Mamndenyi JF-Expert Member Joined Apr 11, 2011 Posts 43,242 Reaction score 60,939 Oct 12, 2021 #61 Nikajua tiari mweee
King Kong III JF-Expert Member Joined Oct 15, 2010 Posts 56,205 Reaction score 79,515 Oct 12, 2021 #62 BAK said: Inasikitisha na kushangaza sana Mkuu kuona mpaka hawa Wastaafu wanakuwa waoga kutoa maoni yao hadharani. Click to expand... Mbona ana hasira sana Pius Msekwa? Au ana Kisukari?
BAK said: Inasikitisha na kushangaza sana Mkuu kuona mpaka hawa Wastaafu wanakuwa waoga kutoa maoni yao hadharani. Click to expand... Mbona ana hasira sana Pius Msekwa? Au ana Kisukari?
Intelligence Justice JF-Expert Member Joined Oct 23, 2020 Posts 3,443 Reaction score 4,006 Oct 12, 2021 #63 BAK said: Click to expand... Umetisha, umemchokoa aliyekuwa karani wa katiba ya 1977 na baadae akawa spika wa bunge alihisi hawezi kupumua akatambaa uvunguni akiacha simu ikianguka sakafuni....lah balaa
BAK said: Click to expand... Umetisha, umemchokoa aliyekuwa karani wa katiba ya 1977 na baadae akawa spika wa bunge alihisi hawezi kupumua akatambaa uvunguni akiacha simu ikianguka sakafuni....lah balaa
OKW BOBAN SUNZU Platinum Member Joined Aug 24, 2011 Posts 53,868 Reaction score 121,001 Oct 12, 2021 #64 Wazee wa CCM ni hasara tupu
BAK JF-Expert Member Joined Feb 11, 2007 Posts 124,790 Reaction score 288,165 Oct 12, 2021 Thread starter #65 Mafao Mkuu. King Kong III said: Mbona ana hasira sana Pius Msekwa? Au ana Kisukari? Click to expand...
Mafao Mkuu. King Kong III said: Mbona ana hasira sana Pius Msekwa? Au ana Kisukari? Click to expand...