duke of Taliban
New Member
- Dec 27, 2018
- 4
- 0
Kimeshafanyiwa documents zote upimaji, hati na mwanasheria yupo afu usimuite mtu mwizi kama huna uhakika..kama huko serious nitafuteBila bei, acha wizi wewe. Kwanza viwanja vya National, Igoma hadi Bugarika hua vinamgogoro sana hadi seeikali ilipgaga marufuku uuzaji. Mkuu, unanihakikishiaje nyumba yangu haitapigwa X?
Kimeshafanyiwa documents zote upimaji, hati na mwanasheria yupo afu usimuite mtu mwizi kama huna uhakika..kama huko serious nitafute
19m hamna punguzo...opposite na shule ya Lorreto girls kama una pafahamuToa bei bas bob? Afu kipo kwa sehem gan pale? Ingependeza uweke tupicha tuwili tutatu
Napanyaka. Kiwanja kina nn na nn?19m hamna punguzo...opposite na shule ya Lorreto girls kama una pafahamu
Yani ninunue kiwanja milioni 19 usukumani???19m hamna punguzo...opposite na shule ya Lorreto girls kama una pafahamu
Kwan wasu**** wana nini mkuu?Yani ninunue kiwanja milioni 19 usukumani???