fukunyuku Member Joined Feb 24, 2012 Posts 69 Reaction score 23 Mar 15, 2012 #41 Hellow to you all. Minadhani watu wanaocheat kwenye mahusiano wapo wa aina 2. 1. Ndio hulka zao 2. Wameshatendwa sasa nao wanafanya revange ila mwisho siku zote huwa ni mbaya!
Hellow to you all. Minadhani watu wanaocheat kwenye mahusiano wapo wa aina 2. 1. Ndio hulka zao 2. Wameshatendwa sasa nao wanafanya revange ila mwisho siku zote huwa ni mbaya!
Asprin JF-Expert Member Joined Mar 8, 2008 Posts 68,223 Reaction score 96,083 Mar 15, 2012 #42 98% ya wanaume wanatoka nje ya ndoa zao......... Sasa mnataka kunambia wanatoka na madogi au na nyie kina mama? Acheni uzushi bana, cheating is inevitable.....
98% ya wanaume wanatoka nje ya ndoa zao......... Sasa mnataka kunambia wanatoka na madogi au na nyie kina mama? Acheni uzushi bana, cheating is inevitable.....