"...jef usiondoke pliz nisubiri hapo..."
Nikawa sina tena ujanja zaidi ya kusimama
nakumtolea macho hellleiner aliyekuwa anakuja
fasta fasta huku mkononi kashikilia simu mbili moja
yake na nyingine ya michelle sura mbaya..,
"...jeff embu niambie ukweli wala usinifiche kitu...?" Nilianza kutetemeka huku akili ikinituma kuwa
huenda keshasoma ile sms niliyomtumia michelle
sura mbaya,
"...kitu gani tena helleiner mbona unanitisha
hivyo...?"
"...unajua kuwa nimeshakusamehe na nahitaji kuwa na wewe milele...?"
"ok.., niambie basi kitu gani hicho...?"
"supriiise.....!"
"...mhh..! mhh..! helleiner mbona unanifanya
hivyo...?
"..tomorrow is my birthday.., nilisahau kukwambia sweetie..!"
Mapigo ya moyo yakatulia huku pumzi ikinishuka
nakumtolea macho ya furaha..,
"..don't tell me helleiner.., sure...?"
"yeah.., sure..!"
Nilimkumbatia tena kwa mara ya pili kwa shangwe zote huku nikiamini hiyo ndio itakuwa nafasi
yangu ya ku sex na helleiner na hapo hapo
nikumtema tu nikishamaliza shida yangu..
"so.., utaifanyia wapi...?"
"home..!, coz tupo tunaishi na mummy na mummy
mwenyewe kesho hatakuwepo anaenda bagamoyo asubuhi sana na atalala huko huko kwa
bibi mpaka kesho..,
"...na daddy wako je..?"
Alionesha kubadilika sura huku akisikitika kisha
akanijibu..,
"...my daddy alishafariki kwenye ile ajali ya meli zanzibar..."
"oh sorry...!, pole sana baby wangu..."
"...thanx jef and i love you..."
"...ok, so...?"
"...kesho uje tushinde wote nyumbani kuanzia
asubuhi mpaka usiku tusherekee..." "..waaaoooh..! kwa hilo tu usijali tutakuwa
pamoja.., nitakupa company mpaka utafurahi
mwenyewe.."
"ok, c you tomorrow jeff.."
Niliondoka pale kwa shangwe zote huku nikiwa
sijiamini amini kama kweli helleiner amesoma ile sms au la.
Mpaka nafika home nilikuwa bado ni mtu wa
shangwe tu muda wote, yani hata chakula kwangu
ilikuwa inshu zaidi ya kununua chipsi kavu nakula
kisha nikanunua vocha za kutosha kumpigia mtoto
mlimbwende helleiner. Kama kawaida nilitegea mpaka ilipofika saa 6 za
usiku nikampigia simu helleiner na alipopokea tu
alionesha kuwa na usingizi sana,
"..baby vipi ushalala..?"
"yap dear.."
"..can i say somthng 4 u...?" "yeah..."
"...happy birthday my lovely one..."
"oh thanx mwaaah.., mwaaah..! mwaaah..!
sweetie..."
"...kwakuwa unausingizi sana.., nitakupigia kesho
we pumzika tu baby wangu..." "pouwa swetie i love you...!"
"me too...!"
Nilikata simu kisha nikavuta ki iPod changu
nakufungulia ile nyimbo ya Recho inayoitwa
kizunguzungu taaratibu nikawa naisikiliza huku
navuta hisia na usingizi kwa mbaaali. ~ KESHO YAKE ASUBUHI ~ Mishe mishe kwangu zilikuwa nyingi sana,
japokuwa nilikuwa muongo muongo lakini kwetu
tulikuwa nakauwezo kidoogo,na tangu nilipoishia
4m four nilikataa kuendelea na chuo zaidi ya
vijikozi tena vile vya computer navyo sikumaliza
niliona vinanipotezea muda tu. Asubuhi asubuhi mfukoni nilikuwa na kama elfu
20 na yote hiyo nilimwongopea maza akanipa
hivyo zoezi kubwa lilikuwa ni zawadi ambayo
nitamnunulia mtoto helleiner
Kwakuwa mi ni play boy nilifanikiwa kumnunulia
dozeni ya chupi kwa shilingi elfu 15 huku nusu yake ikiwa ni za bikini then nikafunga kwenye gift
paper vizuri nakubakiwa na elfu 5 na hapo hapo
nikamu sms helleiner..,
' ..Baby niko njiani nakuja..'
Haikukaa muda akanijibu.
' ..tunakusubiri kwa hamu sweetie..' Ndani ya dakika kama 40 tayari nilikuwa getini
kwa kina helleiner huku nikiwa na mzuka wa hali
ya juu na nilipofika getini nilimu sms helleiner,
' ...nimeshafika nipo nje...'
Mara geti likafunguliwa lakini hakuwa helleiner
wala michelle sura mbaya, " ..ooh are you Jeff Ryder..?"
"yap..,helleiner yupo..?"
Amenipigia simu nikufungulie umeshafika yeye
kaenda maeneo ya pale dukani lakini atarudi sa
hivi tu, karibu ndani mi naitwa..."
Kabla hajamaliza kuongea nikawa nimeshamgundua kwa sauti yake tu haikuwa
ngeni maskioni mwangu kabisa..,
"..we si michelle au hellein..?"
"...dat'z correctly jeff..."
"...sauti yako haibadiliki kabisa yani..."
"...jeff nimeamini sasa, ua so handsome boy...!" "thanx miche..!"
Niliingia ndani kwa bwembwe zote huku
nikimtolea mijicho miche au hellein kiukweli
alikuwa kifaa kushinda hata mdogo wake helleiner
then alikuwa ni mweupeee dah..,
"...hapa simwachi hata mmoja.." Nilijisemea kimoyo moyo huku tukiingia sebuleni
na tulipofika tu nilishangaa kukumbatiwa,
"...ahh shemeji jeff..?, karibu.. karibu.."
"ahsantee..."
Alikuwa ni michelle sura mbaya na yeye aliponiona
tu alinikumbatia kwa shangwe..,aliponikaribisha tu aliniaga nakuelekea jiköni huku akiniacha na dada
yake helleiner.
"..shem ujue tangu tuwasiliane siku ile hukunipa
hata namba yako ya simu.."
Alisema dada yake na helleiner...,
"ok.., chukuwa ni 0713133633.." nilivyomaliza kumpa tu helleiner naye akawa
ameshakuja..,
"..my jeff...? Come an hug me pliz..!"
Nilimfuata nakumkumbatia kisha nikamalizia kwa
denda huku michelle sura mbaya na mwenzake
wakinishangaa. "..vipi umekuja sa nyingi enh...?"
"...hapana nimekuja muda si mrefu.."
Nililetewa juicy pale sebuleni huku wakienda jikoni
kuendelea na kupika mahanjumati,
Dah kiukweli kina helleiner walikuwa tajiri tena
zaidi ya pesa,nikiwa bado nimezubaa sebuleni peke yangu mara michelle sura mbaya akanifuata
sebuleni na kuninong'oneza kitu,
"...leo nahitaji kusex na we jeff nimekumis sana.."
"...Shh.! tena unyamaze sasa hivi..?"
"...jeff usitake nitoe siri sasa hivi nikakuharibia..,
unajua siku ile nilimkatalia kuwa sikuwa mi alivyotufumania kule kwako..?"
"...ok, nimekuelewa nenda kwa wenzako jikoni
huko, watatukuta hapa pliz..!"
"...so umenielewa lakini..? Mwenzako nina nyege..!"
"...ok, baadaye basi..!"
"pouwa..!" Huyoo akaenda zake jiköni,
Nikiwa bado sijielewi elewi mara sms ikaingia
' 0652404045' namba yangu hiyo mi dada yake
helleiner, siyo siri jeff natamani kama ninge sex na
we hata leo pliz...'
Dah sikuamini kabisa kama ile meseji imetoka kwa dada yake helleiner au, mara akatokea sebuleni
nilipokuwa tena safari hii alikuwa akitingisha huku
akiönesha mapaja yake kwa maksudi mbele yangu
nakujifanya anapanga vyombo kabatini..,
"jeff..?"
"..mhh.., yeah..!" "..umepata sms yangu..?"
Aliongea kwa sauti ya chini chini..,
"nimeipata.."
"...zingatia pliz n pliz am so hot..."
"..don't worry.."
"sure...?" "yeah..!"
Aliondoka kwa shangwe zote huku na mi nikiwa
na furaha mara akatokea helleiner na sahani
aliyokuwa ameiwekea bites bites akaja kukaa
namimi kochi moja huku akinilisha..,
"..karibu sweety wangu..!" "thanx baby..."
"...jeff..?, nahitaji twende chumbani now pliz pliz...