Alisha kuwepo Ruudgult tangu 1996 pale Chelsea, Viera wa juzi tu.Ashukuriwe patrick viera bila yeye waafrika wasingeaminika kwenye epl kwenye top position
Ila mnatia huruma aiseee[emoji848][emoji848][emoji848]Meteee mgunda mletee Mgunda. Hiyo ndo habari ya mujini.,wenye vijiba vya roho mtapata tabu sana. Hii club inawaendesha sana uzi wa club ya EPL huko nyie mnaiota Simba hhahahaaaaa
Eti walivyomuona Juma Mgunda na ule unene wake, wakafikiri ni Pitso Mosimane!!Mlete mdhungu Fc wanasemaje kuhusu hili?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Eti walivyomuona Juma Mgunda na ule unene wake, wakafikiri ni Pitso Mosimane!!
Hana nauli huyo unafikiri Malawi pa mchezoKwani huyu si kaenda malawi na kikosi chake kuikabili Nyasa Big Bullet?
Aliyeenda Malawi si ni yule pep guardiola mtumbozi....Kwani huyu si kaenda malawi na kikosi chake kuikabili Nyasa Big Bullet?
Mlete mdhungu fc mwaka huu mmeishaaa... Kwa ubabaishaji huu wa hadi kuazima makocha, ni kweli kwamba ile bilioni 26 iliandikwa kwenye jezi tu na si vinginevyo π€£π€£π€£π€£Meteee mgunda mletee Mgunda. Hiyo ndo habari ya mujini.,wenye vijiba vya roho mtapata tabu sana. Hii club inawaendesha sana uzi wa club ya EPL huko nyie mnaiota Simba hhahahaaaaa
Sisi hatuna wasiwasi kazi kwenu nyie waandishi maana mnasubiri matukio muandike na mtaandika sanaAliyeenda Malawi si ni yule pep guardiola mtumbozi....
Mlete mdhungu fc mwaka huu mmeishaaa... Kwa ubabaishaji huu wa hadi kuazima makocha, ni kweli kwamba ile bilioni 26 iliandikwa kwenye jezi tu na si vinginevyo π€£π€£π€£π€£
Nimesahau na kirusi kingine ni Akili finyuMbumbumbu fc mbona mnaleta makasiriko??? πππ
Sio makasiriko tunawasapoti kwenye nyuzi zenu msijione wanyongeMbumbumbu fc mbona mnaleta makasiriko??? πππ