Please BOT take care CRDB inatuchanganya au ndio kufa ?

Please BOT take care CRDB inatuchanganya au ndio kufa ?

LIFE HELP

Senior Member
Joined
Nov 29, 2012
Posts
149
Reaction score
71
PLEASE BOT TAKE CARE CRDB BANK INATUCHANGANYA AU NDIO KUFA ?


1. Internet statement hazieleweki , ziko nusu nusu, not up to date 3 to 10 days behind very RISK

2. Within the bank same city Chaque deposits zinachukua zaidi ya wiki mbili bila taarifa bila sababu hadi payee na payer wanagombana na kuharibu biashara.
3. Chaque payment unayomlipa John BANKI wanamlipa Ally na ya Ally analipwa John, kuja kugundua hilo 2 week later, correction a week plus na baada ya payees kugombana.
4. Tellers baadhi yao wana jisikia/wabaguzi/wamejisahau sana hawana kabisa customer care kama 20% ya wote, watu wengi sasa husema kama huna pesa ya uhakika usiende CRDB.
5. Ukituma TISS unaambiwa payee atapokea pesa ndani 24 hrs badala yake 6 days tena kwa kugombana nao simu zenyewe hawapokei hata wakipokea hakuna solution majibu ngoja ! ! ! subiri !!! Sijajua ! ! ! ngoja ! ! ! subiri !!! Sijajua ! ! ! wana kata simu, inauma sana na umelipa pesa nyingi bado unaharibu mahusiano yako na supplier wako,, hasara ,tafadhali
Kwa wale wataalam wa sharia naomba ushauri hapo cha kufanya ushahidi ninao HAKIKA.



- Nasema haya nina uhakika nayo na ushahidi ninao,
- Mimi ni mteja wa CRDB zaidi ya miaka 20 yrs ndio maana inaniuma pia najua wazi kuwa ni BANK YETU YA KITANZANIA NDIO MALI YETU KWA SEHEMU KUBWA
- Naomba msamaha kwa wale wote watakao udhika nia yangu ni nzuri KUBORESHA.

BADO TUNAWAPENDA CRDB JIREKEBISHENI MAPEMA AU TUHAME MAPEMA…….
 
Hizi benki kubwa kama CRDB, NMB na NBC si za kufungua akunt, ukitaka ufurahie huduma za kibenki fungua kwa zile benki ndogo ambazo ndo zinaanza au hazina wateja wengi, CRDB ukiingia ndani kwanza mpaka uje usikilizwe nusu saa imepita, wakati benk hizo ndogo ukiingia ndani ya sekunden ulisha sikilizwa, Watu wanazani ni sifa kuwa na akaunt CRDB sijui NBC, ila kiukweli Benki zenye wateja wengi mara nyingi service zao ni pure,

Tafuta benki hizi ndogo utaona tofauti kubwa sana
 
[TABLE="class: contentpaneopen"]
[TR]
[TD="class: contentheading, width: 100%"][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD][TABLE="class: artinfo_block"]
[TR]
[TD]



Tuanzie hapa labda pengine tutapata majibu!
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
[TABLE="class: contentpaneopen"]
[TR]
[TD]
Board of Directors
CRDB BANK PLC BOARD OF DIRECTORS


The Board consists of ten (10) Directors (including the Chairman). The names of the Board of Directors are as shown below:

Martin J. Mmari- Tanzanian
(Chairman of the Board)

Boniface C. Muhegi- Tanzanian

Joyce W. Luhanga- Tanzanian

Bede P. Lyimo- Tanzanian

Joseph C. Machange-Tanzanian

Joyce N. Nyanza- Tanzanian

Ally H. Laay- Tanzanian

Kai Kristoffersen- Danish

Juma A. Abdulrahman-Tanzanian

Hon. Frederick T. Sumaye- Tanzanian
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
 
Hizi benki kubwa kama CRDB, NMB na NBC si za kufungua akunt, ukitaka ufurahie huduma za kibenki fungua kwa zile benki ndogo ambazo ndo zinaanza au hazina wateja wengi, CRDB ukiingia ndani kwanza mpaka uje usikilizwe nusu saa imepita, wakati benk hizo ndogo ukiingia ndani ya sekunden ulisha sikilizwa, Watu wanazani ni sifa kuwa na akaunt CRDB sijui NBC, ila kiukweli Benki zenye wateja wengi mara nyingi service zao ni pure,

Tafuta benki hizi ndogo utaona tofauti kubwa sana

sio kweli NBC Wapo vizuri sana sema watu weng wanakumbuka nbc ya mwaka 80
 
Hamia benki ndogo kama vile Akiba Commwecial Bank Plc. Usiweke mayao yako yote kwenye kikapu kimoja kikianguka je? Diversify your accounts sio kuweka fedha kwenye benki kubwa tu weka na kwenye benki ndogo kwa usalama na huduma zilizo bora!!
 
Hamia benki ndogo kama vile Akiba Commwecial Bank Plc. Usiweke mayao yako yote kwenye kikapu kimoja kikianguka je? Diversify your accounts sio kuweka fedha kwenye benki kubwa tu weka na kwenye benki ndogo kwa usalama na huduma zilizo bora!!

We unajua sheria za kuanzisha Benki? Ingekuwa Benki ikifilisika na pesa za wateja ndo basi watu wasingetunza pesa Benki,
 
We unajua sheria za kuanzisha Benki? Ingekuwa Benki ikifilisika na pesa za wateja ndo basi watu wasingetunza pesa Benki,

Nadhani benki yako haijakuelimisha kuwa mara wakifilisika bima yao ina limit ya amount ambayo watakurudushia wewe mteja kati ya fedha yako uliyoweka benki!! Amka nenda kawaulize bankers wako bima yao ina kikomo gani cha kulipa iwapo itafilisika, ndio maana diversification ya accounts is a safe strategy!! Nenda ukapate elimu ,usije ukaliwa huko mbele benki kufilisika si ajabu; kulikuwepo na Greenland Bank na Meridien Biao hapa nchini benki ambazo they went belly-up na watu wakalizwa, wakati huo Idris Rashid akiwa gavana wa Bot pengine ulikuwa hujazaliwa.!!!
 
Vijana wa CRDB wanatisha, una deposit cheque inaingizwa kwenye account ya mtu mwingine, hali hii ni jambo la kawaida, mara mbili nimepambana na ushenzi wa hawa vijana wa CRDB.
 
Nadhani benki yako haijakuelimisha kuwa mara wakifilisika bima yao ina limit ya amount ambayo watakurudushia wewe mteja kati ya fedha yako uliyoweka benki!! Amka nenda kawaulize bankers wako bima yao ina kikomo gani cha kulipa iwapo itafilisika, ndio maana diversification ya accounts is a safe strategy!! Nenda ukapate elimu ,usije ukaliwa huko mbele benki kufilisika si ajabu; kulikuwepo na Greenland Bank na Meridien Biao hapa nchini benki ambazo they went belly-up na watu wakalizwa, wakati huo Idris Rashid akiwa gavana wa Bot pengine ulikuwa hujazaliwa.!!!

Naongezea hapo mkuu.....

Quotation kutoka website ya BoT - Deposits Insurance Board.

.
.
3) Protection of Deposits
a) the amount of protected deposit shall be the aggregate credit balance of any amounts maintained by a customer at a bank or a financial institution less any liability of the customer to the bank or financial institution to the extent determined by the Minister for Finance from time to time by order published in the Gazette. The amount of protected deposit raised from TZS 500,000.00 up to TZS 1,500,000.
.
.
 
Back
Top Bottom