Planet Saturn

Planet Saturn

Katika solar system yetu, Planet Saturn ndio the most developed planet kuliko planet nyingine yoyote ile kuanzia miundo mbinu, science and technology.

Dunia inaongozwa kutoka Sayari hii. Viongozi wakuu WA dunia hii wanapata maarifa ya namna ya kuongoza na kuitawala dunia kutoka Planet Saturn.

miungu wanao tawala planet Saturn ndio miungu wenye nguvu kubwa za kiroho kuliko miungu wanao tawala katika Sayari nyinginezo zilizopo katika solar system yetu.

miungu kutoka Sayari nyinginezo katika solar system yetu they respond to the commands of the gods and lords of planet Saturn.

Manabii na Mitume wengi katika Sayari hii ya dunia have got their spiritual powers from planet Saturn.

Kuna connection kubwa Sana ya kiroho Kati ya Planet Saturn na planet Earth.


How can one access those powers and wisdom?
 
Katika solar system yetu, Planet Saturn ndio the most developed planet kuliko planet nyingine yoyote ile kuanzia miundo mbinu, science and technology.

Dunia inaongozwa kutoka Sayari hii. Viongozi wakuu WA dunia hii wanapata maarifa ya namna ya kuongoza na kuitawala dunia kutoka Planet Saturn.

miungu wanao tawala planet Saturn ndio miungu wenye nguvu kubwa za kiroho kuliko miungu wanao tawala katika Sayari nyinginezo zilizopo katika solar system yetu.

miungu kutoka Sayari nyinginezo katika solar system yetu they respond to the commands of the gods and lords of planet Saturn.

Manabii na Mitume wengi katika Sayari hii ya dunia have got their spiritual powers from planet Saturn.

Kuna connection kubwa Sana ya kiroho Kati ya Planet Saturn na planet Earth.
unaandika kirahis rahis tu😆😆
 
I always have intuition similar to this. That probably every planet has it's own god. And the so called Mungu wa majeshi anapambana na miungu wa sayari nyingine, otherwise kwanini aitwe Bwana wa majeshi?
That probably every planet has it's own god and every past has its own ghost
 
Mods muwe mnachuja uzi kabla ya kuingia online.
Ndio uzi gani huu sasa.

Allah kariim
 
Katika solar system yetu, Planet Saturn ndio the most developed planet kuliko planet nyingine yoyote ile kuanzia miundo mbinu, science and technology.

Dunia inaongozwa kutoka Sayari hii. Viongozi wakuu WA dunia hii wanapata maarifa ya namna ya kuongoza na kuitawala dunia kutoka Planet Saturn.

miungu wanao tawala planet Saturn ndio miungu wenye nguvu kubwa za kiroho kuliko miungu wanao tawala katika Sayari nyinginezo zilizopo katika solar system yetu.

miungu kutoka Sayari nyinginezo katika solar system yetu they respond to the commands of the gods and lords of planet Saturn.

Manabii na Mitume wengi katika Sayari hii ya dunia have got their spiritual powers from planet Saturn.

Kuna connection kubwa Sana ya kiroho Kati ya Planet Saturn na planet Earth.

Can you bring a proof on it
 
Sijui hua mnazitolea wapi izi maneno
Juzijuzi kitaani nilipewa story za trump kua anachimba madini mbinguni nakusabisha mawe makubwa kuanguka kuelekea dunia nakuleta mvua nyingi zinazoleta mafuriko.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Katika solar system yetu, Planet Saturn ndio the most developed planet kuliko planet nyingine yoyote ile kuanzia miundo mbinu, science and technology.

Dunia inaongozwa kutoka Sayari hii. Viongozi wakuu WA dunia hii wanapata maarifa ya namna ya kuongoza na kuitawala dunia kutoka Planet Saturn.

miungu wanao tawala planet Saturn ndio miungu wenye nguvu kubwa za kiroho kuliko miungu wanao tawala katika Sayari nyinginezo zilizopo katika solar system yetu.

miungu kutoka Sayari nyinginezo katika solar system yetu they respond to the commands of the gods and lords of planet Saturn.

Manabii na Mitume wengi katika Sayari hii ya dunia have got their spiritual powers from planet Saturn.

Kuna connection kubwa Sana ya kiroho Kati ya Planet Saturn na planet Earth.
Dreaming! I regret to waste my time.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
kuna nadharia nyingi sana katka ulimwengu huu zisizo maana kama hii ya mleta uzi, wengi tunawaandama waliofanikiwa kupita kiasi tukihisi wanatumia nguvu za ziada bt no hili jambo halina uhalisia mkuu...

mungu pekee ndo hubariki na huwachagua wachache katika wengi bt wengi wa waliofail kifikra na kimaisha huanzisha nadharia za ovyo ili kuwapaka tope watu hawa bt mkuu nakuhakikishia hakuna uhalisia wowote ktk nadharia uchwara hizo
 
Wanawasiliana vipi kuna quantum replica huko za viongozi wa dunia? Au hizo mbinu za kutawala zinafikaje from Saturn to Earth, maana Cassini spent almost 20 years to get there and apparently the whole thing is full of gas and very radioactive to host any life.
 
nadharia kama hizi ni zakupuuzwa kabisa, majuzi nilipita pahala nikakuta story isemayo mmiliki wa jf ni freemason dah! hapo ndo nikajua kua kumbe unapo hustle kutimiza ndoto zako kuna makundi huaandaa mikakati ya chuki ajili yakukuchafua, inshort mi hua siamini nadharia yoyote mpaka niichekeche kwa kuitafakari kwa mda mrefu tena kwa marefu na mapana
 
Wanawasiliana vipi kuna quantum replica huko za viongozi wa dunia? Au hizo mbinu za kutawala zinafikaje from Saturn to Earth, maana Cassini spent almost 20 years to get there and apparently the whole thing is full of gas and very radioactive to host any life.
Mostly spirituality sio nguvu hizi physical au haya mawasiliano yetu ya kawaida......haya unaweza ukayaelewa kama umesoma sana elimu ya nyota
 
Mostly spirituality sio nguvu hizi physical au haya mawasiliano yetu ya kawaida......haya unaweza ukayaelewa kama umesoma sana elimu ya nyota
I kinda expected an answer will be in some form of telepathy otherwise there is no logical scientific explanation or something to do with satellite conspiracies.

Wanasayansi washatembelea sayari zote na kutua ndani ya tatu ambazo ni rocky planets; hizo zingine sio kwamba awajafika na kujaribu kuangusha vyombo waone itakuwaje ni kwamba avifiki hata kwenye atmospheric layers za sayari vinalipuka sasa mtu anatuambia kuna watu wanaishi huko.

Possibility ya life kwenye gas planet zipo kwenye moons tu tena in the form of microorganisms.

Hizi mada zingine kuzielewa ngumu kweli what next there is life on the sun too.

Hivi ata hiyo evolution ya computer from the invention of ADA machine mpaka kina Gates wanaingia kwenye tunaijua kweli mpaka credit apewe yeye.

Anyway embu Magu atoke huko alipojificha aseme kitu wengine tupate chakusema jukwaa la siasa; hizi mada zingine tuwaachie wataalamu wa mambo ya spiritual.
 
Wanawasiliana vipi kuna quantum replica huko za viongozi wa dunia? Au hizo mbinu za kutawala zinafikaje from Saturn to Earth, maana Cassini spent almost 20 years to get there and apparently the whole thing is full of gas and very radioactive to host any life.
I am.coming
 
Back
Top Bottom