Please help, what should I do?

cherry nkya

New Member
Joined
Aug 10, 2013
Posts
4
Reaction score
0
Jamani nina tatizo la constipation(kufunga haja kubwa)na nilimuda sasa morethan 2 yrz nimejaribu tiba nyingi haijasaidia naona mabadiliko pale tu ninapotumia dawa ila zikiisha tatizo liko palepale,nimejaribu dawa za kienyeji ila responce yake ndo ndogo zaid, naenda haja afta siku nne na kuendelea wakati mwingine inaenda hadi siku nane na kula nakula kama kawaida milo yote.

Help please what should I do?
 
hebu mtumie sms huyu jamaa anaitwa MziziMkavu. Don't worry tatizo lako limeisha sweetie
 
Chukua majani ya mpapai yaliyokomaa matatu yakatekate kama mboga weka ndani ya sufuria weka maji lita 2. Chemsha hadi ibakie lita 1 epua. ikipoa kunywa glass moja asubuhi na jioni kwa siku tano (yakiisha tengeneza mengine kukamilisha dozi)
 
Kunywa maji ya kutosha,vyakula vyenye fiber nyingi kama matunda,mboga...punguza kula mafuta mengi!fanya mazoezi vilevile!
 
ushauri huo hapo juu ni mwafaka kabisa, ila pia unatakiwa uelewe au vipi ufuatilie kwa undani kiasi vyakula gani vitakusaidia zaidi ktk hivyo; mfano:
vyenye fibre nyingi mara nyingi ni roughage cabbages
matunda mazuri hapo ni mapapai,
nk
 
Chukua majani ya mpapai yaliyokomaa matatu yakatekate kama mboga weka ndani ya sufuria weka maji lita 2. Chemsha hadi ibakie lita 1 epua. ikipoa kunywa glass moja asubuhi na jioni kwa siku tano (yakiisha tengeneza mengine kukamilisha dozi)

thanks alot kwa hili ngoja nitumie baada ya muda ntatoa feedback
 

Kulaga mastaferi na uwe unakunywa maji yapata lita 1.5 kwa siku, chakula weka pilipiliki kidogo
Gongapo na bia siku moja moja! Mengine nitafute!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…