Plasduce Mbossa wa TPA: Serikali Kupitia TPA imesaini MoUs na Kampuni za Saudi Arabia,China na Egypt Ili Kuendeleza Bandari ya Bagamoyo

Kama hawana Wana uwezo wa ku mobilize zikapatikana.
Sasa mbona unajitukana? Yule mzee wenu aliua MECCO na mashirika mengi sana. Au unataka kusema IQ ndogo? Maana hujisifu kuwa mnaweza. Mradi mnajengewa Dollar billioni na na dolla millioni 500 zinaenda kwao. Ingekuwa MECCO hapo zote zingebaki Tanzania. IQ, IQ.............................
 

Mkuu,

Mikataba ya Bandari unaiona?
 
Naona kafulila kaanza kufunikwa.

Nyau de adriz
 
Bad Kwa nini labda?
Nnachokiona hapa watu Wana chuki na Chama kinachounda serikali hata kifanye jambo zuri lipi bado watatafuta angle tu ya kuponda....wapinzani wangepewa nao nchi hata miaka 10 tuone kuna kipi kipya wataleta.....maana wakati mwingine huwa wanaongea theory nyingi sana Sasa wapewe nchi wafanye Yale wanayopigia kelele....wakishindwa tuwafurushe tuwarudishe Kijani tena watawale milele
 
Sasa Mboso anafanya Kazi Bandari gani hapo Daslam? 😂
 
CCM nyie ni wehu Magufuli alipokataa huo mradi akishangiliwa leo hivi mnaukubali kwa mara nyingine anashangiliwa atakuja mwingine tena apinge anashangiliwa, hovyo kabisa
Magufuli kibinadamu alimuonea wivu Kikwete huo mradi ulianza chini ya awamu ya nne. Akaona kwamba sifa zote zitamwendea Kikwete akaamua kuukata mradi kwa kigezo cha mikataba kutokaa vizuri kwa upande wa Tanzania.

Wanasiasa wa ngazi za urais barani afrika, wanaongozwa na ubinafsi japo wanauficha kwa kutumia hotuba zenye kujaribu kuuonyesha umma kwamba wao ni wazalendo kwa mataifa yao.
 
Huyu mzanzibar anauza kila kitu cha bara lakini Zanzibar hagusi, tumshitukie tuamke wabara
Ukiwa na upeo mdogo unaweza kuamini haya maneno yako inabidi utembee huko bara uone mambo anayoyafanya Samia akiongozwa na utanzania wake sio uzanzibari.

Viwanja viwili vikubwa vitatumiwa na Tanzania baada ya AFCON ya 2027 kumalizika.

Viwanja vya ndege vinavyojengwa muda huu ni mali ya serikali ya Tanzania wakati huo Samia yupo kwao Kizimkazi.

Daraja la Kigongo Busisi lipo Mwanza wakati SSH kwao ni Unguja.

Mengi sana yanayofanyika muda huu yanakwenda kuibeba Tanzania kwa miaka mingi ijayo.
 
Utakuwa na shida ya akili, mbona hutaji ya Zanzibar? kwamba hatulipi kodi?
 

Kila mradi siku hizi lazima uwe na component ya Mwarabu ndani yake.

Kweli damu ni nzito kiliko maji.
 
Kila mradi siku hizi lazima uwe na component ya Mwarabu ndani yake.

Kweli damu ni nzito kiliko maji.
Kama ndo wenye hela na terms nzuri kuna shida hapo kwani???.....kuna project ngapi Zina mkono wa wazungu na bdo tunapigwa??....mfano kipindi cha Jiwe alivyosumbuana na Acacia....walikuwa wa Canada wale wazungu tunaowahusudu lakini Jiwe ndo akatutangazia wale ni wezi......asili sidhani kama ni shida....kikubwa anayekuja awe na manufaa kwa taifa... period
 
Hadi ifike 2030, mpaka wananchi nao watakuwa wameshapigwa mnada kwa hao Waarabu. Yaani kuna kila dalili ya kurudishwa enzi za utumwa kutokana tu na aina ya watawala tulio nao.

Mimi kwa kweli nitahamia Burundi ili kuunga mkono ile kauli ya Lameck.
 
This so-called 'choicevariable' is someone obtuse of his caliber.
 
Huyu bibi atauza kila kitu.
Ikifika 2030 vyama vya wasio na ajira vitakuwa na wanachama 30 millions
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…