Natafuta Ajira
JF-Expert Member
- Mar 25, 2020
- 9,016
- 24,650
Una hojaNi lini Afrika tutaacha kulialia ili tukubalike na race nyingine? Tuupe thamani mpira wetu ili hao makocha wa kizungu ndio walilie kuja kufundisha Afrika halafu na sisi tuwatose tu. Hatuna mashirikisho ya mpira? Serikali zetu hazina wizara za michezo? Hatuna vyombo vya habari kutupigia promo?. Kama balon dor wanapendelea wachezaji wazungu tunajitoa kwenye tuzo zao tunaanzisha za kwetu na sisi tunapendelea wachezaji wa kiafrika. Shida nini?
NdioUmesoma na kuelewa kilichoandikwa?
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Ulaya kugumu jaman ,ifike hatua wakubali tu ...cheki kina
Potchetno wanavohangaika ...
Lampard ndio Hana hamu kabisa ..
Kina Rooney wanashusha team daraja ...
Kompany mpaka sasa haelewi anakosea wapi na Burnley yake ,Kila game Ni kichapo [emoji23],..
Steven Gerrard katimuliwa mapema Sana baada ya kushindwa Kazi Aston Villa wakati rangers alikuwa anawasha ....
Cheki ten hag anavochanganyikiwa na united [emoji23]...
Ulaya sio poa kama huna pumzi ya kibabe kama Kina pep ,Carlo ,Klopp hata ukipewa club Ni game 10 ushapoteana ...