Plot4Sale Plot for sale: Tegeta Mivumoni, nyuma ya kiwanda cha Wazo hill. Sqm 1391

Plot4Sale Plot for sale: Tegeta Mivumoni, nyuma ya kiwanda cha Wazo hill. Sqm 1391

Mimi natafuta ya kulenga mkuu...
Mitaa hiyo ukisikia eneo linauzwa kwa elfu 40 kwa SQM moja nicheki nije kuangalia nije na mshua hela mfuko wa shati..ukubwa wowote hata SQM 20000 yaani hata ziwe heka 10 na kiendelea
Njoo Dodoma mkuu!
 
Matajiri wa JF msinitenge jamani🥺🥺🥺,hii ardhi badi ipo,ajitokeze kigogo mmoja basi tumalizane!
 
Matajiri wa Jf nawaomba msinitenge🥺🥺!! Ajitokeze mkuu mmoja tu tumalize hii biashara tukatatue changamoto zetu😊😊
 
SQM 1391
1. Kuna nyumba ya vyumba viwili vya kulala, sebule na jiko ndani ya eneo.
2. Kuna mabanda makubwa manne yanayofaa kwa shughuli za ufugaji
3. Ni mita chache sana kutoka kituo cha Lagos,barabara ya kwenda Madale na Goba round about.

Karibuni sana!
 

Attachments

  • VID-20241119-WA0032.mp4
    20.8 MB
Matajiri, huyu mwali bado yupo. Wazo Mivumoni- LAGOS ,eneo tulivu,ushuani kabisa huku. Barabara mpaka kwako.
Mungu akupe nini tena?

Naendelea kuwakaribisha wakuu!
 
Kuna siku nilikuwa na madalali wakaniambia sasa hivi ( utawala huu ) ela ngumu sana plot zipo nyingi zinauzwa tena bei ya kutupa lkn wateja hakuna
Nikamuambia mbna watu wanashusha sana maghirifa kkoo tena wanavunja ghorofa wanajenga ghorofa
Akajibu ahaaa sasa hivi ela wanazo wachache
Tofauti na zamani pesa alikuwa anayo kila mtu na kila mtu alikuwa anataka amiliki plot yake so plot zilikuwa adimu 7bu mtu akinunua hauzi so mapori yalikuwa yanapotea tu hamrudi nyuma plot hakuna
Mnasongo mbele
 
Kuna siku nilikuwa na madalali wakaniambia sasa hivi ( utawala huu ) ela ngumu sana plot zipo nyingi zinauzwa tena bei ya kutupa lkn wateja hakuna
Nikamuambia mbna watu wanashusha sana maghirifa kkoo tena wanavunja ghorofa wanajenga ghorofa
Akajibu ahaaa sasa hivi ela wanazo wachache
Tofauti na zamani pesa alikuwa anayo kila mtu na kila mtu alikuwa anataka amiliki plot yake so plot zilikuwa adimu 7bu mtu akinunua hauzi so mapori yalikuwa yanapotea tu hamrudi nyuma plot hakuna
Mnasongo mbele
Hayo yalikuwa ni mawazo yake mkuu, tunayaheshimu.
Duniani kote hakuna siku au wakati umewahi kutokea watu wote wakawa na pesa,hicho kitu hakipo na hakitakuja kuwepo. Pesa ni zao la shughuli,kama hakuna shughuli pesa haiwezi kuwepo na kwa bahati mbaya haitakuja kutokea siku watu wote wakawa na shughuli ya kufanya.

Ninaamini watu wenye pesa wapo tu,yawezekana taarifa yangu ya kiwanja hiki haijawafikia tu ila wapo.

Linapokuja swala la pesa SEMA MIMI SINA PESA!
 
Back
Top Bottom