SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 47,706
- 69,281
Huyu mbwiga kazi yake kuhamisha magoli tuUlikuja na uzi kuwa hawezi kushinda tuzo ya goli bora afrika sasa kashinda unaanza kuuliza ana goli ngapi, huyo mayele mwenye goli nyingi mbona kiatu hajapewa?
Pamoja na kuwa nilimpigia kura,ila goli bora haliwezi kumfanya mtu kuwa mchezaji bora, kilichoongezeka kwake ni kupata platform nzuri ya kujitangaza na watu kumfuatilia ni mchezaji wa aina gani..........japo akiacha utoto na kucheza kibinafsi na majukwaa anaweza kufika mbali
Sakho anawaumbua taratibu, mtetemo kwisha habari yakeee.Pamoja na kuwa nilimpigia kura,ila goli bora haliwezi kumfanya mtu kuwa mchezaji bora, kilichoongezeka kwake ni kupata platform nzuri ya kujitangaza na watu kumfuatilia ni mchezaji wa aina gani..........japo akiacha utoto na kucheza kibinafsi na majukwaa anaweza kufika mbali
Akili ambazo Rage zilimtesa hiziSakho anawaumbua taratibu, mtetemo kwisha habari yakeee.
Habari kuu ni Mnyunyizooooooo. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nawee akili zilizomtesa Kocha Luc, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Akili ambazo Rage zilimtesa hizi
Mkuu hbri kama hizi hawataki kbsa kuzisikia wale wezi wa magariFirst time kumuona Sakho anacheza niliwaambia marafiki zangu wengi tu na narudia tena ni mchezaji pekee kwenye league yetu anaweza kwenda kucheza ulaya siku moja na bado naamini hivyo, kipaji anacho sana akipata team nzuri na kocha mzuri ajue mambo madogo muhimu wapi pakukimbia na wapi pakuchukuwa option simple ni mtu ana kipaji na sio leo nasema kwa kuwa kapata tuzo ni from day one sio mtu wa kucheza league yetu hasa viwanja kama vya Mkwakwani sijui. Sakho ni mzuri kuliko hata wa kwetu Mbwana nilishangaa tu kumuona kaja huku ila siku zake zimefika na uhakika hata Ligue 1 hapo France atakwenda.
Hapo sio pakuanzia ni pakuishia ama kufungia mjadala kabisa.Kwani tuzo aliyopewa ni ya wingi wa magoli au goli bora kuliko yote? Tuanzie hapo.
Sasa tusubiri tuone kama tutakaa tuonae bahati hiyo ikiangukia kwa Biringanya au KiaziziKufunga goli bora hua ni bahati haihusiani na ubora Wa mchezaji , ubora Wa mchezaji unaonekana pale anapoisadia timu yake na c kufunga goli moja ,
Walioweka hizo category na wakato tuzo wana akili kuliko wewe utopolo😅😅Kufunga goli bora hua ni bahati haihusiani na ubora Wa mchezaji , ubora Wa mchezaji unaonekana pale anapoisadia timu yake na c kufunga goli moja ,
unakuwa hater mpaka unaishiwa hoja. Kimepongezwa kiwango au mshahara?Kwakua kapigiwa salute na pitso sio!! Hivi timu za kaskazini mnazichukuliaje kwa mfano! Angalia mishahara wanayotoa halafu urudie maneno yako. Pale wydad kuna wachezaji wazuri zaidi ya sakho, ila washabiki wa simba some of them mtamkuza sana.
Sakho co wa kuuzwa hapa afrika 😁 auzwe wapi, sayari ya mars au?unakuwa hater mpaka unaishiwa hoja. Kimepongezwa kiwango au mshahara?
Kweli wewe ni kuku, goli bora LA ligi kachukua nani?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sasa mbna mnalia na la Sakho? Akati mgonjwa wa degedege, alipewa na TFF.Kweli wewe ni kuku, goli bora LA ligi kachukua nani?
Mbona wewe umemsaili morrison na una vurugu kibao hapa mjiniMsimu mzima alikua na magoli mangapi ? Hebu tuanzie hapa
Tunawazoom tu mnavyofurahia ,[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sasa mbna mnalia na la Sakho? Akati mgonjwa wa degedege, alipewa na TFF.
byuti byuti.