Uwiiii mwenye huruma zake anilipie na mieeeeee. Oppsss ntazimia kama huyu mremboView attachment 1195261
Mkuu nataka niwe platinum member inakuaje hapo embu nieleze
I seeAbeeeehh sweet Mangeeeeyyy.....
Shimbony...!!??
Am so Happy....
Hauna hata Miezi mitatu JF
So now umekua mke wa diamond platnumz
Kasie bhana 😅Aahahahhahahaaaa f*ck yuuuu muone kwanzaa..... aakuuu mie ni mke wa Dadii.
Wakati bado nna mhemuko wa kupata U platinum member nikawaza, sijui niwaite platinum member wenzangu tugonge cheers wanikaribishe kwenye kundi....
Kutamu huku weewee, karibuuu aahahahhahaaa
Kasie Matata.
Aahahahahhaaa Numbisa hii ni hatari, kama kuvikwa pete tuu anazimia akisainishwa like cheti cha kufanya na kuzikana hakuna kuchomoka hadi kifo si harusi itageuka kuwa msiba.....!!?? Eehehehehhee
Na mshindo je!!?? Ataweza kuuvumilia??!
Hii sio dalili mzuri, inatakiwa unakuwa sapraizidi lakini uko makini kishuhudia kama masapraizi yameisha au yanaendelea.... Heheheheheheh.
HV mumy hiv huwa zina maana gani, naona wengine wameandikwa op, wengine except member wengine platinum.
Yaan naona mapicha picha sielewiiii
K mahabat ufafanuz pulliiiz
Uwiiii mwenye huruma zake anilipie na mieeeeee. Oppsss ntazimia kama huyu mremboView attachment 1195261
Na wewe upo huko kwenye mitonyo??!