Tugutuke
JF-Expert Member
- Apr 21, 2011
- 501
- 166
Za siku nyingi wana Jf.
Ebwanae, mimi nimepanga kama mjuavyo kupanga kuna mambo mengi. Sasa katika nyumba yetu hii kuna dada mmoja inasemekana ni mlokole[maana sijawahi kumwona anatembelewa na walokole ] na anakaa chumba cha 3 kutoka room yangu. Kiukweli ni mzuri sana,na ninampenda ila sijui au nashindwa namna ya kumwingia na kumpa somo langu hilo. Kwa sababu hz.
1. Nilimkuta ameshapanga siku nyingi,make mimi huu mwezi wa 5 tu tangu niamie hapo.
2. Nimewahi kuingia na mashost wawili tofaut ndani kwangu,na yeye bahati mbaya aliwaona.
3. Anapenda sana muda wote kupiga nyimbo za injili tupu,na hata yeye huwez kumsikia anaimba bongofleva.
4. Ni mpole,kiasi kwamba nashindwa nianzie wapi kumtongoza.
5. Nina namba yake ya simu ila yeye hajui kama ninayo[nilipewa na mshkaji mwingine ambaye naye nilimkuta humo geto kama house tenant mwenzangu]
6. Naambiwa hawajawahi kumwona ametoka na mtu wala kusikia anamegwa na mtu.
7. Ananiita sana sana kaka,nami nkajikuta namwita dada. Halafu Jana tu,nimemkopesha buku 5 lakini mpaka sasa hajanirudishia[sijui nianzie hapo kwa kujifanya namdai].
Je,nifanyeje au nimwingieje mpaka ajue nampenda na aweze kabisa kuridhia? Maana kapanga anaishi peke yake,na mimi naish peke yangu. Tena ninataka nikimpata nitulie kwani itanifanya nipunguze u-playboy,kwani sitaruhusu mtoto wa kike anitembelee geto!. Naomba ushauri bandugu.
Ebwanae, mimi nimepanga kama mjuavyo kupanga kuna mambo mengi. Sasa katika nyumba yetu hii kuna dada mmoja inasemekana ni mlokole[maana sijawahi kumwona anatembelewa na walokole ] na anakaa chumba cha 3 kutoka room yangu. Kiukweli ni mzuri sana,na ninampenda ila sijui au nashindwa namna ya kumwingia na kumpa somo langu hilo. Kwa sababu hz.
1. Nilimkuta ameshapanga siku nyingi,make mimi huu mwezi wa 5 tu tangu niamie hapo.
2. Nimewahi kuingia na mashost wawili tofaut ndani kwangu,na yeye bahati mbaya aliwaona.
3. Anapenda sana muda wote kupiga nyimbo za injili tupu,na hata yeye huwez kumsikia anaimba bongofleva.
4. Ni mpole,kiasi kwamba nashindwa nianzie wapi kumtongoza.
5. Nina namba yake ya simu ila yeye hajui kama ninayo[nilipewa na mshkaji mwingine ambaye naye nilimkuta humo geto kama house tenant mwenzangu]
6. Naambiwa hawajawahi kumwona ametoka na mtu wala kusikia anamegwa na mtu.
7. Ananiita sana sana kaka,nami nkajikuta namwita dada. Halafu Jana tu,nimemkopesha buku 5 lakini mpaka sasa hajanirudishia[sijui nianzie hapo kwa kujifanya namdai].
Je,nifanyeje au nimwingieje mpaka ajue nampenda na aweze kabisa kuridhia? Maana kapanga anaishi peke yake,na mimi naish peke yangu. Tena ninataka nikimpata nitulie kwani itanifanya nipunguze u-playboy,kwani sitaruhusu mtoto wa kike anitembelee geto!. Naomba ushauri bandugu.