Unajisumbua tu wewe MATAGA, hamna pakushika tena dadeeeki.
Lazima mtahama hapa mjini mrudi kwenu koromitje
Inawezekana hujafika Kilimanjaro hata Kama ni kwako...mjini pale Moshi Kuna uwanja plus KIAAcha uwaki jombaa! Kilimanjaro tuna wilaya zaidi ya 5 lakini uwanja upo mmoja.
Au umekula machicha badala ya kunywa mbege?
PumbafSiabudu mtu mimi...naongea ukweli..refer picha na videos za msiba wa magufuli kuanzia Mwanza, Geita mpaka chato..unafikiri wale ni nani zaidi ya wapiga kura? Binafsi kuna sera za magufuli nilikuwa nazipiga ila ukweli ni kwamba nimeumizwa na msiba wake...na hawa wapuuzi wanaoendelea kutaka kumshambulia wakati amezikwa na hawezi kuwajibu watazidi kupoteza sana kisiasa..watu wanaona kwa kiasi gani hawana busara..refer maneno ya Lumumba sio yangu na najua anasema.ukweli.
Alifika lini unaweza weka picha za ushahidi akiwa chatoProf Lumumba kafika hadi Chato!
Hayaelewi hayo ni sawa na kuku unamfukuza sekunde amerudi hapo hapoNi suala la muda tuu utajua hujui
Anaonekana naye alikuwa ni chawaHata Geita Kuna umasikini wa raia ila ndipo Kuna matrilion ya dhahabu. Huyo Lumumba asijifanye anaijua TANZANIA kutushinda
Kaburuzwa na nani? Yye kaongelea upande hasi, PLO kaongelea upande anaoujua yeye.Yote haya yanakuja baada ya kuona lissu kaburuzwa na kuambiwa ukweli wake aache hasira, inahitaji mtu anayejitoa akili sana kuyatetea anayoyafanya lissu kwa sasa ( kuzurura unamchafua marehemu ).
Umemaliza shughuliWEKA PICHA FULL VIEW!! TUONE KAMA KWELI TUNAWEZA KUMFANANISHA NA MOBUTU!
Wachana na hilo sub wooferUna hakika?!!!
Hongera kwa kuweka record sawaPLO ni mweupe Labda kwa nyie msiofuatilia masuala ya nje ya TZ.
Alipewa kuongoza Kitengo cha PCCB ya Kenya akaharibu vibaya CV yake ikaishia hapo ndio maana hawezi kugombea hata u MCA huko kwake.
Anawachanganya mazuzu na vocabulary za kumeza lakini utendaji F
Senge la ufipa, maswali yenu risasi ngapi, ben saanane, azori gwanda nyie mafala hamna mambo mengine ya kuuliza???Yeye huyo Pro Lumumba anaishi Tz? Amewahi kupigwa Risasi ngapi?
Inawezekana hujafika Kilimanjaro hata Kama ni kwako...mjini pale Moshi Kuna uwanja plus KIA
Ungekuwa wewe ungefanya anayoyafanya lissu sasa?Kaburuzwa na nani? Yye kaongelea upande hasi, PLO kaongelea upande anaoujua yeye.
Unajua Nyerere tunamsifu sana ila familia ya kambona au Jumbe unadhani itakua na maoni chanya juu yake?
Lazima tukubali marehemu alikua mchapa kazi kwa some na dikteta/muuaji kwa some. Huo ni ukweli usiopingika
Hahahaha...angalia serikali iliyoundwa harafu niambie nirudi. Anyways, watu wenye chuki kama wewe huwa sihangaiki nao. Sina muda wa kuchukia binadamu mwenzangu..nipate kisukari cha nn na ugonjwa wa moyo?
Si mlikuwa mnamroga Kigoda sasa mnalialia nini?
Professa gani anaongelea puani!
Watapoteana sana ingefaa wakakaa kimya tu, Dunia imeona Magufuli alivopendwa na watu wake .
Toa upuuzi wakoLumumba hana mabadiliko yoyote aliyowahi kuchangia katika uchumi wake na uchumi wa Afrika licha Dunia, ukimsikiliza unachokiona ni maneno yakiingereza yaliyopakwa Nakshi. Mazingira ya Chato miaka mitano Leo hii kwa msomi mzalendo anaweza kutetea kilichofanyika? Lakini najiuliza lini alifika chato? Kwa ninavyomfahamu hakuna alipokanyaga bila media kuwa nyuma yake maana si kwa mbwembwe hizo.
Mfuatilie Lumumba kwenye uchaguzi wa Kenya uliopita utajua who his Lumumba
Nyie wanafki tu kazi kumshabikia mitandaoni akiwaambia muingie barabarani wote mnapuuza.Kama ushawishi wa jiwe ulivyokuwa umeshuka mpaka ikabidi anajisi uchaguzi. Lisu sema ukweli baba watanzania tuko nyuma yako.