Pliz pliz nisaidieni..

Ona sasa kuna wakati fulani watu walisema mke bora ni mwalimu! Kiujumla mapenzi ya mbali ni taabu sana, kuna mtu humu jamii forum majuzi amelalamika serikali kawahamisha watumishi wake kiasi cha kuwatenganisha na wenza wao, inauma.

Ushauri: Huyo bado si mke anakufanyia hivyo, achana nae.
 
Kwa lolote tutakalokushauri bado mwamuzi wa mwisho ni wewe.
Nakushauri ufate matakwa ya moyo wako. Pole.
 
Mkuu mapenzi sio ya kulazimisha hata siku moja na wewe jifanye wa bei ghari....Tafuta demu mwingine mkali kumzidi ndio dawa hiyo........alafu usishoboke nae tena.......

NB

wanawake wengi kuliko sisi wanaume nashangaa sana wanaume tunavyoangaika na wasichana wasiokuwa na mbele wala nyuma na sisi tujipe heshima zetu jamani............
 
Nina wasiwasi na jina lako ndo sababu ya kukawia kuchukua maamuzi! Huamini stil picture yaani unataka hadi video kaka?

wakati mwingine stil picture zinakua feki kaka
 
Fimbo ya mbali haiuwi nyoka,mweke ndani afu ufanye process zakumuamisha akufate mkaishi pa1,kumuacha sio suluhisho.
 
We mbumbumbu eeh, hebu kuwa mwanaume basi acha uvulana ah. Unataka umkute kabisa anachakachua ndo utimke?
 
Nia yako ni kuanzisha mada au kupata ufumbuzi wa tatizo?
 
sepa fasta. bora lawama kuliko fedheha.
 
kweli wewe ni mbumbumbu, mambo mengine hayahitaji kuuliza maswali.
 
mweke chini... mshukuru kwa wema wake...mwelelze ukweli ujiskiavyo kwa anayokufanzia..kisha UCHAPE LAPA!!!
 
sasa unataka ushauri gan? kama vp soma tena username yako.........................
 
Nafikiri una upungufu wa akili kichwani
 
khaa huyu wa wapi?karne hii bado vuvuzela?ngoja uletwe ngoma ndio umuache:whoo::whoo::bump::smash:
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…