Platnum Member K Matata....

Hili Jukwaa halipo silioni kabisa mwaka wa kumi huu nipo huku wakati nimetamani kuingia likafutwa!!
 
Nah Kasie, it aint me...atakuwa mwananchi mwingine tu


Aahahahahahhaaaa watuuu stop being shaggy and it wasn't me banaa, ehehehehehheeee
Do you know what I asked about...??
 
Kasie kuna ka mihadarati unatumiaga.

Uongo?
 
We ni don. Kontaun.


Aahahahhaaaa hii akili ya Kasie bana, ujue nini.... Nilikuwa nahangaika kusoma ulichoandika, akili inasoma kiingereza na inashindwa kutafsiri nini kimemaanishwa. Kumbe umeandika kiswahili fashihi kabisa aahahahhahahaaa

Ati mie ni Don, hapana banaa, basi tuu Mahaba yamekubali.
Matata K.
 
Kasie kuna ka mihadarati unatumiaga.

Uongo?

Aahahahahhahaaaa Karuuuu eehehehheheheeee
Wajua majina yetu wote yanaanzia na K, hivyo kuna vitu tunashabihiana au kufanana aahahahhahaaa

Usiseme hayo mambo banaa koo litaniwasha jumatatu hii, aliyekuwa ananisaplaia mihadarati aka bange siku hizi ameokoka, sijapata push mpya.

Hii ni akili ya bange za kipindi kile, si wanasemaga mvuto mmoja aka one puff stays in brain for seven years....

Am high in vain for this Platinum thing, Yaani kama nimevaa medali flani hiviii aahahahahhaa

Matata K.
 
Aahahahahahhaaaa watuuu stop being shaggy and it wasn't me banaa, ehehehehehheeee
Do you know what I asked about...??
Hahahah....mi nilikuwa najua topic hii...ile nyingine achana nayo si ishaisha kule kule Kasie?
 
Hahahah....mi nilikuwa najua topic hii...ile nyingine achana nayo si ishaisha kule kule Kasie?


Aahahahahhaaaa imeishajeee, mi nnavopenda ma scenes hivii, sasa mbona imeisha kimya kimya.

Umeniacha solembaa.....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…