MwanajamiiOne
Platinum Member
- Jul 24, 2008
- 10,470
- 6,580
- Thread starter
-
- #21
Mlimazunzu tabia je? Ukiwa na mwanamke mweusi ndani ya nyumba kama mkeo utakuwa complete? inatosha? au kuna vinginevyo ambavyo ungeprefer huyo black beauty wako awe nacho??Mie napenda weusi no mkorogo
BE.....swali linauliza ambacho ungependa kwa galfriend/mchumba au mkeo...........sio viruka njia!!Mimi napenda machangudoa - do it and forget it - no strings attached!
Kamanda... KWanza naomba nikushukuru from the central point of my heart kwamba ile support, i won!!
sasa hii message ya saa nane kasoro usku halafu unaomba tukupe mbinu za mchezo hii......... HAYA BHANA!!!
Haah, muda mrefu sijakuona MJ1,mzima lakini??....ngoja nitarudi badae!!:A S 103:
Mwanamke anayependwa na babu:
1. Awe mzuri wa sura (babu ana kaugonjwa ka kupenda sura...makalio, miguu et el ni added advantage)
2. Awe muwazi na mkweli (Akiwa mwongo, babu naye ni mwongo sana, na mwongo anamjua mwongo mwenzie.....hatutawezana)
3. Asiwe afisa mpelelezi (kila saa vimeseji/kupigiwa simu kuulizwa uko wapi..... unarudi saa ngapi...unafanya nini agggrrrrr)
4.Awe na heshima (aheshimu maamuzi yangu, awaheshimu watu wengine, asiwe na dharau)
5. Awe msafi (wa mwili na wa baioloji yake na vyote viizungukayo baiolojia yake, ajue kujiremba na kuvaa vizuri)
6. Awe na kipato au mwelekeo wa kujua kutafuta kibao...(Babu ana aleji ya kupigwa mizinga)
7. Asiwe mvivu kitandani.... Napohitaji anipe, anapohitaji asiogope kuniambia.
Akiwa na vyooote hivi, babu anatulia naye. Akitoka nje itakuwa ni kwa ajili ya tamaa za kawaida za kimwili za wanaume na si vinginevyo.
Babu anarudi kitandani kumalizia usingizi wake na bibi yenu.
hahahaaaaaaaaa.....
Mimi wasiwasi wangu ni hizi PhD mbili, ya Lizzy na ya MJ1; kama zinakaribia kutuweka nusu uchi humu
sasa nikisema napenda awe anavuta ganja watanielewa kweli??
Typical creature going by the name 'man'.Mimi napenda variety. Yaani napenda wachuchu wa dizaini mbalimbali. Kwa mfano, napenda wanene, napenda vimobitel, napenda Wachaga, napenda Wamburu, napenda wenye nyonyo kubwa kubwa, napenda watundu watundu na walio wakorofi kiasi. Sipendi wapole kupindukia. Sipendi walokole ila pia sipendi wapagani.
Wale wanaopenda kujichubua mimi nina mzio nao. Nywele za kafaulaya naweza kuzivumilia.
Pia napenda wabunifu hususan kwenye maloveee. Napenda wasafi. Sipendi walio walevi kupindukia. Daaah yaani napenda dizaini nyingi mno. Sasa sijui kama nimejibu swali lako au ndo nimeharibu kabisa. Ila nimejibu kwa ukweli.
Unajua MJ1, swali lako kiasi fulani liko too general,
nadhani unaweza usipate majibu unayotarajia kwa kiasi fulani,
au ukapata majibu mengi kutoka katika mitazamo tofauti ya swali lako,
Labda ningependa kufahamu kuwa hapa tunaangalia umbo la nje la mwanamke,
au tabia/hulka ya mwanamke kwa ujumla,
Binafsi naona kuna tofauti hapo, tukiwa tunaongelea umbo na sura ya nje ya mwanamke Vs tabia/hulka yake
MFANO: MWANAUME umeoa, kisha unasema kuwa unapenda mwanamke mnene, wakati mkeo ulie nae ni mwembamba,
sasa hapo sijui inakuwaje?
Labda MJ1, ningeomba ufafanuzi zaidi wa swali lako!!!!!!
Una kifua cha chuma aisee....! Bravo, by the way I like the one who can tell me my weaknesses straight .....! Hata kama sijamfikisha anakotaka, let me know before she revenge....! Nitamuheshimu sana yule ambaye hayupo kushindana nami; mfano kama nimeteleza, basi naye ateleze...nikasirike, naye akasirike....! bali anikalishe chini na kutafuta tatizo ni nini.... Kwa hali kama hii, kila nitakapokuwa nalekea kufanya kitu, nafsi hunisuta na kujikuta nikisitisha mara moja.... this is a very strong lock that I can't unlock without her concern....! Hata akitongozwa na rafiki yangu wa karibu aseme mapema....! Asiwe na siri yoyote baina yangu na yeye...! Bali aelewe siri yetu baina yetu na wengine....! Hata kama mfano akiwa shuleni, na mwalimu wake akamtaka kimapenzi ili amuoneshe mtihani, aniambie... hata kama amepewa uwaziri kwa masharti fulani, lakini nipate taarifa mapema kupitia kwake na sio kungwineko....! Just to mention few...!Napenda sana uwazi tena uliopitiliza siwezi kamwe kushindwana na mwanamke muwazi kama mimi nilivyo yaani namaanisha hata kama amegawa jana akisema ukweli nitamsamehe na kutafuta sababu ya kwa nini aligawa utamu wangu kwa mwingine na kama ni udhaifu wangu nirekebishe na kama ni wake nimsaidie lakini hii ya baadhi ya wanawake kujifanya wajuaji na kudharau upeo wa mwanaume wa kugundua mambo huwa inanikera kuliko chochote! Bai ze wei misi yoo MJ1
dah siku moja moja uwa una akil enhh
yap namimi pia nimeliona ilo kuna watu wanaanza kudiverge kujibu swali....
mwanajamii alimaanisha hulka ,tabia,mambo ambayo unataka ufanyiwe km mwanaume...ayo ambayo mnaenda kutafuta nje nini..
wengne ohh napenda mwembamba...mnene...ajamaanisha ivo
sasa wew mbona umeoa mwembamba na unaenda nje unamchukua tena mwembamba...ye alimaanisha mambo yetu yaleeeeeeeeeee na associates zake..aweje yaan ..akufanyiae nin?akupikie nin na mambo za sampuli io..lakin AJAMAANISHA KUULIZA JE UNAPENDA MWANAMKE MWEMBAMBA,MNENE,MFUP AU KIFUTU?
ELEWEN SWALI.
NAWASILISHA.
dah siku moja moja uwa una akil enhh
yap namimi pia nimeliona ilo kuna watu wanaanza kudiverge kujibu swali....
mwanajamii alimaanisha hulka ,tabia,mambo ambayo unataka ufanyiwe km mwanaume...ayo ambayo mnaenda kutafuta nje nini..
wengne ohh napenda mwembamba...mnene...ajamaanisha ivo
sasa wew mbona umeoa mwembamba na unaenda nje unamchukua tena mwembamba...ye alimaanisha mambo yetu yaleeeeeeeeeee na associates zake..aweje yaan ..akufanyiae nin?akupikie nin na mambo za sampuli io..lakin AJAMAANISHA KUULIZA JE UNAPENDA MWANAMKE MWEMBAMBA,MNENE,MFUP AU KIFUTU?
ELEWEN SWALI.
NAWASILISHA.
Mwanamke anayependwa na babu:
1. Awe mzuri wa sura (babu ana kaugonjwa ka kupenda sura...makalio, miguu et el ni added advantage)
2. Awe muwazi na mkweli (Akiwa mwongo, babu naye ni mwongo sana, na mwongo anamjua mwongo mwenzie.....hatutawezana)
3. Asiwe afisa mpelelezi (kila saa vimeseji/kupigiwa simu kuulizwa uko wapi..... unarudi saa ngapi...unafanya nini agggrrrrr)
4.Awe na heshima (aheshimu maamuzi yangu, awaheshimu watu wengine, asiwe na dharau)
5. Awe msafi (wa mwili na wa baioloji yake na vyote viizungukayo baiolojia yake, ajue kujiremba na kuvaa vizuri)
6. Awe na kipato au mwelekeo wa kujua kutafuta kibao...(Babu ana aleji ya kupigwa mizinga)
7. Asiwe mvivu kitandani.... Napohitaji anipe, anapohitaji asiogope kuniambia.
Akiwa na vyooote hivi, babu anatulia naye. Akitoka nje itakuwa ni kwa ajili ya tamaa za kawaida za kimwili za wanaume na si vinginevyo.
Babu anarudi kitandani kumalizia usingizi wake na bibi yenu.
....yamekua hayo tena Kamanda? Lohhahahaaaaaaaaa.....
Mimi wasiwasi wangu ni hizi PhD mbili, ya Lizzy na ya MJ1; kama zinakaribia kutuweka nusu uchi humu
sasa nikisema napenda awe anavuta ganja watanielewa kweli??
ehh babu jaman...umenchekesha...akikudanganya we utamwongopea.....:dance::dance:!!!!
Si umeona eh?
Nikisema nampenda anayejua kuhudumia vizuri bar, na baada ya huduma ya bar awe pia anajua kuhudumia vizuri kitandani.
Mate raha ya ile kitu muifanye wote mkiwa mmetoa nishai kichwani LOL.... Na hapa ndipo wahudumu wa baa wanapokamataga usukani wa kukamata wanaume wa watu.
Kaka mkubwa katika vitu vinavyoweza kuni-put off kwa mwanamke ni hiyo namba 3 hapo.
dah,kweli "Hodi" ya chooni haiitikiwi "karibu"................
Kweli kabisa kiongozi, ndio maana NYUKI hapigwi BUSU........................
na ndio maana mimi teamo TI-Mfalme Wa Amani NAJUA kwamba mimi ni mwerevu na mwenye akili,kwa sababu nafahamu kwamba HAKUNA NINACHOFAHAMU"