha ambayo itasaidia maji yashuke kwenye bati bila shida yeyote.
3) Gata ya zege ya contemporary house inatakiwa iwepana, slope kali kuelekea kwenye matoleo ya maji ili
kutoruhusu maji kwa muda mrefu kwenye gata pia iwe treated na chemical ambazo zinazoweza , kuzuia maji kupita kwenye zege.
4) Maungio ya bati na ukuta yanatakiwa , yathibitiwe kwa kuwekewa cover ya bati au material ya waterproof kuzuia maji kupenya kwenye maungio ya bati na ukuta.
👉Watu upendelea kufata kwenye ubora nyumba yako ni nyumba yenye hadhi tafathali ipe thamani zaidi.
👉Lengo letu kubwa zaidi ni kubadilisha muonekano wa nyumba yako. Unanyumba yako tukabizi tukufanyie ujenzifinishing tupigie leo tukuhudumie leo Kama unahitaji kujenga nyumba ya kisasa tutafute Tukujengee kuanzia chini mpaka tunakukabidhi nyumba ikiwa imekamilika
Kwanza tunakupa raman na makadilio yake utaijenga kwa sh ngapi na kuijenga kisasa kwa uaminifu 0743257669 Ingia Whatsapp kupitia Whatsapp yangu hii hapa niulize James piga 0615813053 ofisi yetu ipo banana ukonga.