OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
My Take
Sakho sio wa kuuzwa hapa Afrika
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani tuzo aliyopewa ni ya wingi wa magoli au goli bora kuliko yote? Tuanzie hapo.Msimu mzima alikua na magoli mangapi ? Hebu tuanzie hapa
Kufunga goli bora hua ni bahati haihusiani na ubora Wa mchezaji , ubora Wa mchezaji unaonekana pale anapoisadia timu yake na c kufunga goli moja ,Kwani tuzo aliyopewa ni ya wingi wa magoli au goli bora kuliko yote? Tuanzie hapo.
Wewe kashabikie rede tu ndiyo saizi yakoKufunga goli bora hua ni bahati haihusiani na ubora Wa mchezaji , ubora Wa mchezaji unaonekana pale anapoisadia timu yake na c kufunga goli moja ,
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] mkiambiwa ukweli mnaanza kufukutaWewe kashabikie rede tu ndiyo saizi yako
Ukweli gani unaojua wewe? Hujui hata category za hizo tuzo unachanganya mafaili. Ushabiki wa kujua ukubwani ndiyo tatizo lako[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] mkiambiwa ukweli mnaanza kufukuta
Hawapendi haya maswali [emoji38][emoji38]Msimu mzima alikua na magoli mangapi ? Hebu tuanzie hapa
hawa uto siku hizi nawapisha tu wakafie mbeleKwani tuzo aliyopewa ni ya wingi wa magoli au goli bora kuliko yote? Tuanzie hapo.
Kama ni rahisi kafunge na wewe usituchoshe na hizi ngonjera zako za kimasikiniKufunga goli bora hua ni bahati haihusiani na ubora Wa mchezaji , ubora Wa mchezaji unaonekana pale anapoisadia timu yake na c kufunga goli moja ,
Hayo magoli huko kwenu aliyafunga nani? au mlitetemeshwa tu mwaka mzima mwishowe kiatu kikaenda kwa mwingine?Msimu mzima alikua na magoli mangapi ? Hebu tuanzie hapa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] panauma wapiiii?? Ili nipulizeee!!Kufunga goli bora hua ni bahati haihusiani na ubora Wa mchezaji , ubora Wa mchezaji unaonekana pale anapoisadia timu yake na c kufunga goli moja ,
Hawa kinachowasumbua ni wivu,roho mbaya na ulimbukeni. Wanaumia sana, na kwa dalili hizi msimu huu wataumia zaidiHayo magoli huko kwenu aliyafunga nani? au mlitetemeshwa tu mwaka mzima mwishowe kiatu kikaenda kwa mwingine?
Wacha ushamba unateseka kwa maumivu.
Ulikuja na uzi kuwa hawezi kushinda tuzo ya goli bora afrika sasa kashinda unaanza kuuliza ana goli ngapi, huyo mayele mwenye goli nyingi mbona kiatu hajapewa?Hawapendi haya maswali [emoji38][emoji38]