Kipozeo kipo mkuu usijaliChai moto kitumbua Motoπππ
Wanataka kumkatisha Mafao yake Mzee wa watu.
Hofu hofu hofuπ€£π€£π€£π€£π€£π€£ nimecheka sana
ππππππ nime staajabu sana
ππππππ nimesikitika sana
Ccm ni hatari sana kuliko hata hizo barakoa na sindano zao na maji ya kuwasha wanazochoma watoto wetu wa changa hili DUDU waliondoe kabisaaAmekwepa kubambikiwa kesi ya ugaidi!
Wameona jinsi serikali ina mkono mrefu kupitia state organised crooksMtu kastaafu lakini bado anaogopa ogopa kutoa maoni, CCM imetengeneza wazee wa hovyo sana
Hapa ndio akina Mbowe wanaonekana ma-HeroHuyu mzee ana hofu.
Hata kusema basi katiba iliyopo iendelee tujue mojaHahahahahaha Babu Msekwa KASTUKA LOL!!!
Huu ni UFINYU mkubwa wa akili. Unadhani kwanini kwenye katiba kuna kipengele cha kuruhusu raia kuikosoa Serikali na waliomo ndani ya Serikali! Wapuuzi kama wewe ni tatizo kubwa sana nchini. Miaka 60 ya uhuru nchi iko hovyo hovyo tu hakuna lolote lile la kujivunia lakini wapuuzi nyinyi HAMLIONI HILO.
Kachomoa wazi wazi.ππππππ kaamua kuchomoa Mkuu. Heri nusu shari kuliko shari kamili
π π hataki kuongelea katiba mpya ataitwa GaidiKumbe mzee msekwa ni chadema π€
Mzee tunajua msimamo wake ni Katiba Mpya. Anahofia roho yakeπ π πKasirika tu ila nikuulize BAK, Nchi ipo pale, pale wewe umefanya nn kuinasua?
π€£Maoni yake uyapendayo kuyasikia inawezekana kayatoa humu JF na fake id kama wengine.
Watu wanapenda mteremko kweli, wengine watake risk, wao waje wasifie humu na fake Idπ€£π€£ wakishushia ugali tembele nyumbani na wapenzi wao.
Mzee pumzika na kapension kako usitake vita na mamlaka ili upewe sifa za ujasiri na cowards vijana wasioweza hata kukupongeza hadharani na identity zao.
Hawa maccm ukiwaona wanavyoshoboka unaweA kudhani maisha wametoboa sanaπ πDogo BADO unalala KWA shemeji alafu uleta shobo
Mm sina tatizo na mzee kabisa,π€£ anaeleweka.Mzee tunajua msimamo wake ni Katiba Mpya. Anahofia roho yakeπ π π