Jolie Jolie
JF-Expert Member
- Dec 28, 2017
- 7,406
- 13,806
Hahaha juzi hukuwepo kweny uzi wa london bby,muuzaji aliamka na Mzigua haha afu mzigua hana presha mwenyew anajibu kistaarabu tu japo alirushiwa mitusi kama kawaida.Mzigua sijui alikua hajashtua akili na heinkenHiko kicheko umenikumbusha muuzaji
Unanijua nilivo kanyonge likija suala la vita,jiandae kunifuta machoziBebe vita unaiweza lakini?
Hahaha ulijubalije kupokonywa tonge mdomoni?Aaah
Kitambooo ila kijana alokuja now ka kamia kakaba hadi kona [emoji1]
Hahahahah kwamba hali ya hewa ndo imefanya nifungiwe?Hali ya hewa si umeiona?[emoji23]
Hahahaa kumbe ulikuwepo kimya kimya[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nakumbuka jana ulivyokuwa unamjibu chamatusi
We single maza ni muuzaji hahaha ila watu bana khaaaaChamatusi ananisingizia eti mpaka tako natoa jamani
Sent from my SM-G610F using JamiiForums mobile app
Ilikua zamu ya Mzigua,tunaenda kwa zamu.Subiri mashetani ya kwao yakiamka na mimi hahaha ashindwe kabisa kwa jina la Yesu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila yule mtu ana wivu aisee sijaona Jolie kutukanwa
Asie na mwana aeleke jiweTulio single tukabebe mawe
Penzi likiwa la moto linakuwa tamuHahaha yaaan nabanwa huko chumban kea hazard si unajua penzi bado la moto
Nilikuwepo mie nimepita kimyakimya ahaha nilimuona mzigua chiziHahaha juzi hukuwepo kweny uzi wa london bby,muuzaji aliamka na Mzigua haha afu mzigua hana presha mwenyew anajibu kistaarabu tu japo alirushiwa mitusi kama kawaida.Mzigua sijui alikua hajashtua akili na heinken
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hahahaa kumbe ulikuwepo kimya kimya
Yan Bahat ipo Kwa wachache tuAsie na mwana aeleke jiwe
okey safi sanaMakala
Hongera dear, am happy for youYes dear
Hahahahahaaa. Nimeamua kuwacheka wajinga wajinga wote sasa hivi.Hahaha juzi hukuwepo kweny uzi wa london bby,muuzaji aliamka na Mzigua haha afu mzigua hana presha mwenyew anajibu kistaarabu tu japo alirushiwa mitusi kama kawaida.Mzigua sijui alikua hajashtua akili na heinken
Alikua anaruka ruka sanaHahaha ulijubalije kupokonywa tonge mdomoni?
Eti nauza mimi wivu aona yeye. Angejua kuuza kulivyo kutamu angeungana na mimi tuuWe single maza ni muuzaji hahaha ila watu bana khaaaa