ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Hongera Serikali na TPA.Hakikisheni Bandari ya Bagamoyo inajengwa Kwa kushirikiana na Private sector.
Hiyo Bandari ni mojawapo ya miradi mikakati ya kutufikisha kwenye mafanikio ya Dira ya 2050 ya Uchumi wa $700Bln.
View: https://www.instagram.com/p/DGfMFRaM8Mq/?igsh=ZTB1N3ZxMDU1aHN5
My Take
Wale wa Bandari zimeuzwa wakatunge uzushi mwingine.
Pia watuambie kabla hazijauzwa tulipata nini na baada ya kuuzwa tumepoteza nini 🤪🤪
View: https://x.com/TanzaniaDigest/status/1894323641950605590?t=-a2z339QlYvjJSAFAYo_CA&s=19
Pia soma Tetesi: - Saudi Arabia yapewa haki ya umiliki na uendeshaji wa bandari ya Bagamoyo kama sehemu ya mradi wa East Gate
Kubwa kuliko ya Bagamoyo Port ni hii hapa 👇 👇
View: https://x.com/swahilitimes/status/1894706871384064159?t=5ep6_5y0MmLVGnVkNTcCWA&s=19
Hiyo Bandari ni mojawapo ya miradi mikakati ya kutufikisha kwenye mafanikio ya Dira ya 2050 ya Uchumi wa $700Bln.
View: https://www.instagram.com/p/DGfMFRaM8Mq/?igsh=ZTB1N3ZxMDU1aHN5
My Take
Wale wa Bandari zimeuzwa wakatunge uzushi mwingine.
Pia watuambie kabla hazijauzwa tulipata nini na baada ya kuuzwa tumepoteza nini 🤪🤪
View: https://x.com/TanzaniaDigest/status/1894323641950605590?t=-a2z339QlYvjJSAFAYo_CA&s=19
Pia soma Tetesi: - Saudi Arabia yapewa haki ya umiliki na uendeshaji wa bandari ya Bagamoyo kama sehemu ya mradi wa East Gate
Kubwa kuliko ya Bagamoyo Port ni hii hapa 👇 👇
View: https://x.com/swahilitimes/status/1894706871384064159?t=5ep6_5y0MmLVGnVkNTcCWA&s=19