Plate namba za magari zinavyokimbia hivi ni kweli vyuma vimekaza ?


Hizo namba hazina mahusiano halisi. Unaweza lipia ukapewa namba unayohitaji. Mfano tuko D, wewe ukapewa H, ilimradi hizo namba zisiwe zimepangwa kwenye Taasisi.
 
nadhani kukaaza au kutokokaza,matokeo yake yapo kwa mtu mmoja mmoja.kuna wanafurai na mambo yao yanaenda ila kuna wanaoteseka mambo yamegoma.binafsi naona maisha yangu niyale yale,ila labda nimeongeza saving zaidi ya spending.
Ukiona saving zinaongezeka kuliko spending (investing) jua umeamua kuilaza akili yako wakati bank wakitafuta wenye kuweza kuzizungusha savings zako na kuzirudisha siku utakayoamka
 
Hizo namba hazina mahusiano halisi. Unaweza lipia ukapewa namba unayohitaji. Mfano tuko D, wewe ukapewa H, ilimradi hizo namba zisiwe zimepangwa kwenye Taasisi.
Labda Kama unalipia mil 10 Kama wanaoweka jina kwenye plate number
 
Herufi D ikikamilika DZZ maana yake Magari 500000 na zaidi yameingia nchini
Kila herufi 1 ni magari 889
Ukiondia herufi I na O sababu zaingiliana na 1 na 0 zinabakia herufi 24
Zidisha hapo utapata
Q tayari magari 21000na zaidi yako mjini
 
Mbona D imeshamaliza miaka mi5 mkuu
 
D imeanza katikati ya mwaka 2014 mkuu. Yaani imeshauza sana kitaa mpaka tumeichoka. Huyu mleta mada atakuwa ameanza kufuatilia recently
 
Ukuu wa wilaya haujakushukia mkuu kweli..sio kwa kuinenea vema hivi serikali
 
Siyo kweli mkuu, nimenunua gari September 2016 DHZ. Sasa cheki kati ya K na H ipi ipo mbele!
Hakuna ukweli kuhusu hili, awamu hii kasi ya ununuzi magari imepungua. Namba inayoanzia D imekaa muda mrefu sana. Kama sikosei JK aliacha DK..
 
Kipimo cha ugumu au urahisi wa maisha. Ni raia kuwa na magari mengi au machache,?
mzee wako alipata hasara kukusomesha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…