Please come to me my Mzigua90, i miss you so much my black african lady.

Please come to me my Mzigua90, i miss you so much my black african lady.

sasa mkurya gani ana lalama "mamaaaaaaaaaa"

mi nachojua mda huu tungeona Rrondoo ana ngeu [emoji16] [emoji16]

kingine huyu mzigua90 anapenda mahaba mahaba kudekezwa,,

mkurya ataweza? au ndo yale "RARA NIKURENGE" [emoji16] [emoji16] [emoji16]
[emoji23] [emoji23]
Mimi mkurya wa Pwani. Mahaba nayajua vizuri.
 
[emoji23] [emoji16] kila kheri, huyo mzigua90, hiyo 10 itakuwa mchaga au mpare [emoji16] [emoji23] [emoji16] [emoji23] ,

mzee baba liamshe dude tu hamna namna [emoji125] [emoji125]
[emoji23][emoji23][emoji2][emoji16][emoji16]
ngoja nkanyage mafutaa had mwsho
 
Back
Top Bottom