Pitso Masomane ampigia saluti Pape Sakho

Pitso Masomane ampigia saluti Pape Sakho

View attachment 2300808

My Take
Sakho sio wa kuuzwa hapa Afrika
Pamoja na kuwa nilimpigia kura,ila goli bora haliwezi kumfanya mtu kuwa mchezaji bora, kilichoongezeka kwake ni kupata platform nzuri ya kujitangaza na watu kumfuatilia ni mchezaji wa aina gani..........japo akiacha utoto na kucheza kibinafsi na majukwaa anaweza kufika mbali
 
Pamoja na kuwa nilimpigia kura,ila goli bora haliwezi kumfanya mtu kuwa mchezaji bora, kilichoongezeka kwake ni kupata platform nzuri ya kujitangaza na watu kumfuatilia ni mchezaji wa aina gani..........japo akiacha utoto na kucheza kibinafsi na majukwaa anaweza kufika mbali
Sakho anawaumbua taratibu, mtetemo kwisha habari yakeee.

Habari kuu ni Mnyunyizooooooo. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Sakho anawaumbua taratibu, mtetemo kwisha habari yakeee.

Habari kuu ni Mnyunyizooooooo. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Akili ambazo Rage zilimtesa hizi
 
First time kumuona Sakho anacheza niliwaambia marafiki zangu wengi tu na narudia tena ni mchezaji pekee kwenye league yetu anaweza kwenda kucheza ulaya siku moja na bado naamini hivyo, kipaji anacho sana akipata team nzuri na kocha mzuri ajue mambo madogo muhimu wapi pakukimbia na wapi pakuchukuwa option simple ni mtu ana kipaji na sio leo nasema kwa kuwa kapata tuzo ni from day one sio mtu wa kucheza league yetu hasa viwanja kama vya Mkwakwani sijui. Sakho ni mzuri kuliko hata wa kwetu Mbwana nilishangaa tu kumuona kaja huku ila siku zake zimefika na uhakika hata Ligue 1 hapo France atakwenda.
Mkuu hbri kama hizi hawataki kbsa kuzisikia wale wezi wa magari
 
Kufunga goli bora hua ni bahati haihusiani na ubora Wa mchezaji , ubora Wa mchezaji unaonekana pale anapoisadia timu yake na c kufunga goli moja ,
Hiyo bahati mbona hakuipata mayele

mayele ming'ombe
 
Kufunga goli bora hua ni bahati haihusiani na ubora Wa mchezaji , ubora Wa mchezaji unaonekana pale anapoisadia timu yake na c kufunga goli moja ,
Walioweka hizo category na wakato tuzo wana akili kuliko wewe utopolo😅😅

hebu kaomboleze adhabu ya zeruzeru huko
 
Kwakua kapigiwa salute na pitso sio!! Hivi timu za kaskazini mnazichukuliaje kwa mfano! Angalia mishahara wanayotoa halafu urudie maneno yako. Pale wydad kuna wachezaji wazuri zaidi ya sakho, ila washabiki wa simba some of them mtamkuza sana.
unakuwa hater mpaka unaishiwa hoja. Kimepongezwa kiwango au mshahara?
 
Kweli wewe ni kuku, goli bora LA ligi kachukua nani?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sasa mbna mnalia na la Sakho? Akati mgonjwa wa degedege, alipewa na TFF.

byuti byuti.
 
Binafsi kwenye pita pita zangu za Twitter, sijakutana na hiyo tweet ya Pitso
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sasa mbna mnalia na la Sakho? Akati mgonjwa wa degedege, alipewa na TFF.

byuti byuti.
Tunawazoom tu mnavyofurahia ,
Lakini acha mfurahi maana ndio ubigwa wenu msimu huu goli LA sakho na kwenda misri
 
Back
Top Bottom