Plato alisema Demokrasia itafaa kwa wananchi wasomi tu; kugombea na kupiga kura si kila mtu anapaswa kupiga kura

Plato alisema Demokrasia itafaa kwa wananchi wasomi tu; kugombea na kupiga kura si kila mtu anapaswa kupiga kura

Pascal Ndege

JF-Expert Member
Joined
Nov 24, 2012
Posts
2,977
Reaction score
1,897
Hivi elimu ya ampiga kura inatosha kabisa kumwezesha mtu kupigiwa kura? Mimi naona kama waAfrika wengi demokrasia ipo lakini wananchi Hawana uelewa wa serikali na kwanini wanachagua viongozi.

Wewe unaona je? Plato alisema huwezi kachagua mtu yoyote tu kwenda kuamua kuhusu Maisha ya watu. Labda wasomi tu wachaguane kuwa kiongozi.
 
Back
Top Bottom