PLEASE READ: Nampenda lakini ana itikadi za KILOKOLE

PLEASE READ: Nampenda lakini ana itikadi za KILOKOLE

Tugutuke

JF-Expert Member
Joined
Apr 21, 2011
Posts
501
Reaction score
166
Za siku nyingi wana Jf.
Ebwanae, mimi nimepanga kama mjuavyo kupanga kuna mambo mengi. Sasa katika nyumba yetu hii kuna dada mmoja inasemekana ni mlokole[maana sijawahi kumwona anatembelewa na walokole ] na anakaa chumba cha 3 kutoka room yangu. Kiukweli ni mzuri sana,na ninampenda ila sijui au nashindwa namna ya kumwingia na kumpa somo langu hilo. Kwa sababu hz.
1. Nilimkuta ameshapanga siku nyingi,make mimi huu mwezi wa 5 tu tangu niamie hapo.
2. Nimewahi kuingia na mashost wawili tofaut ndani kwangu,na yeye bahati mbaya aliwaona.
3. Anapenda sana muda wote kupiga nyimbo za injili tupu,na hata yeye huwez kumsikia anaimba bongofleva.
4. Ni mpole,kiasi kwamba nashindwa nianzie wapi kumtongoza.
5. Nina namba yake ya simu ila yeye hajui kama ninayo[nilipewa na mshkaji mwingine ambaye naye nilimkuta humo geto kama house tenant mwenzangu]
6. Naambiwa hawajawahi kumwona ametoka na mtu wala kusikia anamegwa na mtu.
7. Ananiita sana sana kaka,nami nkajikuta namwita dada. Halafu Jana tu,nimemkopesha buku 5 lakini mpaka sasa hajanirudishia[sijui nianzie hapo kwa kujifanya namdai].
Je,nifanyeje au nimwingieje mpaka ajue nampenda na aweze kabisa kuridhia? Maana kapanga anaishi peke yake,na mimi naish peke yangu. Tena ninataka nikimpata nitulie kwani itanifanya nipunguze u-playboy,kwani sitaruhusu mtoto wa kike anitembelee geto!. Naomba ushauri bandugu.
 
Kupata au kukosa ni matokeo, jaribu bahati yako kama unavyofanyaga kwa hao totoz wengine! Si umesema wewe ni playboy? unaishiwaje mbinu tena??kila la kheri kwa binti mlokole!
 
Huna Haya Wewe, utaupunguzaje u play boy? Ukishamwaribia utaanza oh hajui kitu yupo Kama gogo etc, mwache mtoto Wa watu utapata malaana bure.

Za siku nyingi wana Jf.
Ebwanae, mimi nimepanga kama mjuavyo kupanga kuna mambo mengi. Sasa katika nyumba yetu hii kuna dada mmoja inasemekana ni mlokole[maana sijawahi kumwona anatembelewa na walokole ] na anakaa chumba cha 3 kutoka room yangu. Kiukweli ni mzuri sana,na ninampenda ila sijui au nashindwa namna ya kumwingia na kumpa somo langu hilo. Kwa sababu hz.
1. Nilimkuta ameshapanga siku nyingi,make mimi huu mwezi wa 5 tu tangu niamie hapo.
2. Nimewahi kuingia na mashost wawili tofaut ndani kwangu,na yeye bahati mbaya aliwaona.
3. Anapenda sana muda wote kupiga nyimbo za injili tupu,na hata yeye huwez kumsikia anaimba bongofleva.
4. Ni mpole,kiasi kwamba nashindwa nianzie wapi kumtongoza.
5. Nina namba yake ya simu ila yeye hajui kama ninayo[nilipewa na mshkaji mwingine ambaye naye nilimkuta humo geto kama house tenant mwenzangu]
6. Naambiwa hawajawahi kumwona ametoka na mtu wala kusikia anamegwa na mtu.
7. Ananiita sana sana kaka,nami nkajikuta namwita dada. Halafu Jana tu,nimemkopesha buku 5 lakini mpaka sasa hajanirudishia[sijui nianzie hapo kwa kujifanya namdai].
Je,nifanyeje au nimwingieje mpaka ajue nampenda na aweze kabisa kuridhia? Maana kapanga anaishi peke yake,na mimi naish peke yangu. Tena ninataka nikimpata nitulie kwani itanifanya nipunguze u-playboy,kwani sitaruhusu mtoto wa kike anitembelee geto!. Naomba ushauri bandugu.
 
Aaaaa jamani!
Hakuna kisichoachwa!
Nadhani nikimpata tu ntatulia na kuacha kutanga tanga,maana utakuwa ni upako mpya.
 
Baada ya kuingia Uislamu sasa unaanza kufakamia mabinti wa Kilokole...ushindwe na ulegee!
Labda uwe ni Jeryson mwingine
 
Hahahahahahaha
Chakufanya leo mwambie mpendwa ntakuja kukutembelea kwako najua hawezi kukataa kutembelewa na ukienda kwake wewe ni kupiga story za dini na jua yeye ata tawala jukwaa na wewe utakuwa unachangia kidogo na ikiwezekana una mwambia aweke wimbo fulani, unaupenda sana alaf unachagua wimbo anao upenda kuupiga sana.

Na hapo itakuwa ni mwanzo wa wewe kumzoea na huanze kumuita mpendwa sio dada tena, na ikiwezekana unaanza kusali kanisa analo sali na hiyo itakuwa njia ya kumnasa na inabidi uonekane kubadilika kidogo na wewe unatakiwa kuanza kupiga nyimbo za dini ili aone mna endana na usialakishe kumtongoza, vuta subira utaona muda muafaka na naamini hato kataa.
 
Cha msingi kama unamaana anavigezo na unamhitaji siyo kumchezea then usepe basi nenda naye taratibu, usijaribu kumtongoza. Jaribu kwanza kumfahamu yeye ni nani, life story (profile) yake ikoje mfano anafanya kazi, amesoma wapi wazazi wake wako wapi nk.
Ukishamfahamu hivyo, basi jaribu kuwa na subira, mkaribishe kwa dinner mkaribishe (ningeshauri mtoke out) wakati huo huo zile tamaa zako usizionyeshe. Piga tu stori za kawaida usitake kujionyesha unajiweza au unajua sana kuongea, wewe piga tu stori za kutaka kumjua anapendelea nini. Unaweza kufanya hivyo mara mbili kabla ya kumuulizia inshu zake zinazohusiana na mahusiano.
Nakushauri usizimwage vile vitotoz vyako ili uchukue muda zaidi wa kumfahamu huyo binti kabla ya kufanya maamuzi sahihi kwani itakubidi ikuchukue muda na ujizuie zuie (may be 2 months hivi mtakuwa wote mmekolea mkijashakuja kukubaliana kuachana itakuwa inshu)
 
Hivi kwanini hamuwachukui hao mnaoplay nao, na kutafuta wakiojitunza? Waliojitunza nao wanahitaji vijana waliojitunza si vicheche kama wewe!
 
Hilo li avatar lako limenikera hata sijasoma ulichoandika.
 
Wewe walokole ndo warahisi kuwapata hao we ongea mpe somo uone ka hajahamia kwako
 
Hahahahahahaha
Chakufanya leo mwambie mpendwa ntakuja kukutembelea kwako najua hawezi kukataa kutembelewa na ukienda kwake wewe ni kupiga story za dini na jua yeye ata tawala jukwaa na wewe utakuwa unachangia kidogo na ikiwezekana una mwambia aweke wimbo fulani, unaupenda sana alaf unachagua wimbo anao upenda kuupiga sana.

Na hapo itakuwa ni mwanzo wa wewe kumzoea na huanze kumuita mpendwa sio dada tena, na ikiwezekana unaanza kusali kanisa analo sali na hiyo itakuwa njia ya kumnasa na inabidi uonekane kubadilika kidogo na wewe unatakiwa kuanza kupiga nyimbo za dini ili aone mna endana na usialakishe kumtongoza, vuta subira utaona muda muafaka na naamini hato kataa.

Kasinge waitu!
 
Hahahahahahaha
Chakufanya leo mwambie mpendwa ntakuja kukutembelea kwako najua hawezi kukataa kutembelewa na ukienda kwake wewe ni kupiga story za dini na jua yeye ata tawala jukwaa na wewe utakuwa unachangia kidogo na ikiwezekana una mwambia aweke wimbo fulani, unaupenda sana alaf unachagua wimbo anao upenda kuupiga sana.

Na hapo itakuwa ni mwanzo wa wewe kumzoea na huanze kumuita mpendwa sio dada tena, na ikiwezekana unaanza kusali kanisa analo sali na hiyo itakuwa njia ya kumnasa na inabidi uonekane kubadilika kidogo na wewe unatakiwa kuanza kupiga nyimbo za dini ili aone mna endana na usialakishe kumtongoza, vuta subira utaona muda muafaka na naamini hato kataa.

Nafikiri si jambo la busara kuwaangusha watu waliosimama kwenye imani zao kwa makusudi, hiyo ni dhambi mbaya! Mshauri kama kweli ana nia ya kuwa naye kama mke wake wa baadaye na kuachana na tabia za ukicheche then naweza kumshauri aendelee kumfuatilia lakini vinginevyo, mhhh siungi mkono hoja!
 
Cha msingi kama unamaana anavigezo na unamhitaji siyo kumchezea then usepe basi nenda naye taratibu, usijaribu kumtongoza. Jaribu kwanza kumfahamu yeye ni nani, life story (profile) yake ikoje mfano anafanya kazi, amesoma wapi wazazi wake wako wapi nk.
Ukishamfahamu hivyo, basi jaribu kuwa na subira, mkaribishe kwa dinner mkaribishe (ningeshauri mtoke out) wakati huo huo zile tamaa zako usizionyeshe. Piga tu stori za kawaida usitake kujionyesha unajiweza au unajua sana kuongea, wewe piga tu stori za kutaka kumjua anapendelea nini. Unaweza kufanya hivyo mara mbili kabla ya kumuulizia inshu zake zinazohusiana na mahusiano.
Nakushauri usizimwage vile vitotoz vyako ili uchukue muda zaidi wa kumfahamu huyo binti kabla ya kufanya maamuzi sahihi kwani itakubidi ikuchukue muda na ujizuie zuie (may be 2 months hivi mtakuwa wote mmekolea mkijashakuja kukubaliana kuachana itakuwa inshu)

saafi sana!
Yeye ni muha,mwenyeji wa kigoma!
Kazi yake ni mwalimu wa shule za watoto[nursery school teacher].
Ana kati ya miaka 19-22. Wazazi wake wote wanaishi huko huko Kigoma. Labda ni mara chache anatembelewa na kaka yake,ambaye pia ni mlokole. Tena kaka yake akijaga basi ndio mapambio ndani huzid,wakija kulala wanaimba sana na kuomba sana! Ila kaka'ke anaporudi kwao,kidogo ile hali ya mapambio kwa mdada hupungua,na kuonekana mchangamfu tofauti na anavyokuwa na kaka'ke.
Lakn ndugu,atakubali kutoka out? Make ndo hvo,full ulokole!
 
Za siku nyingi wana Jf.
Ebwanae, mimi nimepanga kama mjuavyo kupanga kuna mambo mengi. Sasa katika nyumba yetu hii kuna dada mmoja inasemekana ni mlokole[maana sijawahi kumwona anatembelewa na walokole ] na anakaa chumba cha 3 kutoka room yangu. Kiukweli ni mzuri sana,na ninampenda ila sijui au nashindwa namna ya kumwingia na kumpa somo langu hilo. Kwa sababu hz.
1. Nilimkuta ameshapanga siku nyingi,make mimi huu mwezi wa 5 tu tangu niamie hapo.
2. Nimewahi kuingia na mashost wawili tofaut ndani kwangu,na yeye bahati mbaya aliwaona.
3. Anapenda sana muda wote kupiga nyimbo za injili tupu,na hata yeye huwez kumsikia anaimba bongofleva.
4. Ni mpole,kiasi kwamba nashindwa nianzie wapi kumtongoza.
5. Nina namba yake ya simu ila yeye hajui kama ninayo[nilipewa na mshkaji mwingine ambaye naye nilimkuta humo geto kama house tenant mwenzangu]
6. Naambiwa hawajawahi kumwona ametoka na mtu wala kusikia anamegwa na mtu.
7. Ananiita sana sana kaka,nami nkajikuta namwita dada. Halafu Jana tu,nimemkopesha buku 5 lakini mpaka sasa hajanirudishia[sijui nianzie hapo kwa kujifanya namdai].
Je,nifanyeje au nimwingieje mpaka ajue nampenda na aweze kabisa kuridhia? Maana kapanga anaishi peke yake,na mimi naish peke yangu. Tena ninataka nikimpata nitulie kwani itanifanya nipunguze u-playboy,kwani sitaruhusu mtoto wa kike anitembelee geto!. Naomba ushauri bandugu.

Mfuate na umueleze tatizo lako, huenda naye anakupenda ila anashindwa akuingie vp, ila angalia usianzie hapo kwenye kibuku tano utachekesha, hebu nisaidie namba zake ndugu yangu nahitaji mtu wa kuingia naye katika maombi
 
Wewe walokole ndo warahisi kuwapata hao we ongea mpe somo uone ka hajahamia kwako

duh! Kweli wewe ni mtotowamjini.
Kuna mtu aliwahi kuniambia vile,kuwa mlokole ni rahis kumpata kuliko mtu wa kawaida! Lakn kwa mtazamo wangu naona kama ni ngumu,hawa watu wanahitaji mbinu kali sana!
 
Acha kutumiwa na shetani ili uharibu mipango ya watu wewe.... ushindwe kabisa....
 
Mfuate na umueleze tatizo lako, huenda naye anakupenda ila anashindwa akuingie vp, ila angalia usianzie hapo kwenye kibuku tano utachekesha, hebu nisaidie namba zake ndugu yangu nahitaji mtu wa kuingia naye katika maombi

sio ntanyang'anywa tonge mdomoni?! Wewe nipe ya kwako halafu nimwambie kuna mtu anahitaji kufanya maombi na wewe,akikubali najua atakuvutia waya tu.
 
Acha kutumiwa na shetani ili uharibu mipango ya watu wewe.... ushindwe kabisa....

hakuna aliyezaliwa tu na kuibukia ulokole hasa hapa kibongo bongo!
Wengi wanaingia kuokoka baada ya ushetani mwingi.
So ucshangae nikimpata basi nami shetan atakomea hapo hapo!
 
A book is not judged by its cover..! stukaaaaa
 
Kama umefatilia maelezo yake vizuri kaweka wazi nia yake! Na kasema akimpata ataacha u play boy!Nakumpata ndio itakuwa njia pekee ya jamaa kubadili tabia Nilicho fanya nikutoa ushauri.
Nafikiri si jambo la busara kuwaangusha watu waliosimama kwenye imani zao kwa makusudi, hiyo ni dhambi mbaya! Mshauri kama kweli ana nia ya kuwa naye kama mke wake wa baadaye na kuachana na tabia za ukicheche then naweza kumshauri aendelee kumfuatilia lakini vinginevyo, mhhh siungi mkono hoja!
 
Back
Top Bottom