Plan halisi na zao linalotoka hutofautiana, sababu ziko nyingi

Plan halisi na zao linalotoka hutofautiana, sababu ziko nyingi

Sky Eclat

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2012
Posts
57,761
Reaction score
216,011
1649789038209.png


Sababu kubwa ni mjengaji kumudu gharama. Kwanza fundi akiiona picha na ramani anakutajia gharama yake. Gharama anakutajia kwakuwa anaijua kazi na anaujua ugumu wake. Unaamua kumtafuta fundi Maiko mnaekewana. Umeshatoka nje yaoriginal plan.

Fundi anakuambia double glazing ni bora, wala hitasikia kelele hata za radi ukiwa ndani, zaidi ya kuona mwanga. Unamjibu kuwa una mvule wako shambani uliuweka tangu miaka 15 iliyopita utatumia mbao zake kwa frame ya madirisha.

Matokeo hayawezi kulingana labda moyo uridhike.
 
My comprehension is either very poor or rather Iam not the audience meant for this thread.
 
Back
Top Bottom