"Plasduce Mbossa: Hakuna Mkataba wa Miaka 100 katika Bandari ya Dar es Salaam"

"Plasduce Mbossa: Hakuna Mkataba wa Miaka 100 katika Bandari ya Dar es Salaam"

Nyabukika

JF-Expert Member
Joined
Jun 15, 2022
Posts
1,440
Reaction score
1,046
Plasduce Mbossa, Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari, athibitisha kutokuwepo kwa mkataba wa miaka 100: "Upotoshaji ulioenezwa kuhusu mkataba wa miaka 100 ni wa kushtua, hakuna sehemu yoyote katika mkataba iliyotaja kipindi hicho kirefu.

Watu wanaosambaza taarifa hizo walikuwa na malengo yao binafsi. Mkataba uliopo una kipengele kinachosema kuwa ikiwa hakuna hatua zitakazochukuliwa kwa muda wa miezi 12, basi mkataba huo unaweza kufikia kikomo.

Pia, mkataba unasisitiza kuwa ikiwa hatutafikia muafaka katika mkataba wa utekelezaji, mkataba huo utakuwa umekwisha.

Hivyo, ni wazi kuwa kuna vigezo ambavyo vinaweza kuvunja mkataba huo."
 
Plasduce Mbossa, Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari, athibitisha kutokuwepo kwa mkataba wa miaka 100: "Upotoshaji ulioenezwa kuhusu mkataba wa miaka 100 ni wa kushtua, hakuna sehemu yoyote katika mkataba iliyotaja kipindi hicho kirefu. Watu wanaosambaza taarifa hizo walikuwa na malengo yao binafsi. Mkataba uliopo una kipengele kinachosema kuwa ikiwa hakuna hatua zitakazochukuliwa kwa muda wa miezi 12, basi mkataba huo unaweza kufikia kikomo. Pia, mkataba unasisitiza kuwa ikiwa hatutafikia muafaka katika mkataba wa utekelezaji, mkataba huo utakuwa umekwisha. Hivyo, ni wazi kuwa kuna vigezo ambavyo vinaweza kuvunja mkataba huo."
hata sisi tumekubaliana, hakuna mkataba wa miaka 100, ila kuna mkataba wa miaka isiyojulikana, inawezakuwa 20, inaweza kuwa 100 au hata 200. nini icho sasa?
 
Plasduce Mbossa, Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari, athibitisha kutokuwepo kwa mkataba wa miaka 100: "Upotoshaji ulioenezwa kuhusu mkataba wa miaka 100 ni wa kushtua, hakuna sehemu yoyote katika mkataba iliyotaja kipindi hicho kirefu. Watu wanaosambaza taarifa hizo walikuwa na malengo yao binafsi. Mkataba uliopo una kipengele kinachosema kuwa ikiwa hakuna hatua zitakazochukuliwa kwa muda wa miezi 12, basi mkataba huo unaweza kufikia kikomo. Pia, mkataba unasisitiza kuwa ikiwa hatutafikia muafaka katika mkataba wa utekelezaji, mkataba huo utakuwa umekwisha. Hivyo, ni wazi kuwa kuna vigezo ambavyo vinaweza kuvunja mkataba huo."
Wauweke wazi basi huo mkataba mzuri.
Amandla...
 
Plasduce Mbossa, Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari, athibitisha kutokuwepo kwa mkataba wa miaka 100: "Upotoshaji ulioenezwa kuhusu mkataba wa miaka 100 ni wa kushtua, hakuna sehemu yoyote katika mkataba iliyotaja kipindi hicho kirefu. Watu wanaosambaza taarifa hizo walikuwa na malengo yao binafsi. Mkataba uliopo una kipengele kinachosema kuwa ikiwa hakuna hatua zitakazochukuliwa kwa muda wa miezi 12, basi mkataba huo unaweza kufikia kikomo. Pia, mkataba unasisitiza kuwa ikiwa hatutafikia muafaka katika mkataba wa utekelezaji, mkataba huo utakuwa umekwisha. Hivyo, ni wazi kuwa kuna vigezo ambavyo vinaweza kuvunja mkataba huo."
ACCORDING TO THIS INTERNATIONAL INVESTMENT LAWYER, TUMESHAINGIA 'CHA KIKE' NA THERE IS NO TURNING BACK. HE IS MAKING A LOT OF SENSE 🤔

 
Kwahiyo wakizingatia vigezo hata miaka 300 sawa tu?
Vigezo ni pamoja na Serikali kukusanya 100% Kodi na sio Kodi zinakusanywa na wajanja janja humo bandarini then Kodi zinavuja mifukoni mwao. Kuna kitu Watanzania Bado TU gizani. Kwani kampuni likiwekeza Mnafikiri mnaibiwa?? Sasa ni Bora abanwe mtu mmoja awe anatoa Kodi moja Kwa Moja.
 
Plasduce Mbossa, Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari, athibitisha kutokuwepo kwa mkataba wa miaka 100: "Upotoshaji ulioenezwa kuhusu mkataba wa miaka 100 ni wa kushtua, hakuna sehemu yoyote katika mkataba iliyotaja kipindi hicho kirefu. Watu wanaosambaza taarifa hizo walikuwa na malengo yao binafsi. Mkataba uliopo una kipengele kinachosema kuwa ikiwa hakuna hatua zitakazochukuliwa kwa muda wa miezi 12, basi mkataba huo unaweza kufikia kikomo. Pia, mkataba unasisitiza kuwa ikiwa hatutafikia muafaka katika mkataba wa utekelezaji, mkataba huo utakuwa umekwisha. Hivyo, ni wazi kuwa kuna vigezo ambavyo vinaweza kuvunja mkataba huo."
UONGO, UONGO UONGO, MUOGOPE MUNGU WAKO LABDA KAMA ANAYEABUDIWA NI SHETANI.
OVERRRR...
 
Vigezo ni pamoja na Serikali kukusanya 100% Kodi na sio Kodi zinakusanywa na wajanja janja humo bandarini then Kodi zinavuja mifukoni mwao. Kuna kitu Watanzania Bado TU gizani. Kwani kampuni likiwekeza Mnafikiri mnaibiwa?? Sasa ni Bora abanwe mtu mmoja awe anatoa Kodi moja Kwa Moja.
Ninafikara kama zako, lakini kwa namna mkataba huu ulivyo na cv ya hio kampuni hakika with big HAPANA.
Acha tulane kwanza wenyewe kwa wenyewe kuliko kuuza nchi
 
Back
Top Bottom