Kwa kweli itakuwa hajamuelewa
okay sawa.Nahisi pia utakiwa umenotice nyingi ya hizo gari ni baby walker!
Mkuu aidha Ww ni mgeni kwenye magari au huna utafiti,namba A na B zilikimbia haraka kutokana na pikipiki na Bajaji zilikuwa zinatumia usajili mmoja na gari.
Kwamba namba D imekimbia sio kweli,ina zaidi ya miaka 7 ipo tu
Nissan xtrail.Waswahili bhana so hujaona lolote la msingi isipokuwa typing error!
Watu kama nyie hamwendeleagi na mwisho wa siku mnakuwaga wachawi na wanga
Tunajifunza nini hapoMagari yananuliwa lakini nyumba hazijengwi mkuu...
Ushaona dampo la magari yaliyochakaa eneo lako?Watanzania walio wengi tunanunua magari used,Sasa hapo lazima namba zikimbie maana ndani ya miaka 3 gari imeshaanza kuchakaa.......
Unajua Alferbet moja mpaka iishe yanakuwa yamesajiliwa magari mangapi ya aina moja?Mimi nina maoni tofauti kidogo naona gari hazinunuliwi namna hiyo!!
Namba D tangu mwanzoni mwa 2015 mpaka leo bado ipo jamani!?? Bado tunasema watu wananunua magari kwa wingi! ?
Hebu wenye nazo muongeze Spid ya kununua magari tumtokomeze huyu Namba D ameshaanza kuwa Mugabe sasa!!!
Hakuna ukweli kuhusu hili, awamu hii kasi ya ununuzi magari imepungua. Namba inayoanzia D imekaa muda mrefu sana. Kama sikosei JK aliacha DK..
Hakuna ukweli kuhusu hili, awamu hii kasi ya ununuzi magari imepungua. Namba inayoanzia D imekaa muda mrefu sana. Kama sikosei JK aliacha DK..
Hii hali imetokea baada ya kutenganisha usajili wa pikipiki na magar tofauti na kipindi cha jk mkuuHakuna ukweli kuhusu hili, awamu hii kasi ya ununuzi magari imepungua. Namba inayoanzia D imekaa muda mrefu sana. Kama sikosei JK aliacha DK..
Mikopo nayo ni source ya kipato kwa mtu.Sijawahi kuona kipindi ambacho namba za magari zinakimbia kama wakati huu na huku mitaani kukiwa na malalamiko yakuwa vyuma vimekaza!
Miaka ya nyuma number A to B ilitumia more than 10 years but sasahivi yani unaweza shangaa number D isimalize miaka 5 licha ya namna bora ya urefushaji wa mgawanyo wa namba unaotumika!
Last two months DQ.. was on top juz nimestushwa kuona eti tushafika DR.. duh!
Nakosa jibu je ni kweli vyuma vimekaza au havijakaza?
Nisaidieni wadau na ningependa general views usijiongelee ww binafsi ongelea maisha ya watu wanaokuzunguka kwa ujumla.
Sijui hii imekaaje, kuna gari ilisajiliwa September 2015 no DFD. Labda kama kuna other factors wanazingatia kwenye numbering.Unazingua ww mzee me kasajil gari 2016 october ilikuw DDF
Gari za makonda'ktaNahisi pia utakiwa umenotice nyingi ya hizo gari ni baby walker!
Hakuna ukweli kuhusu hili, awamu hii kasi ya ununuzi magari imepungua. Namba inayoanzia D imekaa muda mrefu sana. Kama sikosei JK aliacha DK..
Mkuu ujenzi gharama.Magari yananuliwa lakini nyumba hazijengwi mkuu...
Mwambie huyoUnazingua ww mzee me kasajil gari 2016 october ilikuw DDF