mpiga vichwa
JF-Expert Member
- Oct 21, 2021
- 2,376
- 3,811
Simba hawezi kujifunza kwa timu ndogo ambayo haijawahi kuvuka hatua ya makundi ktk mashindano ya CAF .Ajifunze kipi labda? Kufungwa nje ndani? Au una Maana gani?Yes team za africa ikiwemo Simba wajifunze kutoka kwa Yanga.