Pitso Mosimame: Ulaya wanabagua makocha kutoka Afrika

Pitso Mosimame: Ulaya wanabagua makocha kutoka Afrika

Ni lini Afrika tutaacha kulialia ili tukubalike na race nyingine? Tuupe thamani mpira wetu ili hao makocha wa kizungu ndio walilie kuja kufundisha Afrika halafu na sisi tuwatose tu. Hatuna mashirikisho ya mpira? Serikali zetu hazina wizara za michezo? Hatuna vyombo vya habari kutupigia promo?. Kama balon dor wanapendelea wachezaji wazungu tunajitoa kwenye tuzo zao tunaanzisha za kwetu na sisi tunapendelea wachezaji wa kiafrika. Shida nini?
 
Ni lini Afrika tutaacha kulialia ili tukubalike na race nyingine? Tuupe thamani mpira wetu ili hao makocha wa kizungu ndio walilie kuja kufundisha Afrika halafu na sisi tuwatose tu. Hatuna mashirikisho ya mpira? Serikali zetu hazina wizara za michezo? Hatuna vyombo vya habari kutupigia promo?. Kama balon dor wanapendelea wachezaji wazungu tunajitoa kwenye tuzo zao tunaanzisha za kwetu na sisi tunapendelea wachezaji wa kiafrika. Shida nini?
Una hoja
 
Naunga mkono hoja lakin napenda kutoa maoni yangu kwa nyongeza,

Kwanza tutoe neno ulaya tuweke neno wana football wanawabagua makocha waafrika.

Hoja yangu ya msingi ni,

Hapa tanzania wababe wa soka ni simba na yanga, je, makocha wao ni waafrika?

Kama sisi wenyewe waafrika hatuaminiani, wazungu wataanzaje kutuamini?
 
Ulaya kugumu jaman ,ifike hatua wakubali tu ...cheki kina

Potchetno wanavohangaika ...

Lampard ndio Hana hamu kabisa ..

Kina Rooney wanashusha team daraja ...

Kompany mpaka sasa haelewi anakosea wapi na Burnley yake ,Kila game Ni kichapo [emoji23],..

Steven Gerrard katimuliwa mapema Sana baada ya kushindwa Kazi Aston Villa wakati rangers alikuwa anawasha ....

Cheki ten hag anavochanganyikiwa na united [emoji23]...

Ulaya sio poa kama huna pumzi ya kibabe kama Kina pep ,Carlo ,Klopp hata ukipewa club Ni game 10 ushapoteana ...
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom