Wanajf please!naomba kuuliza hivi muhas wana second round application for diploma and advanced diploma kwa waliokosa nafasi baada ya selection?na kama ipo naomba kujua ni lini maombi hayo wataanza kuyapokea na ni lini watakaochaguliwa second batch watajiunga?Naomba msaada kwa yoyote mwenye ufaham kuhusu hili.natanguliza shukrani na Mungu wa mbinguni awabarikii...