Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 49,390
- 152,301
Nafahamu sana unachokisema kuwa magari yote yalitakiwa kubadili namba za usaji kutoka zile za zamani mfano TZA ×××× na kuja hizi za sass T xxxx D xxxx.Inategemea na kipindi na utawala uliopo . Namba A na B hazikukaa kwa sababu watu walikuwa wana fanya transition kutoka Tz , namba C ilikaa miaka minne, D imekaa miaka karibu nane , sasa hivi tupo ED , kwa kasi wanayoenda nayo watu kama itaendelea , sidhani kama E itachukua miaka minne kabla hatujaingia F
C imekaaa miaka 4 kwa sababu kipindi hicho gari na pikipiki zilikuwa zinatumia series moja ya plate namba na wengi kipindi hicho walinunua sana bodaInategemea na kipindi na utawala uliopo . Namba A na B hazikukaa kwa sababu watu walikuwa wana fanya transition kutoka Tz , namba C ilikaa miaka minne, D imekaa miaka karibu nane , sasa hivi tupo ED , kwa kasi wanayoenda nayo watu kama itaendelea , sidhani kama E itachukua miaka minne kabla hatujaingia F
Kasi ya uingizaji wa magari imeongezeka sana na haya magari ya mikopo ndio yamechangia sana hili ongezeko.D imekaa sana kwa sababu boda boda na bajaji ziliwekwa pembeni na kusomeka kama MC.
Plate number time ipo inversly proportional to population
Population ikiongezeka wanunua magari wanaongezeka hence muda wa plate number unakuwa mudogo.
Pesa ilipotea mitaani kipindi hicho hivyo ununuzi wa magari ukawa chini mnoNaomba kujua huchukua wastani wa muda gani plate number moja mfano kwa magari yaliyooanza na namba "D" kujaa kabla ya kuingia namba "E" iliyoko sasa?
Kuna mdau alinunua garish mwaka 2015(kwa maelezo yake) na gari yske ni namba "D" kitu ambacho kidogo kimenishangaza kuona namba hiyo ipo tangu 2015 na hivi karibuni tu ndio magari yameanza kusajiliwa na namba "E".
Nilikuwa sifuatilii sana hizi namba ila maelezo ya huyo mdau wangu ndio kidogo yamenishangaza.
Mwenye majibu tafadhali hasa watu wa TRA kama mko humu maana bila shaka wao ndio wahusika wakubwa.
Hapa sasa umenipa mwanga. Asante.Piga tu hesabu. T100AAA mpaka T999AZZ halafu weka factors zilizoingilia kama:
1. Wakati wa Kubadili mfumo kutoka Tz kwenda kwenye TxxxAAA. Hapa namba zilichukua muda mchache kujaa sababu ya magari yaliyopo kubadilishwa na uwepo wa pikipiki.
2. Tulipofika namba D, Pikipiki kuondolewa kwenye mfumo wa TxxxAAA kwenda MCxxxAAA. Hapa kulipunguza speed na namba zikaenda taratibu ukichangia magari mengi ya namba za zamani yalishasajiliwa namba mpya.
3. Kasi ya uagizaji magari kulingana na awamu na mzunguko wa fedha.
Mbona hesabu yako imeishia njiani mkuu au mm ndio sijakuelewa hapo?Najaribu hapa kupata idadi ya magari
899 × 25 = 22,475 × 25 =561,875
Idadi ya magari kutoka namba A kwenda B ni kama 561,875
Ina maana ili kutoka namba E kwenda F yanatakiwa magari laki tano na sitini na yasajiliwe kwa namba hiyo
Na kwa kuhesabu hizo namba Tanzania kuna magari pungufu ya milioni 3.
Hapana hapo nikutoka EAA kwenda EBA ndio gari laki tano na usheeee na sio 899 ni 999Najaribu hapa kupata idadi ya magari
899 × 25 = 22,475 × 25 =561,875
Idadi ya magari kutoka namba A kwenda B ni kama 561,875
Ina maana ili kutoka namba E kwenda F yanatakiwa magari laki tano na sitini na yasajiliwe kwa namba hiyo
Na kwa kuhesabu hizo namba Tanzania kuna magari pungufu ya milioni 3.
Namba zinaanzia 101 - 999 ina maanaHapana hapo nikutoka EAA kwenda EBA ndio gari laki tano na usheeee na sio 899 ni 999
Mkuu namba za usajili wa magari za kawaida zinaanzia 101 hadi 999 kama nikosea nirekebishweMbona hesabu yako imeishia njiani mkuu au mm ndio sijakuelewa hapo?
DXA-DXZ huwa inachukua wastani wa miezi 6... DZS ililkuwa around July 2022. Unaweza kupiga hesabu uone DAA ilikuwa around muda ganiNaomba kujua huchukua wastani wa muda gani plate number moja mfano kwa magari yaliyooanza na namba "D" kujaa kabla ya kuingia namba "E" iliyoko sasa?
Kuna mdau alinunua gari mwaka 2015 (kwa maelezo yake) na gari yake ni namba "D" kitu ambacho kidogo kimenishangaza kuona namba hiyo ipo tangu 2015 na hivi karibuni tu ndio magari yameanza kusajiliwa na namba "E".
Nilikuwa sifuatilii sana hizi namba ila maelezo ya huyo mdau wangu ndio kidogo yamenishangaza.
Mwenye majibu tafadhali hasa watu wa TRA kama mko humu maana bila shaka wao ndio wahusika wakubwa.
Ooohh thanks brother....nilisahau hiiNamba zinaanzia 101 - 999 ina maana
T AAA 101 hadi T AAA 999 jumla ya magari yanakuwa ni 899.
Alfabet ambayo haitumiki ni I na OKwenye alifabeti namba zote 27 zinatumika pale juu nilikosea kidogo nilifikiri Q na X hazitumiki kwenye namba za magari