Plate namba za magari zinavyokimbia hivi ni kweli vyuma vimekaza ?

Plate namba za magari zinavyokimbia hivi ni kweli vyuma vimekaza ?

Mkuu aidha Ww ni mgeni kwenye magari au huna utafiti,namba A na B zilikimbia haraka kutokana na pikipiki na Bajaji zilikuwa zinatumia usajili mmoja na gari.
Kwamba namba D imekimbia sio kweli,ina zaidi ya miaka 7 ipo tu

Achana nae....ni mwana Lumumba huyo!
 
Mimi nina maoni tofauti kidogo naona gari hazinunuliwi namna hiyo!!

Namba D tangu mwanzoni mwa 2015 mpaka leo bado ipo jamani!?? Bado tunasema watu wananunua magari kwa wingi! ?

Hebu wenye nazo muongeze Spid ya kununua magari tumtokomeze huyu Namba D ameshaanza kuwa Mugabe sasa!!!
 
Watanzania walio wengi tunanunua magari used,Sasa hapo lazima namba zikimbie maana ndani ya miaka 3 gari imeshaanza kuchakaa.......
Ushaona dampo la magari yaliyochakaa eneo lako?
Mpaka sasa namba A zipo barabarani
 
Mimi nina maoni tofauti kidogo naona gari hazinunuliwi namna hiyo!!

Namba D tangu mwanzoni mwa 2015 mpaka leo bado ipo jamani!?? Bado tunasema watu wananunua magari kwa wingi! ?

Hebu wenye nazo muongeze Spid ya kununua magari tumtokomeze huyu Namba D ameshaanza kuwa Mugabe sasa!!!
Unajua Alferbet moja mpaka iishe yanakuwa yamesajiliwa magari mangapi ya aina moja?
Plus magari yote?
 
Dk ni Plate number za mwaka 2017 miezi ya 8 mpaka 10 hvi mkuu.
Hakuna ukweli kuhusu hili, awamu hii kasi ya ununuzi magari imepungua. Namba inayoanzia D imekaa muda mrefu sana. Kama sikosei JK aliacha DK..
 
nadhani kukaaza au kutokokaza,matokeo yake yapo kwa mtu mmoja mmoja.kuna wanafurai na mambo yao yanaenda ila kuna wanaoteseka mambo yamegoma.binafsi naona maisha yangu niyale yale,ila labda nimeongeza saving zaidi ya spending.
 
Hakuna ukweli kuhusu hili, awamu hii kasi ya ununuzi magari imepungua. Namba inayoanzia D imekaa muda mrefu sana. Kama sikosei JK aliacha DK..
Hii hali imetokea baada ya kutenganisha usajili wa pikipiki na magar tofauti na kipindi cha jk mkuu
 
Sijawahi kuona kipindi ambacho namba za magari zinakimbia kama wakati huu na huku mitaani kukiwa na malalamiko yakuwa vyuma vimekaza!

Miaka ya nyuma number A to B ilitumia more than 10 years but sasahivi yani unaweza shangaa number D isimalize miaka 5 licha ya namna bora ya urefushaji wa mgawanyo wa namba unaotumika!

Last two months DQ.. was on top juz nimestushwa kuona eti tushafika DR.. duh!

Nakosa jibu je ni kweli vyuma vimekaza au havijakaza?
Nisaidieni wadau na ningependa general views usijiongelee ww binafsi ongelea maisha ya watu wanaokuzunguka kwa ujumla.
Mikopo nayo ni source ya kipato kwa mtu.
 
Pikipiki bada ya kuondolewa kwenye mfumo wa number za magari imesababisha number zisikimbie sana. Sasa hivi ungekuta tupo G. Pikipiki zilikimbiza sana number.
Hakuna ukweli kuhusu hili, awamu hii kasi ya ununuzi magari imepungua. Namba inayoanzia D imekaa muda mrefu sana. Kama sikosei JK aliacha DK..
 
Back
Top Bottom