Dawati la jinsia kufanya nn wakati haki inapatikana mahakamani na si vinginevyo
Sent from my Nokia 6.1 using JamiiForums mobile app
Time will tell.
Tuone hili sakata litaisha vipi. Iam sick and tired of being sick and tired
Kwa mujibu wa katiba Yes
Ila.........let us give time to time. Yajayo.......
Hilo tunalijua vzr,na usifikiri Kama wao ni wajinga hawajui Sheria,ipo hv Jambo hili limefanyika makusudi na vyongozi wajuu wa chadema walilipa baraka japo hawawezi kukubali wanabakia wakisema nyaraka zimegushiwa,utakubaliana na mm kuwa tume inabarua ya uteuzi kutoka chadema na hiyo barua nikielelezo mahakamani kuwa wameonewa na kesi itaenda mahakamani na kusikilizwa chap shahidi no moja akiwa mwenyekit wa tume na ina tolewa hukumu ndani ya mwezi mmoja na bunge lijalo kina Halina ndani ya mjengo
kesho kutwa chadema ipeleke majina stahiki wakaapishwe bungeni, hawa wasaliti warudi nyumbani wakalee familia
Unajuaje kama mimi si mwanzilishi? Yote Tisa ukweli ni kuwa Halima na wenzake 18 ni wabunge halaliYaani unaiezi mitatu tu humu na watu huwajui unaleta ujuaji wewe taga,haya kachukue buku saba yako
Kumfuta Uanachama Mtu ni mchakato wa Kisheria & Kikanuni pia
Mchakato huo ili ukamilike haushii kwenye Kamati Kuu ya Chama husika pekee bali unaenda hadi ngazi ya Mahakama ya Rufaa!
Hivyo Mdee na wenzake 18 bado ni kiuhalisia Wabunge hadi itakapoamuliwa vinginevyo
na mamlaka husika kupitia mchakato huo!
Mzee wetu amekuwa na haraka mno kutoa hitimisho kana kwamba mchakato ulipoishia Ilikuwa Halali Kisheria na kuwa suala hilo limehitimishwa!
Katiba ipo mahsusi kulinda haki za wote na sio maamuzi ya Uongozi Wa Chama pekeyake!
Tusubiri mchakato ukamilike Kabla ya kutoa hitimisho
Hii aione comrade Pascal MayallaSpika Mstaafu wa Bunge, Pius Msekwa, amesema kwa mujibu wa katiba mpaka sasa Halima Mdee na wenzake 18, hawana tena sifa za kuwa wabunge kwa kuwa hawana chama kilichowapeleka Bungeni na hata wakihamia chama kingine hawawezi kupata nafasi hizo, labda mpaka uchaguzi ujao.
Kauli hiyo ameitoa hii leo Novemba 28, 2020, wakati akizungumza na EATV&EA Radio Digital, ilipotaka kufahamu kama sheria na taratibu za Bunge zinaruhusu mbunge asiyekuwa na chama kuendelea kushika nafasi hiyo, hii ni baada ya wabunge hao kufukuzwa uanachama na chama chao cha CHADEMA usiku wa kuamkia leo.
"Siyo sheria ya Bunge hiyo ni Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, inasema kuwa mbunge akiacha kuwa mwanachama wa chama kilichompeleka Bungeni na ubunge wake unakwisha, Spika Ndugai, hapati ugumu wowote wanapoondolewa yeye ni mpokeaji tu, ni kama mganga wa hospitali anapokea wagonjwa akiwatibu wanaondoka na wakifa wanaondoka na hakuna anayeweza kuvunja katiba"- amesema Spika Mstaafu, Mzee Pius Msekwa.
Usiku wa kuamkia leo Novemba 28, 2020, kupitia kikao cha kamati kuu ya chama cha CHADEMA iliyoketi na kuongozwa na Mwenyekiti wake Freeman Mbowe, iliazimia kuwavua uanachama wanachama wake 19 waliokula kiapo cha ubunge bila ridhaa ya chama hicho.
Wanachama waliofukuzwa uanachama ni pamoja na Halima Mdee, Ester Bulaya, Esther Matiko, Cecilia Pareso, Salome Makamba, Grace Tendega, Nusrat Hanje, Jesca Kishoa, Tunza Malapo na wengineo.
CHANZO: "Hakuna wa kuvunja katiba, hawana sifa"- Msekwa | East Africa Television
Wanaenda mahakamani kupinga hayo maamuzi afu mahakama inatengua maamuzi ya chadema ya kuwavua uanachama wao mpaka shauri lao litakaposikilizwa hivyo wataendelea kuwa wabunge.Huo ndio ukweli mchungu. Wakatafute chama cha kuchezea siyo chadema.
Every one knows this constitutional article. It is only the hard heads like Ndugai that violate it maliciously. Our lawyers and judges are dumb and mum; looking helplessly at Ndugai and his associates using the constitution as a toilet material. It is a pity!Spika Mstaafu wa Bunge, Pius Msekwa, amesema kwa mujibu wa katiba mpaka sasa Halima Mdee na wenzake 18, hawana tena sifa za kuwa wabunge kwa kuwa hawana chama kilichowapeleka Bungeni na hata wakihamia chama kingine hawawezi kupata nafasi hizo, labda mpaka uchaguzi ujao.
Kauli hiyo ameitoa hii leo Novemba 28, 2020, wakati akizungumza na EATV&EA Radio Digital, ilipotaka kufahamu kama sheria na taratibu za Bunge zinaruhusu mbunge asiyekuwa na chama kuendelea kushika nafasi hiyo, hii ni baada ya wabunge hao kufukuzwa uanachama na chama chao cha CHADEMA usiku wa kuamkia leo.
"Siyo sheria ya Bunge hiyo ni Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, inasema kuwa mbunge akiacha kuwa mwanachama wa chama kilichompeleka Bungeni na ubunge wake unakwisha, Spika Ndugai, hapati ugumu wowote wanapoondolewa yeye ni mpokeaji tu, ni kama mganga wa hospitali anapokea wagonjwa akiwatibu wanaondoka na wakifa wanaondoka na hakuna anayeweza kuvunja katiba"- amesema Spika Mstaafu, Mzee Pius Msekwa.
Usiku wa kuamkia leo Novemba 28, 2020, kupitia kikao cha kamati kuu ya chama cha CHADEMA iliyoketi na kuongozwa na Mwenyekiti wake Freeman Mbowe, iliazimia kuwavua uanachama wanachama wake 19 waliokula kiapo cha ubunge bila ridhaa ya chama hicho.
Wanachama waliofukuzwa uanachama ni pamoja na Halima Mdee, Ester Bulaya, Esther Matiko, Cecilia Pareso, Salome Makamba, Grace Tendega, Nusrat Hanje, Jesca Kishoa, Tunza Malapo na wengineo.
CHANZO: "Hakuna wa kuvunja katiba, hawana sifa"- Msekwa | East Africa Television
Lakini tukumbuke Magufuli, Ndugai na Ibrahim Juma wamejitungia Sheria ya kutoshitakiwa Ikiwa watafanya makosa ya Ukiukaji wa Katiba na Sheria za nchi wakiwa madarakani...Spika Mstaafu wa Bunge, Pius Msekwa, amesema kwa mujibu wa katiba mpaka sasa Halima Mdee na wenzake 18, hawana tena sifa za kuwa wabunge kwa kuwa hawana chama kilichowapeleka Bungeni na hata wakihamia chama kingine hawawezi kupata nafasi hizo, labda mpaka uchaguzi ujao.
Kauli hiyo ameitoa hii leo Novemba 28, 2020, wakati akizungumza na EATV&EA Radio Digital, ilipotaka kufahamu kama sheria na taratibu za Bunge zinaruhusu mbunge asiyekuwa na chama kuendelea kushika nafasi hiyo, hii ni baada ya wabunge hao kufukuzwa uanachama na chama chao cha CHADEMA usiku wa kuamkia leo.
"Siyo sheria ya Bunge hiyo ni Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, inasema kuwa mbunge akiacha kuwa mwanachama wa chama kilichompeleka Bungeni na ubunge wake unakwisha, Spika Ndugai, hapati ugumu wowote wanapoondolewa yeye ni mpokeaji tu, ni kama mganga wa hospitali anapokea wagonjwa akiwatibu wanaondoka na wakifa wanaondoka na hakuna anayeweza kuvunja katiba"- amesema Spika Mstaafu, Mzee Pius Msekwa.
Usiku wa kuamkia leo Novemba 28, 2020, kupitia kikao cha kamati kuu ya chama cha CHADEMA iliyoketi na kuongozwa na Mwenyekiti wake Freeman Mbowe, iliazimia kuwavua uanachama wanachama wake 19 waliokula kiapo cha ubunge bila ridhaa ya chama hicho.
Wanachama waliofukuzwa uanachama ni pamoja na Halima Mdee, Ester Bulaya, Esther Matiko, Cecilia Pareso, Salome Makamba, Grace Tendega, Nusrat Hanje, Jesca Kishoa, Tunza Malapo na wengineo.
CHANZO: "Hakuna wa kuvunja katiba, hawana sifa"- Msekwa | East Africa Television
Dah! Kama ni hivo wanapaswa kuombewa kwa kweli akina mama hawa.humu wapo naona nyuzi zao wakijaribu kutisha kamati. kibaya ni kwamba kwa sasa wanaishi kama mateka. wanaelekezwa nini cha kufanya
Kikatiba; hawataendelea kuwa wabunge hadi shauri lao liamliwe kwa wao kushinda. La sivyo, imekula kwao; labda Ndugai atumie mabavu kama kawaida yake.Mzee msekwa angeulizwa,
He, iwapo CCM wakiamua kuwapeleka kina Halima Mdee na henhw lake mahakamani ili wakaweke zuio la kupingwa kufukuzwa uanachama,
He, wataendelea kuwa wabunge?
Cc.
Cha ajabu Leo jumamosi utasikia mahakama zimefunguliwa na tayali kina Covid 19 wameshafungua mashitaka.
Kama wanajua kwamba watakuwa wabunge wa jamhuri kwa nini wasibaki hivyo, kwa nini waende mahakamaniKichekesho cha asubuhi,
Akihojiwa na Azam FM Radio, Propesa Kitila Mkumbo amedai kuwa hata baada ya kuvuliwa uanachama, akina Halima watakuwa wabunge wa Jamhuri. Lakini huyohuyo pia kawataka kwenda mahakamani kudai uanachama wao.
Hawa wanaojiita Madoctor awamu hii hata huwezi kuwaamini, kuanzia na Dr mkuuKichekesho cha asubuhi,
Akihojiwa na Azam FM Radio, Propesa Kitila Mkumbo amedai kuwa hata baada ya kuvuliwa uanachama, akina Halima watakuwa wabunge wa Jamhuri. Lakini huyohuyo pia kawataka kwenda mahakamani kudai uanachama wao.
Wakati huo huo kuna mmoja kati ya wale wamama alikuwa jela hiyo tarehe 20/11/2020, vichekesho!!20/11/2020 hiyohiyo NEC inasema ndio ilipokea barua toka CHEDEMA,,Inachekesha
Hamna, katiba inasema hivyo sio Msekwa, atakayempiga bati atakuwa hamnazoBaadae atapigwa bati utasikia nilinukuliwa vibaya sikumaanisha hivyo π π π π
Wanaoongozwa na shetani wa kipwelele, watatafuta lugha mpya za kuongeaTukisemaga CCM na NECCM hawana akili huwa tunamaanishaView attachment 1636584
Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
Hivi huyu yupo JUU ya sheria? Mbona anamwangusha mzee John Malecela?Kikatiba; hawataendelea kuwa wabunge hadi shauri lao liamliwe kwa wao kushinda. La sivyo, imekula kwao; labda Ndugai atumie mabavu kama kawaida yake.