Pitia hapa tujikumbushe katuni zetu asili

Pitia hapa tujikumbushe katuni zetu asili

kaburi jeusi

JF-Expert Member
Joined
Jan 27, 2017
Posts
258
Reaction score
145
Wapenzi wa sani kitaambo sana kipindi cha analojia tujikumbushe majina ya katuni zetu. Kama ndumilakuili=mwizi,sokomoko=mlevi,pimbi=mzee wa mapenzi,madenge=mtoto mtukutu,endelea nilio wasahau.........
..................
 
.........Zena& Betina
- Kipepe
-Lodilofa
-Bush stars Fc
-Madenge
-Baba ubaya
-watoto mapacha
-Sunche na kapeto
-Kifimbo cheza na wachafuzi wa lugha
-Mzee mwinyi mpeku
-Ole
nk.

Daaah!!, mkuu umenikumbusha mbali sanaa enzi zetu.

I realy miss those days

[emoji17] [emoji17] [emoji17] [emoji17]

SANI ilikua poa sana enzi hizo.
 
Bulicheka, Elizabeta, Bob Mazishi,Zena, Betina, James Akeke,Zumo,Ufudu,Panga la Shaba,Kadidi,Sakalamento,Kingo,Mpingo.

Bila kumsahau Tall Manyama zaidi ya mnazi
 
Chakubanga na Apolo

gregory3.gif
images
POLO+%282%29.gif
 
Kulikuwa na ile ya zena na betina yaan wao ilikuwa ni kupambana tu mwanzo mwisho,sijui kwanini
 
Timbwili la zena na betina lilikuwa balaa!Baadayeakaja baba ubaya
.........Zena& Betina
- Kipepe
-Lodilofa
-Bush stars Fc
-Madenge
-Baba ubaya
-watoto mapacha
-Sunche na kapeto
-Kifimbo cheza na wachafuzi wa lugha
-Mzee mwinyi mpeku
-Ole
nk.

Daaah!!, mkuu umenikumbusha mbali sanaa enzi zetu.

I realy miss those days

[emoji17] [emoji17] [emoji17] [emoji17]

SANI ilikua poa sana enzi hizo.
Timbw
 
Kabla ya katuni walikuwa wanatumia picha halisi..
Muhusika mmoja alikuwa anaitwa belinda! Kati ya 1970-1980s
 
Back
Top Bottom