Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kipozeo kipo mkuu usijaliChai moto kitumbua Moto😄😄😄
Hofu hofu hofu🤣🤣🤣🤣🤣🤣 nimecheka sana
😇😇😇😇😇😇 nime staajabu sana
😂😂😂😂😂😂 nimesikitika sana
Ccm ni hatari sana kuliko hata hizo barakoa na sindano zao na maji ya kuwasha wanazochoma watoto wetu wa changa hili DUDU waliondoe kabisaaAmekwepa kubambikiwa kesi ya ugaidi!
Wameona jinsi serikali ina mkono mrefu kupitia state organised crooksMtu kastaafu lakini bado anaogopa ogopa kutoa maoni, CCM imetengeneza wazee wa hovyo sana
Hapa ndio akina Mbowe wanaonekana ma-HeroHuyu mzee ana hofu.
Hata kusema basi katiba iliyopo iendelee tujue mojaHahahahahaha Babu Msekwa KASTUKA LOL!!!
Huu ni UFINYU mkubwa wa akili. Unadhani kwanini kwenye katiba kuna kipengele cha kuruhusu raia kuikosoa Serikali na waliomo ndani ya Serikali! Wapuuzi kama wewe ni tatizo kubwa sana nchini. Miaka 60 ya uhuru nchi iko hovyo hovyo tu hakuna lolote lile la kujivunia lakini wapuuzi nyinyi HAMLIONI HILO.
Kachomoa wazi wazi.😂😂😂😂😂😂 kaamua kuchomoa Mkuu. Heri nusu shari kuliko shari kamili
😅😅hataki kuongelea katiba mpya ataitwa GaidiKumbe mzee msekwa ni chadema 🤔
Mzee tunajua msimamo wake ni Katiba Mpya. Anahofia roho yake😅😅😅Kasirika tu ila nikuulize BAK, Nchi ipo pale, pale wewe umefanya nn kuinasua?
🤣Maoni yake uyapendayo kuyasikia inawezekana kayatoa humu JF na fake id kama wengine.
Watu wanapenda mteremko kweli, wengine watake risk, wao waje wasifie humu na fake Id🤣🤣 wakishushia ugali tembele nyumbani na wapenzi wao.
Mzee pumzika na kapension kako usitake vita na mamlaka ili upewe sifa za ujasiri na cowards vijana wasioweza hata kukupongeza hadharani na identity zao.
Hawa maccm ukiwaona wanavyoshoboka unaweA kudhani maisha wametoboa sana😅😅Dogo BADO unalala KWA shemeji alafu uleta shobo
Mm sina tatizo na mzee kabisa,🤣 anaeleweka.Mzee tunajua msimamo wake ni Katiba Mpya. Anahofia roho yake😅😅😅