Mpo mnahangaika na utekaji nyie mbwa koko siku zenu zinahesabika tunza hiliMbona unatoa maoni kinzani.hadi unaropoka matusi umepata shida gani?
🚮🚮🚮Umbwa wewe mpaka tuvamie ndio useme hakuna usalama! Kuna maeneo nyeti ambayo hutakiwi kucheza nayo we kiazi!
Ndio hivyo mbwa wanawanyooshaMpo mnahangaika na utekaji nyie mbwa koko siku zenu zinahesabika tunza hili
Of course ukiona serikali imetengeneza vikundi vilivyojificha nje ya mfuma wa majeshi, ujue hiyo ni serikali ya kijambazi! Nitawaita Mbwa pamoja na weewe unayewatetea ni mbwa koko tu!Ndio hivyo mbwa wanawanyoosha
Mwaka 2030 mbona mbali sana mtakuwa mmeshaanza kuyaona matokeo ya haya maamuzi ya ovyo anayofanya Samia na machawa wake.Hadi ifike 2030, mpaka wananchi nao watakuwa wameshapigwa mnada kwa hao Waarabu. Yaani kuna kila dalili ya kurudishwa enzi za utumwa kutokana tu na aina ya watawala tulio nao.
Mimi kwa kweli nitahamia Burundi ili kuunga mkono ile kauli ya Lameck.
Sasa unashangilia kama hata mkataba wenyewe hauujui? Unaamini vipi kama haya ndio makubaliano pekee kwenye huo mkataba?Hakuna mkataba wa kuuona ,sheria hazitaki hayo unayosema wewe.
Zanzibar na Bara ni nchi moja, Samia ni Rais wa JMT yote kwa ujumla wake kwake yeye kinachofanyika popote ndani ya Jamhuri mhusika mkuu ni mamlaka yake.Utakuwa na shida ya akili, mbona hutaji ya Zanzibar? kwamba hatulipi kodi?
Wewe dada huna akili hata kidogo, kama Zanzibar na Bara ni nchi moja nenda kule ukanunue ardhi, ugombee, omba ajira ama kitambulisho cha mkazi kama utapewa. Haya mawazo yako ya kipumbavu ya kuigeuza bara kuwa koloni la wazanzibar mimi sina huo ushetani.Zanzibar na Bara ni nchi moja, Samia ni Rais wa JMT yote kwa ujumla wake kwake yeye kinachofanyika popote ndani ya Jamhuri mhusika mkuu ni mamlaka yake.
Akili huna wewe ambaye unawaza vitu vya kipumbavu muda wote.
Muda sio mrefu ofisi ya mwanasheria mkuu itaanza kupitia wasifu wa hawa wawekezaji watatu watakaopitishwa na serikali kwa ajili ya shughuli za uwekezaji kuanza.Sasa unashangilia kama hata mkataba wenyewe hauujui? Unaamini vipi kama haya ndio makubaliano pekee kwenye huo mkataba?
Halafu tukisema nyie machawa hamna tofauti na maiti zinazotembea mnahisi kutukanwa
Kama kweli unazo akili nzuri kwanini ukahangaike na eneo dogo la Zanzibar halafu ukaiacha ardhi nyingi tu iliyopo huku Bara?. Mapori matupu yamejaa kuanzia hapo Kisarawe na Bagamoyo halafu uende ukahangaike na ardhi ya visiwani!!.Wewe dada huna akili hata kidogo, kama Zanzibar na Bara ni nchi moja nenda kule ukanunue ardhi, ugombee, omba ajira ama kitambulisho cha mkazi kama utapewa. Haya mawazo yako ya kipumbavu ya kuigeuza bara kuwa koloni la wazanzibar mimi sina huo ushetani.
Wewe dada umelaaniwa haswa, Kilimanjaro ardhi ni kidogo kuna mtu amewahi kuzuiwa wa kutoka Tabora ama Morogoro kisa ardhi Kilimanjaro ni kdg? Dar ardhi ni kidogo mbona tukienda tunanunua na hatuzuiwi na mtu? Utabaki na ujinga wako mileleKama kweli unazo akili nzuri kwanini ukahangaike na eneo dogo la Zanzibar halafu ukaiacha ardhi nyingi tu iliyopo huku Bara?. Mapori matupu yamejaa kuanzia hapo Kisarawe na Bagamoyo halafu uende ukahangaike na ardhi ya visiwani!!.
Mjinga wewe usiyejua kwamba idadi ya wakazi wa Kinondoni pekee ni wengi kuliko Unguja na Pemba ukiziweka pamoja.Wewe dada umelaaniwa haswa, Kilimanjaro ardhi ni kidogo kuna mtu amewahi kuzuiwa wa kutoka Tabora ama Morogoro kisa ardhi Kilimanjaro ni kdg? Dar ardhi ni kidogo mbona tukienda tunanunua na hatuzuiwi na mtu? Utabaki na ujinga wako milele
Wewe huna akili na ni kati ya wanawake wajinga nchi hii, muungano ambao wazanzibar wana haki pekee lakini sisi haturuhusiwi hata kuishi tunachukuliwa kama wageni kutoka nje. Sitaki mimi muungano wa kijinga nataka haki sawa kama ni ajira tupate wote, wingi wa watu siyo issue kama wao ni wachache kwanini wao wanaruhusiwa kama ilivyo wazaliwa wa Arusha au Morogoro?Mjinga wewe usiyejua kwamba idadi ya wakazi wa Kinondoni pekee ni wengi kuliko Unguja na Pemba ukiziweka pamoja.
Siasa za chuki haziwezi kutuacha salama, kumbuka kuwa Urais wa Samia upo kwa sababu ya kifo cha JPM. Hatuwezi kukubaliana na mawazo ya kijinga ya kuivunja nchi kisa uzanzibari wa Samia.
Uwepo wa wazanzibari nina uhakika hauingiliani na wewe na familia yako kupata riziki zenu za kila siku.Wewe huna akili na ni kati ya wanawake wajinga nchi hii, muungano ambao wazanzibar wana haki pekee lakini sisi haturuhusiwi hata kuishi tunachukuliwa kama wageni kutoka nje. Sitaki mimi muungano wa kijinga nataka haki sawa kama ni ajira tupate wote, wingi wa watu siyo issue kama wao ni wachache kwanini wao wanaruhusiwa kama ilivyo wazaliwa wa Arusha au Morogoro?
Kwani Kilimanjaro ni kubwa? sisi ndugu zetu wanakosa ajira wanapewa wazanzibar mpk TAMISEMI lakini hakuna mbara hata mmoja kule kwenye serikali yao. Huo ujinga sisi hatuutaki, wewe mzanzibar anakusaidia nini au ni kwa sababu huna akili umelaaniwa?Uwepo wa wazanzibari nina uhakika hauingiliani na wewe na familia yako kupata riziki zenu za kila siku.
Zanzibari nimekueleza kuhusu udogo ilionao kwa kuilinganisha na Bara. Sio kweli kwamba wazenji wana haki pekee ni aina ya jiografia zetu zilivyo.
Umelaaniwa wewe na ukoo wako wote. Watanzania bara tunapata ajira nyingi serikalini, punguza hizi nongwa za kipumbavu ongea kama mtu mwenye akili timamu.Kwani Kilimanjaro ni kubwa? sisi ndugu zetu wanakosa ajira wanapewa wazanzibar mpk TAMISEMI lakini hakuna mbara hata mmoja kule kwenye serikali yao. Huo ujinga sisi hatuutaki, wewe mzanzibar anakusaidia nini au ni kwa sababu huna akili umelaaniwa?
Nitaongea na mumeo akusaidie nadhani una shida dada anguUmelaaniwa wewe na ukoo wako wote. Watanzania bara tunapata ajira nyingi serikalini, punguza hizi nongwa za kipumbavu ongea kama mtu mwenye akili timamu.
Zanzibar ni sehemu ndogo sana ya Muungano wa Tanzania, kama unakuumiza kiasi cha kujiona mnyonge, basi nenda kapimwe akili zako pale Muhimbili.
Unaongea na mwanaume mwenye zaidi ya miaka 50 juu ya uso wa dunia hii, wajinga wa aina yako hawawezi kupewa muda hata wa kusikilzwa mawazo ya kuvunja nchi hakuna anayeweza kuyaendekeza.Nitaongea na mumeo akusaidie nadhani una shida dada angu
Kama una miaka 50 huku huna akili basi kuna shida kubwa sn, utaendelea kuwa mpumbavu mpk lini?Unaongea na mwanaume mwenye zaidi ya miaka 50 juu ya uso wa dunia hii, wajinga wa aina yako hawawezi kupewa muda hata wa kusikilzwa mawazo ya kuvunja nchi hakuna anayeweza kuyaendekeza.
Mitano tena kwa Dr Samia Suluhu Hassan, piga kelele mpaka uchoke bwana mdogo.Kama una miaka 50 huku huna akili basi kuna shida kubwa sn, utaendelea kuwa mpumbavu mpk lini?