Pitso Mosimane ateuliwa kuwa Mkurugenzi wa Ufundi wa Bournemouth ya EPL

Hongera sana Pitcho kawaoneshe Wazungu kwamba Afrika tunaweza
 
Hongera zake kama ni kweli. Hebu tuwekee source ya hii taarifa
 
Alisha kuwepo Ruudgult tangu 1996 pale Chelsea, Viera wa juzi tu.
Wakina Paul ince walishakua makocha kabla ya Viera.
Chelsea ndio timu pekee inayothamini wachezaji weusi na kuwapa nafasi kubwa maishani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…