Dr Lizzy
Platinum Member
- May 25, 2009
- 31,009
- 60,629
Cheating is like playing with fire, yani someone is bound to.get burnt at some point or another.
Waweza jikuta unapoteza ndoa yako, watoto, heshima kama uliwahi kuwa nayo,mali, kiungo/viungo au hata maisha.
Wale/nyie vinara wakutoka nje ya ndoa na mahusiano yenu hivi hua mnafikiria na kujiandaa na haya??! Mmewahi kufikiria kua siku moja unaweza ukajikuta umepewa sumu, umepigwa mpaka kuvunjwa kiungo au hata kuchomwa kisu kisa kutembeza mwili wako kwa mtu/watu ambao wako nje ya mkataba/makubaliano ya mahusiano yako na mwenzi wako au kwa kuingilia mahusiano ya mtu mwingine?
Utajisikiaje ikitokea siku unajiona unakufa hivi hivi au unapoteza chochote kile ambacho umehangaika sana kukipata kisa tu ulishindwa kutulia na mwanaume/mwanamke wako?
Tulieni jamani, hivyo viungo vya mwili vitawaponza!!!!
Waweza jikuta unapoteza ndoa yako, watoto, heshima kama uliwahi kuwa nayo,mali, kiungo/viungo au hata maisha.
Wale/nyie vinara wakutoka nje ya ndoa na mahusiano yenu hivi hua mnafikiria na kujiandaa na haya??! Mmewahi kufikiria kua siku moja unaweza ukajikuta umepewa sumu, umepigwa mpaka kuvunjwa kiungo au hata kuchomwa kisu kisa kutembeza mwili wako kwa mtu/watu ambao wako nje ya mkataba/makubaliano ya mahusiano yako na mwenzi wako au kwa kuingilia mahusiano ya mtu mwingine?
Utajisikiaje ikitokea siku unajiona unakufa hivi hivi au unapoteza chochote kile ambacho umehangaika sana kukipata kisa tu ulishindwa kutulia na mwanaume/mwanamke wako?
Tulieni jamani, hivyo viungo vya mwili vitawaponza!!!!