Nyambiza jr
JF-Expert Member
- Oct 5, 2018
- 1,033
- 1,841
Hongera sana Pitcho kawaoneshe Wazungu kwamba Afrika tunaweza
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hongera zake kama ni kweli. Hebu tuwekee source ya hii taarifaAliyekuwa kocha wa Mamelodi Sundowns na Al ahly ameteuliwa na klabu ya Bournemouth kuwa mkurugenzi wa ufundi.
Awali ilisemekana "Mlete mdhungu fc" wana mpango wa kumleta kocha huyo mwenye CV iliyotukuka zaidi katika mpira wa bara hili 🤣🤣🤣 baada ya timu hiyo kumtimua kocha wao wa dunia Zolan Mabeti! 🤭View attachment 2351390
Chelsea ndio timu pekee inayothamini wachezaji weusi na kuwapa nafasi kubwa maishani.Alisha kuwepo Ruudgult tangu 1996 pale Chelsea, Viera wa juzi tu.
Wakina Paul ince walishakua makocha kabla ya Viera.
Aliyeenda Malawi anaitwa Pitso Motsemane MgundaKwani huyu si kaenda malawi na kikosi chake kuikabili Nyasa Big Bullet?