Pitso mosimane: Tunahitaji timu za Afrika kujifunza kwa Yanga

Point Ni kwamba Yanga ilijifunza kwa kwa timu za ulaya....mfano real Madrid....walivyokuwa wanasherekea ubingwa wa UEFA...

So mosimane anahimiza timu za Africa zifunze kwa yanga.....
Point inabaki kwamba nchi za afrika sijifunze kwa yanga.. hamna alie uliza Yanga imejifunza wapi [emoji23]
 
Hahah. Hamna jipya, huyo aliwakubali simba kwa mpira mzuri na alichezea kuchapo hapa Dar akiwa na hiyo timu unayoiita mabingwa wa kihistoria afrika na katika hilo kundi simba aliongoza. Unaposti ujinga kwa kuwakubili yanga kwa kukata viuno barabarani
 
Hahah. Hamna jipya, huyo aliwakubali simba kwa mpira mzuri na alichezea kuchapo hapa Dar akiwa na hiyo timu unayoiita mabingwa wa kihistoria afrika na katika hilo kundi simba aliongoza. Unaposti ujinga kwa kuwakubili yanga kwa kukata viuno barabarani
MAKOLO....mna Safari ndefu kielimu
 
Mnapongezwa kushangilia
 
Kwa miaka 30 iliyopita historia ya uto kwenye mashindano ya Afrika ikoje?

Yani Mamelodi, Ahly, Simba, Horoya n.k wajifunze wapi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…