Please help me am confused

 
Sasa si uwaambie tu! unaogopa kitu gani mamii? wewe wamwagie ukweli tu.
 
Kwa ambao hajamuelewa alianza uhusiano na huyu jamaa akiwa na mimba ya mtu mwingine na baada ya kuzaa ambapo muda wote jamaa anahudumia wakazaa tena mtoto na huyu jamaa.Mi naona ni muda muafaka kuweka swala wazi kwa ndugu wote.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…