Play Boy (The Jeff Rider)

Play Boy (The Jeff Rider)

"..nimesema niache michelle..?"
"...lakini yote haya umeyataka we mwenyewe jeff.."
"..unasemaje..?"
Nilimwangalia kwa jicho la dharau huku mdomo
wangu nikiukaza kuonesha kweli nina hasira tena
mithili ya kuku anapopokonywa kifaranga chake na mwewe.
Nilienda mpaka chumbani huku michelle sura
mbaya akinifuatilia kwa nyuma,nilipofika tu nilivaa
nguo zangu fasta,
"...haya na wewe uvae fasta hapa unadhani
kwenu...? Vaaa nitakuacha hivyo.." "..Noo jeff usiniache..."
Alivaa kisha nikafunga mlango nakumpa mshikaji
ufunguo na baada ya hapo ni mwendo wa fasta
fasta kuelekea stendi kwani nilikuwa nikiishi
tandale tena ile ya wachafu haswaa,ile tunafika tu
kituoni pale magomeni mapipa kwa mbaali nikamwona helleiner tena ndio anapanda gari,
"...helleiner..? helleiner pliz nisubiri...!"
Maskini hakusikia sauti yangu lakini nilichokifanya,
"...michelle mpenzi kwaheri, tutawasiliana kwenye
simu..."
"...usijali jeff nakupenda na roho yangu imeridhika leo, nikifika tu nyumbani ntakujulisha..."
Nilitoka spidi zote mpaka kwenye ile gari
aliyokuwa amepanda helleiner ambayo ilikuwa
inaelekea makumbusho ikipitia mwananyamala,
nilimkuta helleiner kakaa siti ya peke yake nami
nikatulia pembeni yake huku nikianza kumbeleza bila kujali umati wa abiria waliokuwa wananitolea
macho.."
"...helleiner mpenzi jua bado nakupenda pliz
nisamehe kwa yote yaliotokea.."
"...akusamehe nani..? Jeff nilishakwambia sitaki
kuiona sura yako husikii...? Mwanaume gani hufai wewe...?"
"...helleiner pliz pliz najua mi nimkosaji lakini pia
nahitaji kusamehewa mpenzi.."
Muda wote huo helleiner alikuwa kabadilika sura
na macho yake yalikuwa mekundu sana kwa kulia
sana huku machozi yakiendelea kumtoka bila kuyafuta, mara konda akapita anataka nauli
nikatumia ujanja wa fasta kuchomoa buku
mfukoni mwangu nakumpatia konda,
"...kata wawili konda mi na huyu dada hapa.."
Helleiner aliniangalia kwa mshangao wa hali ya juu
huku akiitazama pochi yake nakuchomoa mia tano kisha akampatia konda..
"..dada si umeshalipiwa na mshika hapa..."
"..sitaki kulipiwa nimesema chukuwa nauli yangu
nipe na chenchi yangu kabisa..."
Kweli helleiner alikuwa seriaz lakini nilijipa moyo
nakushuka nae mpaka aliposhukia na kilichofuatia nikumfatilia nyuma nyuma mpaka akafika nadhani
ni kwao kwani alifungua geti kwa hasira nakuingia
mpaka ndani huku akirudishia kwa kulibamiza.
"..ahhh....! kumbe ndio kwao hapa enh.."
Nilijisemea kimoyo moyo huku nikijirudia zangu
stendi kupanda gari. Akili yangu ilikuwa kama imechanganyikiwa
kidizaini kutokana na kuchezea bahati tena kwa
mtoto mlimbwende kama helleiner,
Nilipokuwa ndani ya daladala nikapata wazo
lakumpigia simu lakini ilikuwa inaita tu bila
kupokelewa hivyo nikabadilisha tena wazo lakuingia facebuk,maskini jef mimi sikufanikiwa
kuiona hata profile yake hivyo nikaingia inbox
yangu ili niweze kuona meseji zake za zamani nazo
sikuzipata ikanibidi nim search kwa jina lake napo
halikutokea hivyo akili yangu ikanituma moja kwa
moja kuwa keshani block. Sikuwa na ujanja tena jeff mimi nikaingia profile ya
michelle sura mbaya,nikakutana na status
aliyoiandia muda c mrefu,
'..LEO NINA RAHA, NILIYEMPATA KANIRIDHISHA
VYA KUTOSHA...'
Niliangalia mara mbili mbili nakuanza kufuatilia comment za watu ndipo nikakutana na comment
ya helleiner,
'..Hongera Shosti usimwache tena hakikisha mpaka
amekuoa kabisa...'
Hasira kali zilianza kunipanda huku nikiwa sijiamini
amini kwa nilichokiona. ".....kumbe helleiner ni mutual friend kwa helleiner
sura mbaya..?"
Nilijikuta naropoka kwenye dala dala nakufanya
umati wa abiria kunitolea macho,
"..helleiner kitu gani bhana nitampata mwingine
tena zaidi yake.." Bado nilikuwa kama mtu aliyechanganyikiwa huku
wengi wa abiria wakinitolea macho na kutingisha
vichwa vyao kuonesha kuwa wananisikitia na
ninachoropoka.... ~ ~ ~ Inaendelea..
 
"...we jeff leo unamatatizo ganh wewe..?"
"...hapana mama mbona niko pouwa tu.."
"...nakushangaa tangu umerudi hueleweki
hueleweki hata kubadilisha hiyo minguo yako
hujabadilisha.., ebu angalia ulivyopauka.., kwani
leo ulikuwa wapi..?" Ilikuwa ni sauti ya mama akinilalamikia kwani
kiukweli nilikuwa kama mtu aliyechanganyikiwa,
sikutaka hata nile chakula na nilipofika tu home
nikapitiliza chumbani kwenda kujilalia zangu.. ~ Saa 8 za usiku ~ Kilichokuja kunishtua ni mlio wa sms ambapo
nilijisahau kupunguza sauti,akili yangu ilikuwa
imechoka sana,nikajivuta taaratibu kuisoma ile
sms,
'..Jeff bado nakupenda.., kwanini umenifanyia
hivi..? Kwanini..?' Kucheck vizuri ile namba kumbe alikuwa ni
helleiner hapo hapo usingizi ukanikata huku
nikiwa na shauku kubwa ya kutaka kuiskia tena
sauti yake, nikiwa bado sijiamini amini nikapiga ile
namba yake kuhakikisha kama ni yeye ndo
alionitumia hiyo sms au la. "hellow...?"
Kimya.., sikusikia chochote zaidi ya simu yangu
kupokelewa bila kusikia sauti yeyote,
"hallow...?"
"jeff..?, Ona sasa nakosa usingizi kwa ajili yako,
machozi yote kwa ajili yako kwanini...?" "..helleiner imetokea bahati mbaya elewa
nakupenda na nahitaji kuendelea kuwa na wewe
milele.., nakupenda helleiner niamini...!"
"...hapana jeff utanitenda tena tu..!"
"...Pliz nakuomba unipe nafasi ya mwisho
helleiner..." "...jeff unajua ni kwa kiasi gani nimetendwa na
kidonda hata hakijapona umenitonesha tena...
Unajua hilo..? Kwanini mimi jeff..? kwanini...?"
"..no.., no.., nielewe helleiner.., sitokutenda tena.., i
love you..."
Tukiwa bado katikati na maongezi mara simu ikakatika..,mwanzoni nikajua labda salio limeniishia
lakini haikuwa hivyo.
Nikapiga tena simu yake ikawa haipatikani hivyo
akili yangu moja kwa moja ikanijia kuwa kanizimia
simu, mapigo yangu ya moyo yakaanza kwenda
kasi huku nikikata tena tamaa kwa mara ya pili kuwa zali ndo lishapotea hivyo.
Mara nikapigiwa tena simu yangu kwa mara
nyingine lakini namba ilikuwa ni tofauti nikaipokea
bila woga.
"hallow..?"
"jeff ni mimi hapa helleiner..,natumia cmu ya dada, ya kwangu imezima haina chaji kabisa..."
"ok.., helleiner, but pliz nakuomba sahau
yaliotokea tuanze mapya.."
"jeff nina uhakika hujajua tu thamani yangu kwako
but utaijua tu siku moja..."
Nilijihisi moyo umenipasuka ghafla baada ya kusikia maneno hayo, furaha ya ajabu ikanijia
kidume mimi kwani sikuamini kabisa kama mtoto
karudi kwangu tena kiulaiini.
"helleiner.., kesho nitakuja maeneo ya kwenu.."
"..jeff mi huwa sitokagi hovyo lakini anyway
niambie utakuja mida ipi...?" "..Kuanzia saa 10 jioni.."
"ok, usiku mwema na nakupenda jeff wangu.."
"hata mimi pia.."
Sikupata tena usingizi baada ya maongezi
nilitamani sana kukuchwe mapema na ifike hata
jioni ili nimshuhudie helleiner wangu, na laiti kama helleiner angelikuwa anajua ninachotaka kwake ni
sex tu then namwacha wala hata asingethubutu
kujirudi.
'
~ kesho yake sa 10 jioni ~ '.
'
.Mnama Grocery..' Ndipo ilikuwa egesho langu
maeneo ya mwananyamala kituo kimoja kabla
sijafika kwa akina helleiner..
Nikiwa nimejipigilia pamba zangu haswa,fasta fasta
nikamtumia sms.
"..niko maeneo ya kwenu hapa Mnama Grocery.." Ndani ya sekunde kadhaa nikajibiwa.
"nakuja sasa hivi usihofu my love..."
Ndani ya dakika chache
Nilijiangalia mara mbili mbili mpaka nikajihisi
ninamakengeza kwani jinsi walivyokuwa
wanakuja ndivyo walinifanya kuingiwa na woga zaidi.
"..jamani jamani mkosi gani tena huu, yule si
michelle sura mbaya anakuja na helleiner au...?"
Nilijihisi kujikojolea huku nikitetemeka na kuanza
kuinuka taaratibu kwenye siti nakutaka kukimbia
lakini ile nataka kuondoka tu wakawa wameshanishtukia,
"..we jeff unaenda wapi tena..?
 
"...amh..! mh..! mh..! mh..! nilikuwa naelekea
counter kuuliz..."
Kabla sijamalizia kujitetea nikawahiwa na swali
tena..
"...jeff..! jeff..! embu acha vituko vyako bhana embu
kaa hapo sisi wala hatuitaji kinywaji chochote..." Bado nilikuwa nikitetemeka na kiukweli alikuwa ni
helleiner na michelle sura mbaya na michelle
aliponiona alijifanya kama vile hanifahamu wakati
nimeshatembea naye.
"Jeff.., huyu ni mfanyakazi wetu tunaishi naye
nyumbani.,nayeye anaitwa michelle au miche lakini anapenda sana kujiita michelle mwavua kama
dada, si unajua jina la mwavua ni la ukoo..?"
"aah..! ok.., nashukuru kumfahamu..."
"miche..?"
"abee dada...!"
"...huyu ni mchumba wangu anaitwa Jeff ryder, unamkumbuka picha yake nilishakuoneshaga
kwenye facebuku...?"
"..ndio dada namkumbuka...!"
Michelle sura mbaya alijifanya kama vile hanijui
wakati ni jana yake tu usiku nili sex naye, dah
kumbe ni beki 3, nguvu ziliniishia huku nikijikaza kiume inshu isijulikane.
"...so jeff, nimeamua kumchukua michelle ili.."
Kabla hajamalizia kuongea chochote hapo hapo
nikamuwahi.
"...sweety sorry wacha niende chooni kukojoa
fasta narudi.." Nilichoropoka nakuingia uani na nilipofika choöni
breki ya kwanza nikamtumia sms michelle sura
mbaya fasta.
' ...Ole wako umwambie tunajuana..? Nitakuwa
sikupendi sawa..? I love u baby zamu yako kesho
tutakutana...' Nilipoituma tu nikatoka chooni nakuwafuata
walipokaa lakini kitendo cha mimi kufika pale
nikamshuhudia helleiner akiongea na mtu kwenye
simu tena kupitia simu ya michelle,
"...ndio mumy nipo naye, wala hatuko mbali
tunakuja sasa hivi.." Helleiner alipomaliza tu kuongea na simu
"..jeff wacha twende home mama anatuulizia.."
Nilibaki nimenyong'onyea nisijue nifanyaje zaidi ya
kuwaangalia tu huku nilijitahidi kumkonyeza
michelle asome sms niliyomtumia.
"..helleiner samahani embu niazime hiyo simu mara moja nataka ku copy hii namba mara moja.."
Nilimdanganya.
"ok.., chukuwa tu hii yakwangu.."
Dah kama vile helleiner alikuwa anajua nilichotaka
kukifanya akanipa simu ya kwake na yeye
akabakiwa na simu ya michelle sura mbaya. "..miche tangulia mpaka hapo mbele nisubiri wacha
nimalizane kwanza na shemeji yako.."
"sawa dada na simu yangu.."
"...subiria kwanza bado naitumia.."
Kitendo cha helleiner kuendelea kuing'ang'ania ile
simu ya michelle sura mbaya kilinifanya kuwa na woga sana sana endapo atagundua meseji ambayo
niliituma muda si mrefu.
Michelle alipiga hatua mbili tatu kisha akasimama
huku akituangalia kwa macho yenye huruma
akimsubiria mwenzake hellainer ili waondoke.
" jeff naomba unisamehe sana kwa kuwa haraka haraka kiasi hiki,yani nikiwaga nyumbani
mwenzako huwa nabanwa sana ni bora hata
ninavyoendaga kuishi hostel huko huko."
"...usijali helleiner nimekuelewa but tutapanga siku
nyingine tena utakapokuwa nakajinafasi.."
"..pouwa jeff mpenzi..." "..akanikumbatia kisha akanipa busu la mashavuni
huku akimalizia la mdomoni
"..bye jeff.."
"ok.., bye my love.."
Alimchukuwa mwenzake na kuondoka naye huku
akiwa na furaha,nilibaki nimesimama nakuduwaa huku nikiwakodolea macho mpaka niwaone
watakapoishia.., waliongozana huku wanapiga
stori mara ghafla helleiner akasimama nakuangalia
kitu kwenye simu aliyokuwa nayo,akakodoa
macho kisha akatoa sauti kubwa na kali huku
wapita njia wakimshangaa, "...jeff..? jeff..? jeff.. jeff..?.. + + + Inaendelea...
 
"...jef usiondoke pliz nisubiri hapo..."
Nikawa sina tena ujanja zaidi ya kusimama
nakumtolea macho hellleiner aliyekuwa anakuja
fasta fasta huku mkononi kashikilia simu mbili moja
yake na nyingine ya michelle sura mbaya..,
"...jeff embu niambie ukweli wala usinifiche kitu...?" Nilianza kutetemeka huku akili ikinituma kuwa
huenda keshasoma ile sms niliyomtumia michelle
sura mbaya,
"...kitu gani tena helleiner mbona unanitisha
hivyo...?"
"...unajua kuwa nimeshakusamehe na nahitaji kuwa na wewe milele...?"
"ok.., niambie basi kitu gani hicho...?"
"supriiise.....!"
"...mhh..! mhh..! helleiner mbona unanifanya
hivyo...?
"..tomorrow is my birthday.., nilisahau kukwambia sweetie..!"
Mapigo ya moyo yakatulia huku pumzi ikinishuka
nakumtolea macho ya furaha..,
"..don't tell me helleiner.., sure...?"
"yeah.., sure..!"
Nilimkumbatia tena kwa mara ya pili kwa shangwe zote huku nikiamini hiyo ndio itakuwa nafasi
yangu ya ku sex na helleiner na hapo hapo
nikumtema tu nikishamaliza shida yangu..
"so.., utaifanyia wapi...?"
"home..!, coz tupo tunaishi na mummy na mummy
mwenyewe kesho hatakuwepo anaenda bagamoyo asubuhi sana na atalala huko huko kwa
bibi mpaka kesho..,
"...na daddy wako je..?"
Alionesha kubadilika sura huku akisikitika kisha
akanijibu..,
"...my daddy alishafariki kwenye ile ajali ya meli zanzibar..."
"oh sorry...!, pole sana baby wangu..."
"...thanx jef and i love you..."
"...ok, so...?"
"...kesho uje tushinde wote nyumbani kuanzia
asubuhi mpaka usiku tusherekee..." "..waaaoooh..! kwa hilo tu usijali tutakuwa
pamoja.., nitakupa company mpaka utafurahi
mwenyewe.."
"ok, c you tomorrow jeff.."
Niliondoka pale kwa shangwe zote huku nikiwa
sijiamini amini kama kweli helleiner amesoma ile sms au la.
Mpaka nafika home nilikuwa bado ni mtu wa
shangwe tu muda wote, yani hata chakula kwangu
ilikuwa inshu zaidi ya kununua chipsi kavu nakula
kisha nikanunua vocha za kutosha kumpigia mtoto
mlimbwende helleiner. Kama kawaida nilitegea mpaka ilipofika saa 6 za
usiku nikampigia simu helleiner na alipopokea tu
alionesha kuwa na usingizi sana,
"..baby vipi ushalala..?"
"yap dear.."
"..can i say somthng 4 u...?" "yeah..."
"...happy birthday my lovely one..."
"oh thanx mwaaah.., mwaaah..! mwaaah..!
sweetie..."
"...kwakuwa unausingizi sana.., nitakupigia kesho
we pumzika tu baby wangu..." "pouwa swetie i love you...!"
"me too...!"
Nilikata simu kisha nikavuta ki iPod changu
nakufungulia ile nyimbo ya Recho inayoitwa
kizunguzungu taaratibu nikawa naisikiliza huku
navuta hisia na usingizi kwa mbaaali. ~ KESHO YAKE ASUBUHI ~ Mishe mishe kwangu zilikuwa nyingi sana,
japokuwa nilikuwa muongo muongo lakini kwetu
tulikuwa nakauwezo kidoogo,na tangu nilipoishia
4m four nilikataa kuendelea na chuo zaidi ya
vijikozi tena vile vya computer navyo sikumaliza
niliona vinanipotezea muda tu. Asubuhi asubuhi mfukoni nilikuwa na kama elfu
20 na yote hiyo nilimwongopea maza akanipa
hivyo zoezi kubwa lilikuwa ni zawadi ambayo
nitamnunulia mtoto helleiner
Kwakuwa mi ni play boy nilifanikiwa kumnunulia
dozeni ya chupi kwa shilingi elfu 15 huku nusu yake ikiwa ni za bikini then nikafunga kwenye gift
paper vizuri nakubakiwa na elfu 5 na hapo hapo
nikamu sms helleiner..,
' ..Baby niko njiani nakuja..'
Haikukaa muda akanijibu.
' ..tunakusubiri kwa hamu sweetie..' Ndani ya dakika kama 40 tayari nilikuwa getini
kwa kina helleiner huku nikiwa na mzuka wa hali
ya juu na nilipofika getini nilimu sms helleiner,
' ...nimeshafika nipo nje...'
Mara geti likafunguliwa lakini hakuwa helleiner
wala michelle sura mbaya, " ..ooh are you Jeff Ryder..?"
"yap..,helleiner yupo..?"
Amenipigia simu nikufungulie umeshafika yeye
kaenda maeneo ya pale dukani lakini atarudi sa
hivi tu, karibu ndani mi naitwa..."
Kabla hajamaliza kuongea nikawa nimeshamgundua kwa sauti yake tu haikuwa
ngeni maskioni mwangu kabisa..,
"..we si michelle au hellein..?"
"...dat'z correctly jeff..."
"...sauti yako haibadiliki kabisa yani..."
"...jeff nimeamini sasa, ua so handsome boy...!" "thanx miche..!"
Niliingia ndani kwa bwembwe zote huku
nikimtolea mijicho miche au hellein kiukweli
alikuwa kifaa kushinda hata mdogo wake helleiner
then alikuwa ni mweupeee dah..,
"...hapa simwachi hata mmoja.." Nilijisemea kimoyo moyo huku tukiingia sebuleni
na tulipofika tu nilishangaa kukumbatiwa,
"...ahh shemeji jeff..?, karibu.. karibu.."
"ahsantee..."
Alikuwa ni michelle sura mbaya na yeye aliponiona
tu alinikumbatia kwa shangwe..,aliponikaribisha tu aliniaga nakuelekea jiköni huku akiniacha na dada
yake helleiner.
"..shem ujue tangu tuwasiliane siku ile hukunipa
hata namba yako ya simu.."
Alisema dada yake na helleiner...,
"ok.., chukuwa ni 0713133633.." nilivyomaliza kumpa tu helleiner naye akawa
ameshakuja..,
"..my jeff...? Come an hug me pliz..!"
Nilimfuata nakumkumbatia kisha nikamalizia kwa
denda huku michelle sura mbaya na mwenzake
wakinishangaa. "..vipi umekuja sa nyingi enh...?"
"...hapana nimekuja muda si mrefu.."
Nililetewa juicy pale sebuleni huku wakienda jikoni
kuendelea na kupika mahanjumati,
Dah kiukweli kina helleiner walikuwa tajiri tena
zaidi ya pesa,nikiwa bado nimezubaa sebuleni peke yangu mara michelle sura mbaya akanifuata
sebuleni na kuninong'oneza kitu,
"...leo nahitaji kusex na we jeff nimekumis sana.."
"...Shh.! tena unyamaze sasa hivi..?"
"...jeff usitake nitoe siri sasa hivi nikakuharibia..,
unajua siku ile nilimkatalia kuwa sikuwa mi alivyotufumania kule kwako..?"
"...ok, nimekuelewa nenda kwa wenzako jikoni
huko, watatukuta hapa pliz..!"
"...so umenielewa lakini..? Mwenzako nina nyege..!"
"...ok, baadaye basi..!"
"pouwa..!" Huyoo akaenda zake jiköni,
Nikiwa bado sijielewi elewi mara sms ikaingia
' 0652404045' namba yangu hiyo mi dada yake
helleiner, siyo siri jeff natamani kama ninge sex na
we hata leo pliz...'
Dah sikuamini kabisa kama ile meseji imetoka kwa dada yake helleiner au, mara akatokea sebuleni
nilipokuwa tena safari hii alikuwa akitingisha huku
akiönesha mapaja yake kwa maksudi mbele yangu
nakujifanya anapanga vyombo kabatini..,
"jeff..?"
"..mhh.., yeah..!" "..umepata sms yangu..?"
Aliongea kwa sauti ya chini chini..,
"nimeipata.."
"...zingatia pliz n pliz am so hot..."
"..don't worry.."
"sure...?" "yeah..!"
Aliondoka kwa shangwe zote huku na mi nikiwa
na furaha mara akatokea helleiner na sahani
aliyokuwa ameiwekea bites bites akaja kukaa
namimi kochi moja huku akinilisha..,
"..karibu sweety wangu..!" "thanx baby..."
"...jeff..?, nahitaji twende chumbani now pliz pliz...
 
"...sikiliza helleiner kwani chakula tayari...?"
"...jeff we twende sa hivi then hatukai sana jamani
tunarudi kula na hawa wenzangu..."
Helleiner alikuwa amelegea sana kuanzia macho
yake mpaka viungo vyake vyote vilionesha
kumlegea sana.. "ok.., but nielekeze kwanza chooni ni wapi
nikajisaidie then tunaenda huko chumbani..."
"...haya pita kwenye haka kakorido then mlango
wa pili kushoto fungua ndio hapo hapo chooni..."
Niliondoka na kuingia chooni,nilifungua mlango na
nilipoingia tu chooni, "...Sshhhh..! kimya wala usipige kelele zozote jeff..."
Alikuwa ni michelle sura mbaya nadhani alinisikia
nilipokuwa naulizia chooni hivyo akawa
ameniwahi kuingia nakujificha..,
"jeff..? mwili wote ni wako huu hapa chukuwa..."
Aliongea kwa sauti ya chini chini na yakimahaba huku akitanua mapaja yake akiwa amekalia choo
cha kukaa..
"..noo.., noo.. michelle, leo sina mzuka kabisa wa
ku sex..."
"...unasemaje jeff...?, Nitapiga kelele sasa hivi
niseme unanibaka.., unabisha...? Unabisha...?" "noo.., noo.., usifanye hivyo..!"
Sikuwa na jinsi zaidi ya kuvua suruali yangu na
kuanza ku sex na michelle sura mbaya huku
akifurahia na kutoa sauti ya mahaba taaratibu..
"..jeff..! jeff..! tuendelee pliz naskia utamu sana, we
unajua ku..." "...nou michelle siku nyingine nitakupa zaidi ya
hapa wacha nitoke watatushtukia..."
"..hawawezi bwana nipe tena jeff pliz..!"
"nimesema nou...?"
"..nitapiga kelele..?"
"..piga tu hapa mimi si sex tena..! kwanza nimechoka.."
"unasemaje jeff...?"
"..nimechoka sitaki ku sex...? Sitaki..! usikii enh...?"
"..jeff...? Embu ingiza ihyo nanii yako hapa
kwangu..?"
"..sitaki..!" "jeff 1..? jeff 2...? Je..."
"...haya.., haya basi chukuwa, utaniwi na wewe
ehh..!"
Sikuwa na jinsi zaidi ya ku sex tena kwa mara ya
pili na michelle sura mbaya hivyo hivyo tena bila ya
hata kutumia condom. Nikiwa bado katikati ya sex mara hodi ikapigwa
kwa nje..,
"jeff..? jeff..? bado hujamaliza kujisaidia tu mpenzi
wangu...?"
Ilikuwa ni sauti ya helleiner akiníita, haraka haraka
nikachomoa nakutaka kuvaa nguo zangu ili nitoke ile navaa tu mara nikavuliwa hapo hapo na
michelle sura mbaya..,
"..jeff unaenda wapi...?"
Aliongea michelle sura mbaya kwa sauti ya
chinichini..
"hujaskia hodi.., helleiner huyo ananihitaji..." "Hamna kwenda embu endelea huko...!"
"noo..! noo siwezi...!"
"N i i i i i i i i n i ...? Sasa utanijua vizuri leo mi ni
nani..?"
"..inamaana hujaridhika tu jamani..?"
"ndio sijaridhika na wewe jeff.., unajua sana ku sex ndio maana siridhiki..!"
Niliona kama ananizingua kama nitaendelea
kupiga naye stori..,
"..aaahh..! liwalo na liwe.."
Nilijisemea kimoyo moyo huku nikizivaa nguo
zangu nikimwacha michelle sura mbaya akinikodolea mijicho yake kwa hasira ya hali ya
juu...
"...Oooh sorry helleiner wangu nilibanwa na tumbo
la kuhara...!"
"...pole sana jeff wangu, na mi mwenyewe nilitaka
kushangaa chooni muda wote huo..? Pole sana mpenzi wangu..."
"..thanx u baby.."
"embu ngoja nikimbie hapo nje kwetu mbele
kidoogo kuna duka la dawa wacha nikufuatie,
kwani tumbo linakuuma sana..?"
"yeah siyo sana.." "ok.., pumzika kidogo hapo sebuleni wacha
nikakununulie 'flagile' unywe mpenzi wangu.."
"ok..."
Helleiner alichomoka fasta fasta nakuelekea nje
kunitafutia dawa bila kujua kwamba
nimemdanganya, na alipotoka tu nilisikia kama mtu anaoga bafuni hivyo akili yangu moja kwa moja
ikanituma kuwa atakuwa ni michelle sura mbaya
ndio anaoga tu, nilichokifanya mnyamwezi
nikatafuta mlango wa jikoni mpaka nikaujua
nakuingia..,
"..hellow dada yake helleiner..?" "..yap jeff.., helleiner yupo wapi...?"
"..kaenda dukani nje uko...!"
Nilipomwambia tu hivyo bila ya kuchelewa akau
lock ule mlango wa jiköni fasta nakunivulia ile
kanga moja yake kisha..,
"...haya jeff kama nilivyokuambia am so hot.., uwanja wako sasa jimwage..."
Nilibaki nimeduwaa kwani kiukweli michelle sura
mbaya alishanichokesha,sikutaka kuonekana mi si
rijali pale pale nikavua suruali yangu kisha
nikaanza kumnyonya dada yake helleiner kuanzia
kwenye matiti yake kupitia kitovuni mpaka kwenye nanii yake huku nikimwacha amelegea
vibaya mno..,
"...jeff kumbe we mtundu kiasi hicho, uuhh..!
Uuhh..! uuhh..! jeff..! jeff..!"
Nilichukuwa vidole vyangu nakumdumbukizia
kwa kumtekenya kwenye nanii yake huku nikivuta hisia ya hali ya juu..,
"...jeff..? ingiza basi..!, ingiza...!"
"...noo.., noo.., sina condom....!"
"Ooh shit...! whaaat..? whaaat jeff...?"
"...i don't have any condom here..."
"...just dry jeff..! pliz..!" "..dry...? Nou..! nou..! nou..!"
"..jeff..? jeff pliz..!"
Tukiwa bado tunazozana na dada yake helleiner
pale chini mara tukasikia sauti ya helleiner akija.
"..jeff wangu..? Jeff my love upo wapi...?"
"yupo chooni..." Nilisikia sauti ya michelle sura mbaya akimjibu kwa
sauti ya mbaali..,
Hapo hapo nikamvaa dada yake helleiner hivyo
hivyo kavu kavu bila ya kutumia condom huku
akifurahia mapenzi yangu haswa na nilipomaliza
cha kwanza tu.., "...jeff..?, one more pliz....!"
"..noo noo enough alwayz iz enough let us do
another day...!"
"..whaat jeff.., nahitaji sasa hivi tena..."
"..siku nyingine bwana tena nitakupa zaidi ya
hapa.." "..sitaki nataka sa hivi..?"
"...si umemsikia helleiner ananiulizia...?"
"...sasa ukikataa mi ntamwita aje ashuhudie hapa
mi nawewe tunachokifanya sasa hivi..."
"...nou nou usifanye hvyo pliz..."
"...haya tuendelee..!" Kidume cha mbegu sikuwa na jinsi zaidi ya
kumfanyia tena mautundu huku nikimpagawisha
vya kutosha zaidi ya alivyokuwa anataka.
Tukiwa katikati ya dimbwi la mapenzi mara kwa
mbaali tukasikia sauti ya helleiner akiongea tena na
michelle sura mbaya.., "..mböna nimemwangalia tena huku chooni
uliposema yupo hayupo enh...?"
"...kweli dada aliaga anaenda chooni we muangalie
vizuri tu...!"
"...inamaana mi chizi niliyeingia chooni nakuona
hamna kitu enhe...?" "...basi tufanye mi sijui alipoenda.."
"...na dada yuko wapi...?"
"..dada bado yuko jikoni anapika..."
"...ngoja nikamuulize huko huko jeff alipo labda
anajua..."
Nilianza kutetemeka huku nisielewe nitafanyaje kuepuka soo pale..,
"...ufunguo wakutokea mlango wa huku nyuma
upo wapi...?"
"...upo sebuleni juu ya kabati..."
"Ooh my God...!!! tumekwisha tutafanyaje sasa...?"
"..Mmh mwenyewe sina ujanja jeff wacha atufumanie tu tena sivai nguo yeyote hapa..."
"unasemaje...?"
"...wacha atu.. fuma.. nie.. tu...!!!"
Hodi ikaanza kupigwa kwanguvu zote huku
nikisikia sauti ya helleiner ikilalamika kwa hasira ya
hali ya juu.., "...jeff..? jeff..?, dada..? dada...? Fungua..!!"
Sikuwa na jinsi zaidi ya kwenda mpaka mlangoni
kwa lengo la kuufungua mlango huku nikimwacha
dada yake helleiner akiwa amelala hoi pale chini
tena akiwa amejifunika kanga moja tu, na
nilipofungua tu kitasa mara nik....
.
 
"...jef vipi tena..?"
"...am mh..! mh..! ona dada yako alivyokuwa...!"
Nilipofungua tu mlango dada yake helleiner
akaanza kutapatapa, na pale pale nilivyomuelezea
helleiner akawa amemuwahi nakuanza
kumpepea.., "...jeff tusaidiane embu tumbebe tumpeleke mpaka
sebuleni..."
Sikuamini kama helleiner atakuwa yupo seriouz
kiasi kile, tulisaidiana kumbeba mpaka sebuleni
kisha helleiner akawasha a/c ili impepee,
"..jeff, sorry kwa kutokwambia mapema..." "...usijali helleiner mpenzi.."
"..dada huwa anasumbuliwa sana na ugonjwa wa
kuanguka kila inapofika tarehe 6 au 7 ya mwezi,
na leo tulikuwa na wasiwasi ataweza kutokewa na
hiyo hali..."
"dah..! poleni sana.." Nilibaki na maswali kibao nikijiuliza au labda
nafanyiwa mchezo wakuigiza tena kama wa zile
muvi za kibongo zakina ray na kanumba hapa..
Tulikaa pale sebuleni kama dakika ishirini nzima
ndipo dada yake helleiner akazinduka.
"...dada pole, pole sana.." Mtu wa kwanza kumpa pole alikuwa ni michelle
sura mbaya.
"ahsanteni..."
Aliinuka pale nakuelekea chumbani kisha baada ya
muda akarudi ameshavalia nguo vizuri kuonesha
kuwa ameshaoga kabisa.. ~ Muda wa kuparty ~ Tulisherekea vizuri ikiwa ni pamoja nakula misosi
tofauti, hakukuwa na watu wengi zaidi ya wao
wenyewe tu pamoja na mimi,
Mitego ilikuwa ni mingi sana kwani kila mmoja
alitaka kucheza na mimi hata pale ilipokuwa
nyimbo ya bluez ikiimba na si kucheza na mimi tu bali walikuwa wakinitaka kimapenzi tena kwa
nyakati tofauti lakioi niliwatosa..
"...jeff, baada ya hapa nataka tutoke tukalale
hotelini.."
"...sawa nimekuelewa lakini leo sina kitu mbona..?"
Ilinibidi aibu niiweke kando then nimwambie ukweli halisi niliokuwa nao kwa kipindi hiki..
"...jeff usiwe na tatizo lolote kwani pesa ninayo..."
"ok..,sasa tutaenda hotel ipi..?"
"...we niachie kila kitu mimi nitafanya.."
"pouwa..! pouwa..!"
Tulimaliza sherehe vizuri nafikiri ilikuwa kwenye mida ya saa 4 za usiku, michelle na dada yake
helleiner walinilazimisha sana tusherekehe mpaka
asubuh lakini ikawa haiwezekani hivyo
tukachukuwa tax..,
"..hapa mpaka oysterbay sh. Ngapi..?"
"elfu 6 tu..." "ok..., tupeleke 'sall's hotel...'
Hapakuwa mbali sana lakini dah ni bonge la hotel
na kwa jinsi mtoto helleiner alivyokuwa amelipuka
kazima uta appriciate kuwa ana hadhi ya kulala
katika hotel ile., moja kwa moja akamlipa dereva
tax na kilichofuata breki ya kwanza ni mpaka reception..
"..Sista chumba sh. Ngapi..?"
"..elfu 45 single.., self 60.."
"...tupe self..."
Alilipia chumba na kuingia ndani huku tukifurahia
upepo wa kiyoyozi, kiukweli mwili ulikuwa umechoka sana haswa katika eneo la kiunoni
kutokana na kusex sana na dada yake helleiner
pamoja na michelle sura mbaya.
Tuliingia bafuni kupata maji huku tukifurahia ndani
ya sinki la kuogelea na kila mmoja akimmwagia
maji mwenzake.. Usiku ulikuwa mzuri kwangu kwani niliumalizia
kwa kumpiga bao 1 helleiner kisha tukalala hadi
asubuhi ambapo kulipokuchwa nilimsindikiza
mpaka kwao nami nikarudi nyumbani kwetu
tandale. ~ Nyumbani kwetu ~ "...tena bora umejileta mwenyewe jeff..."
Nilipofika tu home nilipokelewa kwa maneno
kutoka kwa maza huku sura yake ikioneshwa
kukerwa na kitu flani hivi..
"..hivi we jeff unamatatizo gani mwanangu...?"
"..maza mbona sikuelewi kwani kuna tatizo gani hapa...?"
"...unajijua mwenyewe ujinga uliofanya, shule
umekataa na bado unaendelea kufanya ujinga tu
halafu si tunakuangalia kweli jef mwanangu..?
Inamaana sisi wazaz wako hatuna akili si ndivyo
jeff..?" "...maza mbona lawama kihivyo we c uniambie
nimefanya kosa gani nijue..?"
"..ingia..! Ingia sebuleni huko ukaone
ulichokifanya...
 
Mapigo ya moyo yakaanza kunienda kasi huku
nikinyemelea taaratibu nisijue kitu gani
nilichofanya..
Nilipokaribia tu sebuleni nikachungulia kwanza..,
"Jesus...!"
Kumbe alikuwa ni jacky tena akiwa na mama yake, kichwa changu kikawa hakinipi kabisa,nikajua
hapo mzee mzima itakuwa ndoa ya mkeka tena
manake duh huyo jacky alivyoking'ang'anizi...?
Fasta fasta nikanyata kwa lengo la kutoka nje ili
nitoroke kuua soo lakini ile nafika tu nje..,
"...umeshaenda uko sebuleni nilipokwambia...? Si nakuuliza we jeff...?"
"...naenda maza nimesahau kuvua viatu..."
Ilinibidi kuzuga kwanza lakini sikuwa na jinsi tena
zaidi ya kurudi tena sebuleni huku maza
akinisindikiza kwa nyuma na kwa maneno...
"...haya sasa jeff lenyewe hili hapa limesharudi..." Dah kweli maza alinikamia mbaya coz hata cjakaa
pale sebuleni kaanza na maneno yake.
"...jeff mwanangu hujambo...?"
"...sijambo shikamoo mama..."
Alikuwa ni mama yake na jacky...,
"...marahaba, jeff vipi unamjua huyu ...?" "mhh..! mhh..! simj..."
"jeff..? jeff..? unajua mi siyo mpumbavu kuja
hapa...?"
Alianza kubadilika na kuniogopesha lakini nilijipa
moyo kuwa mi ni kidume cha mbegu tu
hawaniwezi kwa chochote... "...ndio mama namfahamu...!"
Nilijibu kwa kujiamini zaidi..
"...basi kama unamfahamu na hii mimba uliyompa
utakuwa unaifahamu..."
"mimba...? Mimba gani tena...?"
"mi sina mengi.., mama jeff nadhani mwanangu jacky ndo huyu hapa namkabidhi rasmi hapa
kwenu na nitakuja kumuona akishajifungua..."
"..ahh..! ahh..! ahh..! mama mi sijampa mwanao
mimba bhana mnanisingzia tu..."
"...ndo nimeshamwacha hivyo., muishi kwa
upendo na nawatakiwa mafanikio mema katika maisha yenu..!"
"...lakini mzazi mwenzang..."
Mama alitaka kunitetea lakini kabla hajamalizia
akawahiwa haraka,
"...yani ni bora nimemkabidhi mimi kwani baba
yake na jacky ana RB kabisa ya huyo jefF kwani jacky ndio kwanza ana miaka 17 sasa fanyeni
kuitoa hiyo mimba mtamjua yeye ni nani,kama jeff
ajaozea ndani..."
Nilihisi kujiharishia huku tumbo likiniunguruma
nishindwe cha kujitetea.
Hapo hapo mama yake jacky akaondoka zake nakuniacha mimi na maza pamoja na huyo jacky.,
Alipotoka nje tu,
"jacky mpenzi"
Sikumuogopa maza yangu nikamuita pale pale
nakumpeleka mpaka chumbani kwangu.
"sasa hapa ndo chumbani kwangu na ole wako utoke nje.."
Nilimfungia mlango kwa ufunguo huku akili
ikinituma kwenda kutafuta sindano za kutoa
mimba...
"...ukisikia jeff ryder kaua ndio leo kwani iwe isiwe
lazima nimtoe tena kwa mikono yangu mwenyewe"
Nilijisemea kimoyo moyo huku nikiongoza kwenda
duka la madawa,nilipofika dukani bila kuogopa
nilimuagizia yule muuzaji akawa ananipa ile
nazishika tu sindano pamoja na madawa ya
kutuliza maumivu mara uso kwa uso na mama yake jacky tena akiwa nadhani ni baba yake jacky,
"...jeff unafanyaje hapo..? Na hiyo uliyoshika nini..?" >>> Inaendelea...
 
"...si nakuuliza we jeff hicho ulichoshika ni nin..?"
"mhh..! mhh..! mama hizi si dawa za kutulizia
maumivu tu..."
Fasta fasta nikazificha zile sindano na kumuonesha
dawa za kutulizia maumivu ambazo zilikuwa ni
dicloper.. "...aaahh.., kumbe unamjali enh.., na muishi vizuri
huko..."
Niligeuka na kumuangalia kwa jicho la dharau tena
kimya bila ya kumjibu chochote..
Nilipofika home tu kabla cjaelekea chumbani
nikakutana uso kwa uso na baba sebuleni na alikuwa na hasira kama mbogo..,
"..jeff..? kuja hapa...?"
"..naam baba...!"
"...embu niambie mwanangu unamatatizo gani
wewe...?"
"...hapana mzee" "..huna tatizo enh..?, haya kuanzia sasa sitaki
kukuona kwangu na umchukuwe huyo
mwanamke huko ndani mkatafute sehemu ya
kuishi naye na si kwangu mpumbavu mkubwa
we...!"
Sikutaka kusikiliza cha zaidi nikaingia mpaka chumbani na kumkuta jacky kapumzika,
"jef mpenz.."
"unasemaje..?"
"...mbona upo hivyo jamani...?"
"wee..? wee...? wee...? tena koma kunifuatilia na
nataka uniambie kitu kimoja..." "kitu gani jeff...?"
"...jacky nataka nikutoe hiyo mimba sasa hivi..,
hutaki potea hapa..."
"unasemaje jeff...? Kwa taarifa yako mimba sitoi
hata ufanyaje.., siwezi kuua kiumbe kisicho na
hatia jeff..." "sasa na mi mzee kashanifukuza, na hapa
unaponiona sina mbele wala nyuma nitalea na
nini...?"
"...na ulivyonipa mimba ulitakaje..?"
"..nitakutandika mabao sasa hivi mshenzi mkubwa
wee...!" "nipige t lakini sitoi kitu hapa.."
Hasira kali zilinishka nikajikuta nimempiga jacky
bonge la kibao nakumfanya alie kwa sauti ya juu,
"...nimesema nyamaza..?, nyamaza huko
pumbavu..."
"jeff kwanini unanionea jeff...? Nipo tayari kukitetea kiumbe kisicho na hatia.."
Nikaona anataka kama kunipotezea muda,fasta
fasta nikachukuwa bomba la sindano nakuvuta
dawa iliyokuwa kwenye kichupa kisha..,
"...jacky ujue nakupenda tena sana tu..,ila nahitaji
unikubalie hiki ninachotaka kukifanya.." "kitu gani..?"
"...ili niweze kuendelea kuwa na wewe daima pliz
nikubalie niweze kuku..."
Kabla sijamalizia kumwambia ghafla hodi ikapigwa
tena kwa nguvu huku nikiisikia sauti ya baba kwa
mbaaali ikiniita.. "...jeff si nimekwambia utoke huko
muondoke..,sasa bado mnafanya nini huko..?"
Nilivichukuwa vile vitu nakuvitupa kitandani kisha
nikaenda kufungua mlango ili nimsikilize mzee,.
"..jeff nakupa dakika 10 tu uwe umeshapotea
ndani ya nyumba yangu na huyo mjinga mwenzako.."
"sawa baba..."
Nilichukuwa nguo zangu nakuziweka kwenye
begi kwa upande wa jacky hakuwa na nguo
zozote zaidi ya zile alizovaa..,nilipomaliza nikatoka
na jacky huku lengo kubwa ni kwenda kutafuta chumba magomeni tena ile mitaa aliokuwa anaishi
mshikaji wangu aliokuwa akinipa ufunguo getto
kwake,kwa bahat nzuri tulipotoka nje baba
alikuwa chumbani amelala hvyo aliyetuona ni maza
peke yake..,
"..jeff mwanangu..?" Nakuonea huruma sana mwanangu ila usijali
utakapopata chumba uniambie kwenye simu,
"pouwa maza.."
Maza alinifuata nakunikabidh sh. Elfu 80,
"jeff mwanangu hiyo itakusaidia huko uendako.."
Nilijihisi tofauti kabisa ila nilijipa moyo kwani mi mtoto wakiume sikati tamaa.. ~ Ndani ya Magomeni ~ Tulichokifanya na jaky wangu nikulipia guest huku
akili ikiwa ni moja tu katika kutafuta mshiko
ambapo utanifaa katika kutafuta getto..,
Usiku kucha kwangu ulikua ni wa mawazo kwa
kwenda mbele hata simu niliiona chungu., sikupata
mzuka wa aina yeyote zaidi ya kulala mzungu wa nne mi na jacky.
Ubaridi mkali uliokuwa umeanza, ulinisababisha
kuvuta sana shuka langu nakujikunyata,
Niliupenyeza mkono wangu mpaka kwenye begi
nakuchomoa sindano kisha nikavuta dawa na
kumvua nguo jacky taraaatibu ambapo alikuwa ameshapitiwa na usingizi tena fo fo fo,hapo hapo
nikatumia mwanya huo, nikamchoma kwa nguvu
uku nikiminya ile dawa iishe yote kwenye makalio
yake..,
"jeff unaniua..? jeff..? jeff..?"
Nikamshuhudia jacky akitapatapa kama mtu anayetaka kufa kisha akanyamaza kimya..,
Hofu kubwa ikaanza kunitanda huku akili
ikinituma huenda nilipewa dawa feki ambazo si za
kutoa mimba..,ile namkagua jacky macho yangu
yakakutana na damu zilizoanza kumchuruzika
huku mashuka yale ya guest yakibadilika rangi nakuwa mekundu kwani damu ilikuwa
imeshatapakaa eneo lote pale..,
"jacky..? jacky..? jacky..?"
Kimyaa.., mapigo yake ya moyo yakawa hayadundi
tena mdomo kauacha wazi huku akikakamaa mwili
wote ukimganda.., " ...j a a a a a a a a a a c k y..." >>>> Inaendelea....
 
"...wee jeff vipi mbona unapiga makelele
mwenyewe...?"
Nilishtuka usingizini huku jasho likinitiririka na
breki ya kwanza nikuyaangalia vizuri yale
mashuka kama yamechafuka lakini haikuwa
hivyo.., "...mungu wangu kumbe zote ilikuwa ni ndoto tu.."
Aibu kubwa ilinishika hhvyo sikuwa na jinsi zaidi
ya kugeuka upande wa pili nakulala naye huku
nikimkumbatia mpaka asubuhi.., ~ Asubuhi ~ Kulipokucha tu breki ya kwanza ilikuwa
nikumtumia sms helleiner tena bila kuonesha woga
wowote..,
' hellow baby nimekumis ile mbaya.., upo...?'
Ndani ya sekunde chache akawa ameshanijibu..
'mi mzima nimekumis sweety wangu.., natamani hata ningekuona..'
Sikutaka tena kumjibu ile meseji yake zaidi ya
kuingia chooni nakumpigia huko huko..
"...hellow helleiner wangu..."
"yap mambo jeff..."
"..pouwa nina matatizo mwenzako helleiner wangu..."
Matatizo gani tena mbona unanitisha hivyo jeff..."
"...samahani lakini japokuwa sijawahi hata
kukwambia siku moja lakini imenibidi kukwambia
leo..."
"...niambie jeff mbona unanitisha..., kitu gani kwani...?"
"...helleiner mwenzako hapa nilipo nimekwama
kipesa sasa sijui kama utaweza kumisaidia...?"
"...aaahh jeff wangu kwa jinsi ninavyokupenda.
.,swala la pesa wala usiwe na shida mpenzi.., ni
sh.ngapi..?" Nikajifikiria kama sekunde tano hivi then nikampa
jibu..
"nashida ya sh. Laki 2 na nusu..."
"...usijali mi nitakupa laki 3 na nusu na tena wala
sihitaji unirudishie jeff..."
"..thanx..! thanx my baby.., mwaaah..! mwaaah...! mwaaah..., so...?"
"...baadaye tukutane ili twende benki lakini ni CRDB
tukachukuwe"
"...pouwa wangu usijali.."
"ok.., baadaye basi..."
"ok..,i love you jeff..!" "me too baby...!"
Nilikata simu huku nikiwa na mzuka wa hali ya juu..
Fasta fasta nikaingia hadi bafuni nakuoga kisha
nikipotoka nikajipigilia pafyumu, full pamba kisha
nikampatia jacky kama sh. Elfu 10 ya kula mchana
kwani sitakuwepo.. "unasemaje jeff...? Unaenda wapi...?"
"...jacky naenda kutafuta ,hela ikiwezekana na
kuwapata madalali ili watutafutie eneo la kuishi..."
"...kama nikutafuta hizo hela tutaenda wote na hao
madalali tutawatafta wote..."
Nimeshasema mimi uwe unaniskia jacky..? Baki hapa nitarudi mchana.."
"jeff mguu wako.., mguu wangu.., hapa haachwi
mtu..."
"....sasa nimeshasema ole wako unifuate..."
"jeff...? Jeff kwanini unataka kunikimbia mpenzi
wangu...? Enhh...? Nimekukosea nini mimi..." Jacky alianza kulia kwa uchungu huku akiwa
hajiamini amini kama naenda nakurudi..,
"nielewe jacky mpenzi narudi pliz pliz pliz...?"
Niliona kama kaanza kulegea japokuwa mchozi
mwingi ulikuwa ukimdondoka na tumbo lake
lililokuwa limeanza kuwa kubwa lilichochea hisia zake nakumfanya aniwahi kunishika miguu
yangu..,
"...hapa jeff huondoki..."
"...achia miguu yangu nakwambia.., achia jacky
achiaaa...?"
"siachi..." "achiaaaaaaa...?"
Hasira zikanipanda nakujikuta nikimrushia mateke
mpaka mwenyewe akaniacha nikafungua mlango
wangu huku nikimwacha akilia mpaka kwi kwi
ikimbana.. ~ Ndani ya Benki ~ Mishe mishe zilifanikiwa kwa asilimia zote kwani
nilifanikiwa kukutana na helleiner ambapo tulienda
mpaka ATM za crdb nakutoa kiasi cha pesa
nakunipa sh. Laki 3 na nusu..,
"jeff elewa nakupenda sana na pliz usije
ukanisaliti...!!" "...usijali kwa hilo mpenzi nipo pamoja nawe milele
daima..."
Nilimdanganya pale kisha nikaagana naye huku
akili kubwa ikiwa nikuwatafuta madalali..,
Nilifanikiwa kumpata dalali mmojawapo
nakumkabidhi sh.elf 5 kwa ajili ya kunitafutia chumba cha bei rahisi siku hiyo hiyo kisha
nikaenda mpaka manzese nikanunua godoro
nakuchukuwa teksi kuelekea kwenye ile guest
niliomwacha jacky wangu..,
Ile namalizana na dereva tax tu pale nje ya guest
mara macho yangu yakakutana uso kwa uso na michelle sura mbaya akiingia mule ndani ya guest
lakini hakuniona ila mi nilimuona..,
Kwa jazba nilijikuta nashuka huku naropoka,
"michelle...? michelle....? <<<< inaendelea...
 
Niliendelea kumwita kwa nguvu lakini alinitolea
macho kwa dharau kisha akanifyonza
nakunibenulia domo lake,
"...we mpumbavu nini...? Wakaka wengine
bhana..?"
Dah mzee mzima lilinishuka huku nikimtolea macho michelle sura mbaya ambaye alikuwa na
mwanaume tena alikuwa anaonekana mtu mzima..
Niliachana nao kisha kilichofuata nikuingia
chumbani kwangu moja kwa moja, nilimkuta jacky
wangu kapitiwa kabisa..,
"...jacky..? jacky mpenzi..?" "...abeee..!"
"...vipi mbona umenyong'önyea hivi..? Umekula..?"
"hapana..."
"..oh shiit..!!, kwanini jamani mpenzi wangu wakati
hela ya msosi nilikupa..."
"hapana jeff.., sijickii kula kwa sababu yako..." "ok, usijali mpenzi wangu nipo na itatubidi na leo
tuongeze siku humu humu ndani mpaka kesho
ndio tutahama..."
Nilitoka mpaka nje nikachukuwa godoro langu
nakurudi mpaka mapokezi kwa dhumuni la
kulikabidhi pale mapokezi.., nilipofika tu nikamkuta michelle sura mbaya..,
"..ndio matatizo ya kuja kwenye vijigesti vya
uchochoroni.., ona sasa mnashindwa hata kuweka
sabuni za kuogea eti mnaweka sabuni za mbuni
duh.., enhe.., heee... heee...!!!"
Michelle sura mbaya alikuwa akibishana na yule mtu wa pale mapokezi..,ilinibidi kumsikiliza mpaka
aondoke ndipo na mimi nimwambie huyu
mhudumu kuhusiana na kulihifadhi godoro
langu..,
"...eenh jeff...? Mambo...?"
Alijifanya kuniongelesha lakini nikabaki namtolea macho bila ya kumjibu chochote...,
"...jeff mpenzi sinaongea n wewe...?"
Bado niliendelea kukaa kimya huku nikimtolea
macho ya dharau..
"...utake usitake mi ndio michelle yule
unayemfahamu..." Aliondoka pale huku akinitingishia makalio yake
nakuelekea chumbani alipokuwa na jibaba lake..
"...wasichana wengine wanamatatizo kweli mungu
awasamehe tu..."
Nilijikuta namwambia hayo maneno yule dada wa
pale mapokezi kisha nikamkabidhi godoro langu nakuingia chumbani kwangu... ~ Usiku wa manane ~ Makelele yaliokuwa yanasikika juu ya bati iliashiria
kuwa kuna bonge la mvua kwani ukiachana na
milio ya radi ni ubaridi mkali uliokuwa ukipenyeza
kwenye boxer yangu huku nikimkumbatia
mchumba wangu jacky..,nilianza kupata hisia
ambapo nilianza kumpapasa mwili wake uliokuwa na joto kali huku nikila denda taaratibu..,tul
itekenyana sana ikiwa ni pamoja na
kumshikashika maziwa yake yaliokuwa
yamekakamaa kuashiria kuwa mimba imeanza
kukomaa.., tukiwa bado kwenye mahaba mara
simu yangu ikaingia meseji..., ' ...Jeff hili zee hata halinidhishi.., limenichezea lakini
haliwezi hata kusex.., nataka kusex na wewe sa
hivi pliz...'
Niliisoma nakuifuta fasta fasta kabla jacky
hajagundua kitu kisha nikamjibu..,
' ...You are stupid...!! tena fala kabisa.., https://jamii.app/JFUserGuide you..!!' Nikamtumia kwa hasira huku nikiiweka simu
yangu pembeni..
Niliendelea kumshika shika jacky wangu huku
nikimparua kwa kucha zangu nakumfanya
asisimke mwili wote..,mara tena sms ikaingia..,
"...jeff embu zima lisimu lako bhana.." Ilikuwa ni sauti ya jacky akionesha kukerwa na
meseji zinazotumwa..,
'...jeff upo wapi na nani muda huu..?'
Alikuwa ni helleiner na akili moja kwa moja
ikanituma niende chooni nikampigie kabla
hajapiga huku kisingizio kikubwa kikiwa nitumbo limenisumbua ghafla hivyo nikamdanganya jacky
nakukimbia mpaka chooni kisha nikampigia..,
"..hellow baby.."
"..jef upo wap mpenzi..?"
Nipo home mbona nimelala..?
"aru sure jeff...?" "sure i am.."
"real...?"
"nikudanganye nini sasa...? Nipo nimelala
nyumbani.."
"jeff..? jeff..? jeff..? nimepigiwa simu nimeambiwa
upo guest huko magomeni sasa hivi umeonekana na mwanamke una..."
Kabla hajamalizia kuongea chochote nikamkatia
simu..,haijakaa muda mara ikaita tena..,
"umenikatia simu enh..? Jeff unataka nikupendeje
we jamani..? Yani kumbe ulitaka hela ya
kuwahonga hivyo vijisichana vyako enh...?" "helleiner..? helleiner..? nielewe sipo guest nakama
unabisha njoo home sa hivi..."
"..sio home kwenu tu nakuja hadi hapo guest
uliopo..."
Nilimkatia simu nikaona kama ananizingua.., pale
pale nikaizima simu kabisa kisha nikarudi mpaka chumbani.
"..mpenzi vipi mbona umekaa muda mrefu hivyo..?"
"...tumbo lilinivuruga sana pia najishangaa nilikuwa
natapika sana..."
"...pole sana haya zima hiyo taa tulale mpenzi.."
Nilijitahidi kutafuta usingizi lakini bado kichwa changu kikawa kizito sana kwani nilikuwa na
mawazo sana tena ya vitu vingi sana..
Ndani ya kama dakika 40 nilianza kuhisi kama
kausingizi kakinipitia huku kichwa changu kikiwa
kifuani mwa jacky wangu.., mara hodi ikaanza
kupigwa.., "nani..? Naani..?"
Jacky akauliza kwa sauti ya juu..
"jeff nifungulie pliz.."
Jacky akanitolea macho tena kwa hasira
akaniuliza..,
"jeff ni nani huyo anabisha hodi..?" "jaman simjui.., achana naye usiku huu tulale tu
mpenzi wangu.."
"hapana jeff mpaka nimjue.."
Nilimvuta sana jacky asiende popote tulale lakini
akawa mbishi hivyo nikamwacha akaenda mpaka
mlangoni kufungua... "...we ndio unatembea na wanaume za watu enh...?
Na leo ama zako ama zangu...
 
"...umezoea kuchukuwa waume za watu enh...? Si
nakuuliza wee..."
"..hivi wee dada unamatatizo gani..?"
Nilibaki kimya nawasikilizia jacky aliyekuwa
anagombana na mtu ambaye sikumfahamu kwani
alikuwa amefichwa na mlango.., kwa sauti nilikuwa naifananisha tu kama siyo helleiner basi atakuwa ni
michelle sura mbaya..
Mara nikasikia kama mtu kapigwa kofi kwa nje
huku akitoa sauti kali ya kulia..,
"..mshenzi mkubwa we wa waume za watu.."
Nilishindwa kuvumilia kidume mimi ikanibidi niende mpaka walipo ili niweze kugundua ni mtu
gani anayempiga demu wangu jacky..,
"..nimesema mwache.., mwacheee...!! malaya
mkubwa we tena nenda kwa jibaba lako uliokuja
nalo..."
"jeff..? jeff unanifanyia mimi hivi...?" Kumbe alikuwa ni michelle sura mbaya na kwa
muda huu alikuwa ameshamuadhibu jacky vya
kutosha kwani alikuwa akilia huku kaegemea
ukuta tena mwekundu mashavuni mwake
kuashiria kapata kipigo kikali toka kwa michelle
sura mbaya.., "jacky mpenzi embu ingia ndani achana na huyu
mpumbavu asiye na akili..."
Jacky alinielewa nakuelekea chumbani huku
akiniacha na michelle sura mbaya pale kwenye
kakorido...
"michelle hivi unaakili sawa kweli wewe...?" "kwanini jeff mpenzi wangu.."
"...toa hilo neno la mpenzi.., Msenge mkubwa wee..,
we unajijua umekuja na lijibaba lako then unakuja
kuleta ugomvi na demu wangu..."
"...jeff si nilikwambia hilo jibaba lenyewe hata
halijaniridhisha...?" "sasa..? Unachotaka kwangu nini..?"
"..nataka ni sex na wewe jeff..."
Hasira zilinizidia nakujikuta nimemtandika bonge la
kibao..,
"...jeff hata unipige vipi..? Kusex na mie leo uta sex
tu taka usitake...!!" "..hivi wee michelle unaakili zote kweli..?"
Sikuamini macho yangu kwani alikimbia nakuingia
chumbani kwangu fasta kisha akalishusha godoro
langu lile jipya nililonunua..,akavua nguo zake zote
nakubakiwa uchi wa mnyama na shanga zake
zilizokamatia kiuno chake.., Sikuwahi kumuona michelle sura mbaya akiwa na
shanga kiunoni ndio leo.., alifungua kapochi kake
kadogo kisha akatoa kitu kama unga na kumeza
kisha baada ya hapo akanifuata nakunipulizia kitu
usoni mwangu nakuniambia..,
"...jeff nakupenda na lazima utanioa mimi tu sio yule pale mzoga wako au helleiner..."
Nilijikuta nalegea ghafla nakuanza kuitikia kwa
kichwa nikimaanisha nakubaliana na
anachokisema..,
"noo.., noo.., no jeff usifanye hivyo pliz mpenz
wangu bado nakupenda na natarajia tulee wote hii mimba mpaka mtoto.."
Ilikuwa ni sauti ya jacky ikionesha kuwa
haikubaliani kabisa na anachokiongeaa michelle
sura mbaya..
"...michelle..? nakupenda pia, tena sana mpenzi
wangu...?" Sikuwa najitambua kabisa.., taaratibu nikavua
suruali yangu ikifuatiwa na boxer kisha nikaenda
mpaka kwenye godoro pale chini nakuanza kulala
na tayari kwa ku sex na michelle sura mbaya...,
"...no jeff usifanye hivyo pliz..!! pliz...!! Nionee
huruma jeff..." Sikumuelewa kabisa jacky anachomaanisha akawa
ananifuata pale chini kwenye godoro lakini kabla
hajafika michelle akampulizia kitu..,nikashangaa
anarudi kitandani kwake huku akiwa mpole na
kimya..,
Nilianza kumshika shika michelle sura mbaya huku tukifurahia.., nilimpa mapenzi moto moto tena kwa
kila style.., nilijihisi kama niko dunia nyingine..,
"...Ooh..! jeff..!! jeff..!! one more pliz...?"
"..Don't worry baby..!!"
"..ok., ok.., You are so s e e e x y jeff my love..."
"oh.., oh.., thanx..! thanx..! thanx..!" Niliendelea kufurahia sex na michelle sura mbaya
huku jacky akituangalia kitanda cha pembeni na
usoni mwake alionesha kutokwa na machozi
mengi bila ya kusema neno lolote..
"...michelle inatosha pliz..! pliz..."
"noo.., noo jeff tena pl i i i i zzz..!!!, unajua ku sex jeff ingiza tena pliz..!! pliz..!!"
Nilijikuta naendelea ku sex tena huku nisijijue idadi
ya mabao niliompiga michelle sura mbaya..,tukiwa
bado tunaendelea na sex mara nikamshuhudia
jacky akisimama kama anataka kuja tulipo mara
akadondoka hapo hapo alipo nakuanza kutapa tapa na kukamaa mwili wote mithili ya mtu
anapopiwa na shoti ya umeme, bila ya kutoa neno
lolote akaganda..,
"jeff vipi..? Unashangaa nini..? Tuendelee tena
pliz...!!"
Nilijikuta sichoki hivyo tukaendelea tena ku sex huku jacky akiwa ameshakauka pembeni yetu...,
Mara mlango ukafunguliwa.... >>>Inaendelea....
 
"..we miche umefuata nini huku..?"
Alikuwa ni yule jibaba lake na michelle sura mbaya
na kwa muda huu lilikuja limefura likionesha kuwa
na hasira sana kwa alivyotufumania...,
"...yani umeniaga unaenda chooni.., sa chooni ndio
hapa kwenye hili godoro enh..? Fala mkubwa we.." Sikuwa naelewa chochote kwani nilikuwa kama
mtu aliyepigwa ganzi.., nilishuhudia michelle sura
mbaya akishikwa mishanga yake huku akivuta
nguo zake nakuniacha pale chini..
Walivyoondoka tu na mimi nikainuka nakupanda
juu ya kitanda huku nikimwacha jacky pale chini. ~ Asubuh yake ~ "...we jeff..? jeff amka huko, jeff..?"
Sauti kwa mbaali ilikuwa ikiniita na nilipozinduka tu
macho yangu yakakutana uso kwa uso na
helleiner tena akiwa pembeni yangu amekaa na
analia kwa uchungu.
"jeff utaacha lini kunisaliti..? jeff.., unataka nikupendaje jeff..? Kwanini mikosi napata mimi tu
jamani..?"
Akili yangu yakawaida ilikuwa imeshanirudi huku
nikiamka pale kitandani nakumuwahi jacky wangu
aliyekuwa amelala kapoteza fahamu..,
"...jacky..! jacky mpenz amka..." Niliongea kwa ujasiri wa hali ya juu huku
nikimpepea jacky nakumuacha helleiner
akiendelea kulia pale kitandani kama vile simjui..
Nilimpepea mpaka akazinduka lakini bado jacky
alikuwa hajielewi elewi..,
"jeff..? jeff mpenzi nakupenda sana.." "hata mimi nakupenda jacky.., unaskia maumivu
yeyote..?"
"hapana mpenzi..,ila hii mimba nadhani ndio
inanipelekesha sana..."
"uwii..!! uwii..!? jeff..? jeff...?"
Helleiner alizidisha kulia baada ya kusikia kuwa jacky anamimba pia ananiita mi mpenz
wake,sikulijari hilo zaidi yakuendelea
kumbembeleza huku nikilishika shika tumbo lake
nakumgeukia helleiner..,
"jacky.., huyu dada anaitwa helleiner na alikuwa
mpenzi wangu.." "amefuata nini hapa...?"
"tulia acha jazba.., yeye ndio aliokuja kunishtua
kutoka usingizini.."
"helleiner..? Huyu hapa ni mke wangu mtarajiwa na
ana mimba yangu hivi karibuni nitakuwa na mtoto
wangu kwake.." "jeeeeeeff...?"
"yeah.., ndio ana mimba yangu na tayari jina la
mtoto nimeshaliandaa.."
Kabla sijamalizia kuongea nilishangaa napigwa
bonge la kibao kutoka kwa helleiner huku jacky
akiingilia kati akitaka kupigana naye.., "jacky my love pliz.., mwache., mwacheee...!!"
Nikamgeuzia shavu kwa upande wa pili mithili ya
filamu ya yesu..
"haya nipige na upande wa huku.., nipige..?"
Kweli helleiner alikuwa na hasira sana kwani
alinyanyua mkono wake nakunipiga tena kibao kwa upande wa pili..
"umemaliza..? Nakuuliza wewe helleiner
umemaliza..?"
"nirudishie hela zangu nilizokupa jana.."
"unasemaje..?"
Nilimchukuwa kinguvu mpaka nje huku nikimburuza chini chini nikisaidiana na jacky
wangu..
"jeff..! jeff niacheni.., najuta kukupenda jeff..!"
"kajute na mama yako huko huko mpumbavu
mkubwa we.."
Tulimburuza mpaka mapokezi kisha tukamwachia maagizo yule dada wa mapokezi,
"huyu usije ukamruhusu aje hapa tena, mdandiaji
wa waume za watu huyu tena malaya kabisa.."
Helleiner aliendelea kulia pale huku akitoka nje ya
ile guest kwa uchungu wote..."
"jeff utanikumbuka..?" "watanikumbuka wangapi..? Sembuse wewe.."
Nilimjibu kwa dharau huku tukirudi chumbani
kwetu mimi na jacky wangu, tulipofika tu
chumbani sikutaka kupoteza muda nikaingia
bafuni nikaoga fasta fasta na nilivyomaliza
nikatinga pamba zangu fresh.., "sasa jacky my love..?"
"..yap jeff dia.."
Naona nikuache kwani naelekea kwa madalali c
unajua leo leo tutahama na haka kagodoro ketu
kakuanzia maisha.."
"pouwa jeff wangu nakutakia mafanikio mema.." Nilimpiga mabusu ya shavuni mpenzi wangu jacky
huku nikimwaga nakuondokazangu, nilipofika
mapokezi nikakumbuka kulipia hela ya siku hiyo
kwani ilikuwa inaisha jana, ile najisachi mifukoni,
"My God...!!"
Sikuwa na hata shilingi na nilishindwa kujua ziko wapi zile hela zote, fasta fasta akili ikanituma nirudi
chumbani nikaangalie fresh, nikarudi fasta
nakuanza kusachi napo nikaambulia sh. Elfu 10 tu
tena elfu 5 tano mbili, nilizidi kuchanganyikiwa
huku akili ikinituma moja kwa moja aliyechukuwa
hela zote labda ni michelle sura mbaya alivyoondoka usiku..
"nimekwisha jef mimi...!"
Nilijisemea kimoyo moyo huku mchozi wa huruma
ukianza kunidondoka nisijue cha kufanya... >>>> Inaendelea
 
Back
Top Bottom